MAGUFULI AHUTUBIA KISIWANI PEMBA LEO,AAHIDI KUULINDA MUUNGANO KWA NGUVU ZOTE.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya chama cha Mapinduzi,Dkt John Pombe Magufuli akiwahutubia wakazi wa Pemba jioni ya leo kwenye kutano wa kampeni uliofanyika kwenye uwanja wa Gombani ya Kale mjini Pemba.
Katika mkutano huo wa Kampeni,Dkt Magufuli ameahidi kuwa akichaguliwa kuwa Rais wa awamu ya tano,atadumisha na kuulinda Muungano wa Zanzibar na Tanganyika ulioanzishwa na Waasisi wetu akiwemo Baba wa Taifa Hayati Julius Kambarage Nyerere pamoja na Abeid...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziDKT MAGUFULI AENDELEA NA KAMPENI ZAKE LEO, AHUTUBIA KISARAWE,UKONGA NA BAADAE KUHUTUBIA PEMBA
9 years ago
VijimamboDKT MAGUFULI AENDELEA NA KAMPENI ZAKE LEO, AHUTUBIA KISARAWE,UKONGA NA BAADAE KUHUTUBIA PEMBA
9 years ago
MichuziDKT SHEIN AMNADI DKT MAGUFULI KISIWANI UNGUJA LEO,ASEMA ANATOSHA KUWA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
Dkt Shein emebainisha wazi kwenye mkutano huo wa kampeni kuwa Dkt Magufuli ni mtu sahihi na anatosha kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,amesema kuwa iwapo...
10 years ago
Habarileo17 Jul
Magufuli aapa kulinda Muungano kwa nguvu
MGOMBEA wa Urais wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli amesema ataulinda Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ulioasisiwa mwaka 1964 kwa lengo la kuleta mshikamano na maendeleo kwa wananchi wa pande mbili za muungano wa Tanzania.
10 years ago
GPLDK. SHEIN AWASILI KISIWANI PEMBA LEO
10 years ago
MichuziDKT SHEIN AWASILI KISIWANI PEMBA LEO
11 years ago
MichuziKINANA ATOA SOMO KISIWANI PEMBA JIONI YA LEO
10 years ago
VijimamboDKT. MAGUFULI AWASILI KISIWANI ZANZIBAR NA KUPATA WADHAMINI WENGI KATIKA MIKOA YA UNGUJA NA PEMBA
10 years ago
MichuziKATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA AHITIMISHA ZIARA YAKE YA SIKU KUMI KISIWANI UNGUJA,KESHO KUWASILI KISIWANI PEMBA.