TASAF haina dini wala siasa-Mwamanga
NA SOPHIA WAKATI,TANGA
MKURUGENZI Mkuu wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF),Ladislaus Mwamanga, ameitaka jamii kuelewa kuwa chombo hicho ni cha serikali na hakina mwingiliano wa dini, wala itikadi yoyote ya kisiasa.
Alisema lengo la TASAF ni kuonyesha uwajibikaji na kuwezesha wananchi wote kuwa na maisha bora.
Mwamanga aliyasema hayo jana, mkoani hapa, alipokuwa akizindua kikao kilichojumuisha waandishi, waratibu, wahasibu na maofisa wanaofuatilia shughuli za mfuko huo.
Alisema serikali...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLDKT NCHIMBI ASEMA CCM HAINA TATIZO LA KIMUUNDO WALA MFUMO
10 years ago
Vijimambo07 Feb
NAPE: CCM HAIWEZI NA WALA HAINA MPANGO WA KUPOTEZA HISTORIA YA MAHALA ILIPOZALIWA TANU
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-XPCe2YK0BSs%2FVNYp3jgunxI%2FAAAAAAAAWxU%2FSlLwmqpvgvc%2Fs1600%2F01.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg. Nape Nnauye amesema CCM haiwezi na wala haina mpango wa kupoteza historia ya mahali ilipozaliwa TANU.
Ameyasema hayo wakati akizungumza na wahariri wa gazeti la JamboLeo siku ya Ijumaa tarehe 6 februari 2015 alipotembelea ofisini kwao katika ziara ya kutembelea vyombo mbalimbali vya habari nchini.
Alisema kumekuwa na...
11 years ago
Habarileo12 Dec
Tanzania haina utitiri wa vyama vya siasa- Lukuvi
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Uratibu na Bunge, William Lukuvi, amesema bado Tanzania haina idadi kubwa ya vyama vya siasa vilivyosajiliwa kama ilivyo kwa nchi nyingine duniani.
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-iDjZwI-MpGY/VNIXWqwaXlI/AAAAAAAAnx8/e5gfTbkVQyc/s72-c/5-300x2.jpg)
Mwanasheria Mkuu Asema Serikali Haina Dini Mahakama ya Kadhi itahudumiwa na Waislam wenyewe
![](http://1.bp.blogspot.com/-iDjZwI-MpGY/VNIXWqwaXlI/AAAAAAAAnx8/e5gfTbkVQyc/s640/5-300x2.jpg)
Mungu ibarikiTanzania.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-XS5ejkRNwZk/VbcQkCWiFTI/AAAAAAAACg0/DA0a_nVVwZA/s72-c/11391647_807377299360670_1378162237195954623_n.jpg)
"KATIKA SIASA HAKUNA MALAIKA WALA SHETANI"-Maria Sarungi
![](http://2.bp.blogspot.com/-XS5ejkRNwZk/VbcQkCWiFTI/AAAAAAAACg0/DA0a_nVVwZA/s200/11391647_807377299360670_1378162237195954623_n.jpg)
Hivi karibuni kumekuwa na matukio mbalimbali kwa upande wa chama kikuu cha upinzani CHADEMA kinachonisukuma kusema kuwa tunachoona...
9 years ago
Michuzi23 Oct
HATUTOKIBEBA WALA KUKIVUMILIA CHAMA CHOHCOTE CHA SIASA- POLISI
![Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Kamishna Msaidizi, Charles Mkumbo](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/aPl2SfMT18NSrApzfK0Na-CBxBfoHrj10HxFg-jJ3sAgKM_3ogD5P4x_JHpe17rmrdfRL3tudWibYx2oYHVgt1jeJWaKNPOnrAIOadJZ44DtecjLsuEU0zLOfh5eM2KbwEzhEwk4-BE=s0-d-e1-ft#http://mwanahalisionline.com/wp-content/uploads/2015/10/Charles-Mkumbo-620x309.png)
JESHI la Polisi mkoani Mwanza, limesema halipo tayari kukipendelea chama chochote kile cha siasa katika kipindi hiki cha uchaguzi utakaofanya Oktoba 25 mwaka huu.Kauli hiyo imetolewa jana na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Kamishna Msaidizi, Charles Mkumbo, wakati akizungumza na wanahabari.
Mkumbo amesema kuwa katika kipindi hiki, jeshi halitakuwa tayari kukipendelea chama cha siasa kwani lipo kwa ajili ya kutenda haki na...
9 years ago
Mwananchi02 Sep
MCHANGO WA MAWAZO: Hakuna rafiki wala adui wa kudumu katika siasa
10 years ago
Habarileo07 Oct
'Viongozi wa dini acheni siasa'
KAMANDA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Arusha, Philemon Mollel amewataka viongozi wa madhehebu ya dini nchini kuacha kujiingiza kwenye masuala ya kisiasa badala yake wahubiri amani.
10 years ago
Mwananchi11 Mar
Siasa bila dini ni uendawazimu