Magufuli aapa kulinda Muungano kwa nguvu
MGOMBEA wa Urais wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli amesema ataulinda Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ulioasisiwa mwaka 1964 kwa lengo la kuleta mshikamano na maendeleo kwa wananchi wa pande mbili za muungano wa Tanzania.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Bd_b8VT1dhU/Vh_UpZPNvQI/AAAAAAADA9o/ZIl07kYZWe8/s72-c/13.jpg)
MAGUFULI AHUTUBIA KISIWANI PEMBA LEO,AAHIDI KUULINDA MUUNGANO KWA NGUVU ZOTE.
![](http://4.bp.blogspot.com/-Bd_b8VT1dhU/Vh_UpZPNvQI/AAAAAAADA9o/ZIl07kYZWe8/s640/13.jpg)
Katika mkutano huo wa Kampeni,Dkt Magufuli ameahidi kuwa akichaguliwa kuwa Rais wa awamu ya tano,atadumisha na kuulinda Muungano wa Zanzibar na Tanganyika ulioanzishwa na Waasisi wetu akiwemo Baba wa Taifa Hayati Julius Kambarage Nyerere pamoja na Abeid...
10 years ago
Habarileo23 Jun
Mahiga aapa kulinda uhuru wa habari
ALIYEKUWA Balozi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Dk Augustine Maiga (70) ameahidi kuheshimu na kulinda uhuru wa vyombo vya habari kwa kuzirekebisha sheria zote zinazolalamikiwa na wadau kuminya uhuru huo endapo nia yake ya kuwa Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania itafanikiwa.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xCeppzYup0o/XsFAlUST_1I/AAAAAAALqkQ/RVfTu3yt7qYvz8TrND6SVoQ-OEiQAU1_ACLcBGAsYHQ/s72-c/wanafunzi-wakijilinda-poliniAAAA-768x512.jpg)
ASKARI JWTZ WATAKIWA KULINDA MIPAKA NA RAIA KWA NGUVU NA GHARAMA YEYOTE
![](https://1.bp.blogspot.com/-xCeppzYup0o/XsFAlUST_1I/AAAAAAALqkQ/RVfTu3yt7qYvz8TrND6SVoQ-OEiQAU1_ACLcBGAsYHQ/s640/wanafunzi-wakijilinda-poliniAAAA-768x512.jpg)
Baadhi ya Askari wanafunzi wa Shule ya Aawali ya Mafunzo ya Kijeshi RTS Kihangaiko wakiwa katika eneo la mapigano wakati wa zoezi Maliza msata bagamoyo Mkoani Pwani .
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/wanafunzi-wakikimbia-na-kifaruAAAA.jpg)
Baadhi ya Askari NA wanafunzi Kuruta wa Shule ya Aawali ya Mafunzo ya Kijeshi RTS Kihangaiko wakikimbia na na kifaru wakati wa zoezi Maliza msata bagamoyo Mkoani Pwani .
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/kanali-myala-na-wanafunziAAA-1024x473.jpg)
Mkuu wa shule ya Kihangaiko Kanali Sijaona Myala katikati akishangilia na Kuruti mara baada ya kumaliza zoezi la Mwisho kwa Kuruti hao katika pori la Msata...
11 years ago
Habarileo14 Feb
Vyama vyaazimia kulinda Muungano
VIONGOZI wa vyama vya siasa, asasi za kiraia na asasi za dini waliokutana kutafuta maridhiano kabla ya kuanza kwa Bunge la Katiba wiki ijayo, wamekubaliana kuhakikisha Muungano uliopo unaimarishwa na kudumishwa.
11 years ago
Habarileo13 Mar
‘Watanzania wafikirie kulinda Muungano’
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu, Stephen Wassira amesema ni vyema Watanzania wakafikiria kudumisha Muungano kwa kutazama kero zilizoonekana miaka 50 iliyopita ikiwemo kero za watendaji, sheria na kuondoa kabisa kero zote ili kuweza kusonga mbele.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_RJ0uWxHV6s/XuC9GztmGmI/AAAAAAALtVM/YQIlUtXEPv464sW1ECOH5taZSIHqjOCeQCLcBGAsYHQ/s72-c/unnamed.jpg)
DIWANI AAPA KUSIMAMA NA MAGUFULI.
NA DENIS MLOWE, IRINGA
DIWANI wa Kata ya Mwangata iliyoko Manispaa ya Iringa,Nguvu Chengula ameapa kuwa mstari wa mbele katika kuhakikisha Rais John Pombe Magufuri anashinda kwa kishindo katika uchaguzi mkuu wa 2020 unaotarajiwa kufanyika Oktoba.
Akizungumza na wanahabari kwenye ukumbi wa Boma, Chengula alisema kuwa atatumia jitihada zote pamoja na Mali anazomiliki kuhakikisha CCM inashinda chini ya Rais Magufuli kwa kutoa magari ya kampeni na vipaza sauti...
11 years ago
Mwananchi24 Jul
Dk Magufuli aapa kufa na makandarasi
9 years ago
Habarileo07 Oct
Magufuli aapa kumuenzi Sokoine
MGOMBEA Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli amesema endapo uchaguzi utafanyika leo, atashinda kwa asilimia 80, lakini akasema anachokifanya sasa ni kupita kwa wananchi ili kuongeza idadi ya kura kufikia asilimia zaidi ya 90.
9 years ago
Michuzi02 Sep
KIMBISA AMNADI MAGUFULI KWA NGUVU, MAMA PINDA ANOGESHA...!
![Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dodoma, Adam Kimbisa akicheza wimbo wa hamasa wa kampeni za CCM kabla ya kuanza kumnadi Dk. Magufuli kwa wanaUWT, Mkoa wa Dodoma.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/09/IMG_0310.jpg)
!['...Na wapigwe tu maana hamna namna nyingine..' Mke wa Waziri Mkuu wa Tanzania, Mama Tunu Pinda akizungumza na akinamama wa UWT Mkoa wa Dodoma.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/09/IMG_0287.jpg)
Na Mwandishi Wetu, DodomaMWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dodoma, Adam Kimbisa ameweka kando msimamo aliyokuwa nao awali na kuanza kumnadi kwa nguvu mgombea wa...