Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mikutano ya siasa Lindi, Mtwara ruksa

SERIKALI imeondoa zuio la mikutano ya vyama vya siasa lililokuwa limewekwa tangu mwaka juzi kwa mikoa ya Lindi na Mtwara. Katika taarifa ya Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe, anasema hatua hiyo imetokana na Serikali kuridhika kuwa hali ya amani na utulivu imerejea katika mikoa hiyo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Serikali yaondoa zuio la Mikutano ya Vyama vya Siasa Lindi na Mtwara

Serikali imeondoa zuio la mikutano ya Vyama vya Siasa lililokuwa limetangazwa mwezi Mei mwaka juzi kuzuia mikutano hiyo kufanyika katika mikoa ya Lindi na Mtwara.
Zuio hilo limeondolewa leo na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Mathias Chikawe.Mikutano hiyo ilizuiliwa kutokana na vurugu za wananchi waliokuwa wakipinga ujenzi wa mradi wa bomba la gesi kutoka Mtwara kwenda Dar es Salaam hali iliyosababisha kuvunjika kwa amani na utulivu katika mikoa hiyo.
Katika vurugu hizo, watu kadhaa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mihadhara ya dini, siasa ruksa Mtwara

SERIKALI mkoani Mtwara, imeondoa kimya kimya amri yake ya kuzuia mikusanyiko ya kisiasa na kidini na kueleza kuwa mikutano hiyo itaendelea kulingana na taratibu zilizopo. Wakati Mtwara ukibainisha kuondolewa kwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Ukawa ruksa kufanya mikutano nchi nzima

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda ametoa ruksa kwa wanachama wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kufanya mikutano yao nchi nzima.

 

11 years ago

Michuzi

Wakazi wa Mtwara na Lindi kushuhudia fursa za Utalii na Uchumi kupitia Tamasha la Utamaduni la Mtwara,Waziri mkuu pinda kuwa mgeni rasmi.

 
Waziri Mkuu Mizengo Pinda.
Tamasha la Mkoa wa Mtwara, ‘Mtwara Festival’, linatarajia kufungua milango ya fursa kwa wakazi wa mikoa ya Mtwara na Lindi katika kuziona fursa kadhaa kwenye sekta ya Utalii na Uchumi.Tamasha hilo linatarajiwa kufanyika kwa siku mbili kuanzia mwezi Agosti 16 na 17 mwaka huu kwenye uwanja wa Nangwanda Sijaona  ulipo Mtwara mjini. Mgeni rasmi katika Tamasha hilo anatarajiwa kuwa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda huku likiwa na kauli mbiu isemayo ‘Fursa Zimefunguka,...

 

11 years ago

Mwananchi

CUF kuanza mikutano Mtwara

Chama cha Wananchi (CUF) kimesema kitaanza kufanya mikutano ya hadhara mkoani Mtwara baada ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhan, licha ya Serikali kupiga marufuku mikutano yoyote ya kisiasa mkoani humo.

 

10 years ago

Mwananchi

Mikutano ya siasa marufuku Kusini

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, (Tamisemi), Hawa Ghasia amesema Serikali haina mpango wa kuruhusu mikutano ya hadhara katika mikoa ya Lindi na Mtwara.

 

9 years ago

Vijimambo

TFF: RUKSA WACHEZAJI KUTUMIKA KATIKA KAMPENI ZA SIASA, LAKINI WASIVAE JEZI


SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limesema halizuii mchezaji kufanya kampeni za siasa, isipokuwa wasitumie sare za kimichezo hususan zenye nembo za wadhamini.Hatua hiyo inafuatia TFF kubaini kuwepo kwa vitendo vya wanafamilia wa mpira wa miguu Tanzania kujihusisha na masuala ya Siasa wakiwa katika mavazi rasmi ya mpira ambayo yana nembo za klabu na wadhamini wa Ligi.Taarifa ya TFF imesema kwamba Katiba ya TFF ibara ya I (4) inatamka “TFF is neutral in matters of politics and religion....

 

9 years ago

Vijimambo

MAMA SALMA KIKWETE KWENYE MIKUTANO YA KAMPENI MCHINGA NA LINDI MJINI.

1 Mjumbe wa NEC Taifa ya Chama Cha Mapinduzi na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akipokewa na Mkuu wa Mkoa wa Lindi Ndugu Jordan Rugimbana mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Lindi kwa ziara ya kikazi mkoani humo tarehe 8.10.2015.2Mke wa Rais na Mjumbe wa NEC anayewakilisha wilaya ya Lindi Mjini Mama Salma Kikwete akisalimiana na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi wa Jimbo la Mchinga waliokusanyika kwenye Kijiji cha Kikomolela Kata ya Matimba kwa ajili ya mkutano wa kampeni kwenye...

 

10 years ago

Dewji Blog

RC Singida ahimiza wananchi kuhudhuria mikutano ya siasa

DSC02580

Mkuu wa mkoa wa Singida,Dk.Parseko Vicent Kone, akizungumza kwenye ufunguzi wa kikao cha ushauri ya mkoa (RCC) kilichofanyika leo kwenye ukumbi wa mikutano wa Social Training  Centre mjini Singida.K ulia ni katibu tawala mkoa wa Singida,Liana Hassan na wa kwanza kushoto ni Katibu wa CCM mkoa wa Singida,M ary Chitanda na anayefuatia ni mwenyekiti CCM mkoa wa Singida,Mgana Msindai.

Na Nathaniel Limu, Singida

MKUU wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Vicent Kone, amewahimiza wananchi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani