CUF kuanza mikutano Mtwara
Chama cha Wananchi (CUF) kimesema kitaanza kufanya mikutano ya hadhara mkoani Mtwara baada ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhan, licha ya Serikali kupiga marufuku mikutano yoyote ya kisiasa mkoani humo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo08 Oct
Mikutano ya siasa Lindi, Mtwara ruksa
SERIKALI imeondoa zuio la mikutano ya vyama vya siasa lililokuwa limewekwa tangu mwaka juzi kwa mikoa ya Lindi na Mtwara. Katika taarifa ya Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe, anasema hatua hiyo imetokana na Serikali kuridhika kuwa hali ya amani na utulivu imerejea katika mikoa hiyo.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-e4_fWLUZpUg/VDPpOs8_DvI/AAAAAAAGogU/jMevLXPT4Zg/s72-c/Screen%2BShot%2B2014-10-07%2Bat%2B4.22.00%2BPM.png)
Serikali yaondoa zuio la Mikutano ya Vyama vya Siasa Lindi na Mtwara
![](http://3.bp.blogspot.com/-e4_fWLUZpUg/VDPpOs8_DvI/AAAAAAAGogU/jMevLXPT4Zg/s1600/Screen%2BShot%2B2014-10-07%2Bat%2B4.22.00%2BPM.png)
Zuio hilo limeondolewa leo na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Mathias Chikawe.Mikutano hiyo ilizuiliwa kutokana na vurugu za wananchi waliokuwa wakipinga ujenzi wa mradi wa bomba la gesi kutoka Mtwara kwenda Dar es Salaam hali iliyosababisha kuvunjika kwa amani na utulivu katika mikoa hiyo.
Katika vurugu hizo, watu kadhaa...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-QwL3meGMo9I/VGXO-kGJdKI/AAAAAAAAS-s/hVtERESHCmg/s72-c/uh.jpg)
KINANA KUANZA ZIARA LINDI NA MTWARA
![](http://4.bp.blogspot.com/-QwL3meGMo9I/VGXO-kGJdKI/AAAAAAAAS-s/hVtERESHCmg/s1600/uh.jpg)
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Abdulrahman Kinana anatarajia kufanya ziara katika mikoa ya Lindi na Mtwara.
Akiongea na waandishi wa habari katika ukumbi wa Sekretarieti,Lumumba jijini Dar es salaam Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye alisema kuwa Ziara hiyo ni mwendelezo wa ziara za Sekretarieti ya Halmashauri Kuu Taifa...
10 years ago
Dewji Blog14 Nov
Kinana kuanza ziara ya mikoa ya Mtwara na Lindi
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa Sekretarieti,CCM Ofisi ndogo Lumumba.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Abdulrahman Kinana anatarajia kufanya ziara katika mikoa ya Lindi na Mtwara.
Akiongea na waandishi wa habari katika ukumbi wa Sekretarieti,Lumumba jijini Dar es salaam Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye alisema kuwa Ziara hiyo ni mwendelezo wa ziara za Sekretarieti ya Halmashauri Kuu Taifa...
10 years ago
Mwananchi24 Apr
Uandikishaji Lindi, Mtwara, Ruvuma, Iringa, kuanza leo
9 years ago
Vijimambo24 Aug
WATU WASIOJULIKANA WAVAMIA NA KUBOMOA NYUMBA YA MGOMBEA UBUNGE CUF MTWARA.
![](http://www.itv.co.tz/media/image/NYUMBA%281%29.jpg)
Wakizungumza kwa masikitiko baadhi ya viongozi wa chama hicho na wanachi wa jimbo la Nanyamba wamesema mazingira aliyotoweka mgombea huyo yanaonyesha wazi kuna mchezo mchafu umefanywa ili...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-kc0Mtq8EDEw/VGYegpmgmfI/AAAAAAAGxOY/pPN6Tdk5qyA/s72-c/unnamed%2B(37).jpg)
KINANA KUANZA ZIARA YA SIKU 16 MIKOA YA LINDI NA MTWARA, KESHO NOV 15
![](http://1.bp.blogspot.com/-kc0Mtq8EDEw/VGYegpmgmfI/AAAAAAAGxOY/pPN6Tdk5qyA/s1600/unnamed%2B(37).jpg)
Ziara hii ya Katibu Mkuu Ndugu Abdulrahaman Kinana ni muendelezo wa...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-kGp4v1DzLWw/U6MVqg1fB4I/AAAAAAAFrzU/JWqnuGo0NDE/s72-c/unnamed+(27).jpg)
Mtwara Festival kufanyika Agosti 16-17, 2014 kwenye uwanja wa Nangwanda Sijaona, Mtwara.
![](http://1.bp.blogspot.com/-kGp4v1DzLWw/U6MVqg1fB4I/AAAAAAAFrzU/JWqnuGo0NDE/s1600/unnamed+(27).jpg)
Bw. Anic Kashasha, Mwenyekiti Mtendaji wa shirika lisilo la kiserikali Tanzania Creative Industries Network (TACIN) ya Dar es Salaam, nilikuwa ninahutubia mkutano wa waandishi wahabari kwenye ukumbi wa Safari Lounge, mjini Mtwara, juu ya kuanzisha Mtwara Festival, utakaofanyika tarehe 16 - 17 Agosti, 2014 kwenye uwanja wa Nangwanda Sijaona,Mtwara.
Mtwara Festival imeandaliwa kwa kushirikiana na washirika wakuu na wadhamini wa TACIN, Shirika la maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC). Huu ni...
10 years ago
Zitto Kabwe, MB09 Jan
“Azimio la Mtwara” Speech by Zitto Kabwe: Mtwara, 31-12-14
PICHA
!["Azimio la Mtwara" tarehe 31-12-2014 Zitto Kabwe na Prof. Ibrahim Lipumba](https://zittokabwe.files.wordpress.com/2014/12/012.jpg?w=674&h=346)
“Azimio la Mtwara” tarehe 31-12-2014 Zitto Kabwe na Prof. Ibrahim Lipumba
![](https://pixel.wp.com/b.gif?host=zittokabwe.wordpress.com&blog=12675215&post=3444&subd=zittokabwe&ref=&feed=1)