Kimbisa: Chagueni Magufuli, ni msafi
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Dodoma, Adam Kimbisa amewaomba Watanzania kumchagua Rais asiye na makundi wala makandokando yoyote ambaye ni mgombea wa CCM, Dk John Magufuli. Kimbisa alisema hayo juzi wakati akizindua kampeni za ubunge katika jimbo la Chilonwa Kata ya Itiso.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mzalendo Zanzibar22 Aug
Video:JK: Magufuli ni mtu makini na msafi
Rais wa Tanzania Dk Jakaya Kikwete, leo amemnadi mgombe wa urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk John Pombe Magufuli, kwa kumuelezea kuwa ni mtu makini, msafi na asiyeshindwa
The post Video:JK: Magufuli ni mtu makini na msafi appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Michuzi02 Sep
KIMBISA AMNADI MAGUFULI KWA NGUVU, MAMA PINDA ANOGESHA...!
![Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dodoma, Adam Kimbisa akicheza wimbo wa hamasa wa kampeni za CCM kabla ya kuanza kumnadi Dk. Magufuli kwa wanaUWT, Mkoa wa Dodoma.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/09/IMG_0310.jpg)
!['...Na wapigwe tu maana hamna namna nyingine..' Mke wa Waziri Mkuu wa Tanzania, Mama Tunu Pinda akizungumza na akinamama wa UWT Mkoa wa Dodoma.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/09/IMG_0287.jpg)
Na Mwandishi Wetu, DodomaMWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dodoma, Adam Kimbisa ameweka kando msimamo aliyokuwa nao awali na kuanza kumnadi kwa nguvu mgombea wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3QgTREgG9e-cwUg2PGUfYGyIRiTETVxNFhT9Up5ZnBzXRb4KTvHblQbAGGKpXAUF6ciN4ROQMCDaSDJFTYmQqrbVv3Egiayb/PINDA.jpg?width=650)
NANI MSAFI TUMCHAGUE CCM?
10 years ago
Tanzania Daima24 Oct
CHADEMA: Hakuna kiongozi msafi CCM
CHAMA cha Demorasia na Maendeleo, (CHADEMA), kimesema wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), waliondoa kipengele cha uadilifu kwenye tunu za taifa kwa sababu walijua watakosa viongozi kwani hakuna aliye msafi....
10 years ago
Habarileo10 Aug
Kimbisa: Sijahama na sitahama CCM
MWENYEKITI wa CCM mkoa wa Dodoma, Adam Kimbisa amekanusha uvumi kuwa ameungana na wenyeviti wengine wa mikoa wa CCM kukihama chama tawala nchini. Amesema wanaomzushia washindwe na walegee, kwani moyo na mwili wake upo CCM na kwamba kamwe hawezi kuhama.
10 years ago
Mwananchi22 Jan
Makongoro Nyerere amrithi Kimbisa Eala
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://3.bp.blogspot.com/-48Z1t3CEijo/U8aTznMgANI/AAAAAAAABX8/0C5-iZBlJUM/s72-c/+ADAM+Kimbisa+MWENYEKITI+CCM+DODOMA+.jpg)
Kimbisa Mwenyekiti Bodi ya Uhuru Media
NA JUMANNE GUDE
KAMATI Kuu ya CCM, imemteua Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dodoma, Alhaj Adam Kimbisa, kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Kampuni ya Uhuru Media Group.
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Siasa na Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nauye alisema kuwa Kimbisa anachukua nafasi hiyo iliyoachwa na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahamani Kinana.
![](http://3.bp.blogspot.com/-48Z1t3CEijo/U8aTznMgANI/AAAAAAAABX8/0C5-iZBlJUM/s1600/+ADAM+Kimbisa+MWENYEKITI+CCM+DODOMA+.jpg)
Kampuni ya Uhuru Media Group, inachapisha magazeti ya Uhuru, Mzalendo na Burudani. Pia inamiliki kituo cha redio cha Uhuru FM.
Kimbisa ambaye ni...
10 years ago
Mwananchi15 Feb
Adam Kimbisa awawakia watendaji ‘wanaokumbatia wagombea urais’
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-US6-azYriow/VaBYKH4EJKI/AAAAAAABjHM/UZmZa81Qpow/s72-c/IMG_8016.jpg)
NCHIMBI, SOPHIA SIMBA NA KIMBISA WASEMA HAWAKUBALIANI NA UAMUZI WA KAMATI KUU(CC)
![](http://1.bp.blogspot.com/-US6-azYriow/VaBYKH4EJKI/AAAAAAABjHM/UZmZa81Qpow/s640/IMG_8016.jpg)
KAMATI Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa (CC-NEC) imetoa orodha ya wagombea watano bila ya jina la Edward Lowassa kuwemo ndani. Lakini katika hali inayoonesha mpasuko, baadhi ya wajumbe wa kamati kuu wamepinga uamuzi huo.Majina yaliyopatikana, ambayo hata hivyo hayajatangazwa rasmi na chama, ni ya Bernard Membe, Dk. John Magufuli, Dk. Asha Rose-Migiro, January Makamba...