KIMBISA AMNADI MAGUFULI KWA NGUVU, MAMA PINDA ANOGESHA...!
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dodoma, Adam Kimbisa akicheza wimbo wa hamasa wa kampeni za CCM kabla ya kuanza kumnadi Dk. Magufuli kwa wanaUWT, Mkoa wa Dodoma.
'.Na wapigwe tu maana hamna namna nyingine..' Mke wa Waziri Mkuu wa Tanzania, Mama Tunu Pinda akizungumza na akinamama wa UWT Mkoa wa Dodoma.
Na Mwandishi Wetu, DodomaMWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dodoma, Adam Kimbisa ameweka kando msimamo aliyokuwa nao awali na kuanza kumnadi kwa nguvu mgombea wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-B3tEWMWyARg/Vdsz4j9nwDI/AAAAAAAC98Q/4zZ0n216u0s/s640/_MG_5839.jpg)
MAGUFULI AITIKISA KATAVI, PINDA AMNADI KWA KISHINDO
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-B3tEWMWyARg/Vdsz4j9nwDI/AAAAAAAC98Q/4zZ0n216u0s/s72-c/_MG_5839.jpg)
MAGUFULI AITIKISA KATAVI,WAZIRI MKUU PINDA AMNADI KWA KISHINDO.
![](http://3.bp.blogspot.com/-B3tEWMWyARg/Vdsz4j9nwDI/AAAAAAAC98Q/4zZ0n216u0s/s640/_MG_5839.jpg)
Copy the BEST Traders and Make Money (One Click) : http://ow.ly/KNICZ
![](http://1.bp.blogspot.com/-efUrTV6fNcU/VdsylP7T--I/AAAAAAAC97w/THZpRaEIwOA/s640/_MG_5819.jpg)
9 years ago
Habarileo21 Sep
Kimbisa: Chagueni Magufuli, ni msafi
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Dodoma, Adam Kimbisa amewaomba Watanzania kumchagua Rais asiye na makundi wala makandokando yoyote ambaye ni mgombea wa CCM, Dk John Magufuli. Kimbisa alisema hayo juzi wakati akizindua kampeni za ubunge katika jimbo la Chilonwa Kata ya Itiso.
10 years ago
Dewji Blog19 Feb
Waziri Pinda : Tutaunganisha nguvu kwa mgombea urais atakayeteuliwa na chama
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwahutubia wananchi wa tarafa ya Pawaga leo.
Waziri Mkuu Pinda akiwapungia mikono wananchi wa tarafa ya Pawaga leo.
Wananchi wa tarafa ya Pawaga wakimshangilia Waziri Mkuu Pinda leo.
Wananchi wa tarafa ya Pawaga, Iringa wakimsikiiza Waziri Mkuu Mizengo Pinda.
Na Matukiodaima Blog
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amewataka watanzania hasa wana Chama wa cha Mapinduzi ( CCM) kuwa na subira katika kumpata mwanachama atakayefaa kusimama kugombea urais kupitia CCM mwaka...
5 years ago
CCM BlogMAMA SAMIA ANOGESHA MADHIMISHO MIAKA 43 YA CCM MKOA WA PWANI
9 years ago
Habarileo26 Aug
Waziri Mkuu anogesha kampeni za Magufuli
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, jana alikuwa mstari wa mbele kunogesha kampeni za mgombea wa urais wa CCM, Dk John Magufuli, akisisitiza ni chaguo sahihi kwa Watanzania na kwamba hata upatikanaji wake ulikuwa sahihi kwa asilimia 100 na kwamba, yeye aliyekuwa mjumbe wa vikao hivyo ni shuhuda wa hilo.
9 years ago
Dewji Blog03 Jan
Mama wa Mitindo Asya Idarous Khamsin anogesha mkesha wa mwaka mpya DMV!!
10 years ago
Habarileo17 Jul
Magufuli aapa kulinda Muungano kwa nguvu
MGOMBEA wa Urais wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli amesema ataulinda Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ulioasisiwa mwaka 1964 kwa lengo la kuleta mshikamano na maendeleo kwa wananchi wa pande mbili za muungano wa Tanzania.