Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makongoro Nyerere amrithi Kimbisa Eala

Wabunge wa Tanzania kwenye Bunge la Afrika ya Mashariki (Eala) wamemchagua Makongoro Nyerere kuwa mwenyekiti wao mpya baada ya Adam Kimbisa kumaliza muda wake.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Makongoro akwamisha kumng’oa Spika EALA

MCHAKATO wa kumng’oa Spika wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA), Dk. Margret Banbtonbg Zziwa, juzi ulishindwa kuendelea baada ya wabunge wawili wa Tanzania kuamua kuondoa majina yao kwenye...

 

10 years ago

TheCitizen

Makongoro is new chairman of Tanzania’s Eala members

>Members of the East African Legislative Assembly (Eala) - Tanzania Chapter have elected Makongoro Nyerere their new chairman, replacing Adam Kimbisa whose tenure of office has elapsed on Monday.

 

10 years ago

Mtanzania

Makongoro Nyerere achafua hewa

MBIO za kusaka urais kwa makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) zimezidi kushika kasi baada ya mtoto wa tano wa Hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere, Charles Makongoro Nyerere kujitosa kwenye kinyang’anyiro hicho.
Wakati Makongoro akichukua uamuzi huo kwa mara ya kwanza katika historia ya familia ya Mwalimu Nyerere, mkoani Mbeya Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais Kazi Maalumu, Profesa Mark Mwandosya naye ameingia kwenye mbio hizo.
MAKONGORO
Akitangaza nia yake katika eneo la Mwitongo kijijini...

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Raia Mwema

Lipumba amnadi Makongoro Nyerere

KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) anayewania urais, Makongoro Nyerere, ‘amekuna’ viongozi wa vyam

Christopher Gamaina

 

10 years ago

Habarileo

Makongoro Nyerere apata ajali

Makongoro Nyerere.MSAFARA wa mmoja wa watangaza nia ya nafasi ya urais, Charles Makongoro Nyerere, aliyekuwepo katika Mkoa wa Kigoma umepata ajali ambapo watu watano wamejeruhiwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Makongoro Nyerere afunguka urais

Wakati CCM ikielekea katika kipindi kigumu cha kuamua mgombea wake wa urais kwenye Uchaguzi Mkuu ujao, Makongoro Nyerere, ambaye ni mtoto wa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere, amezungumzia taarifa zilizoenea kwenye mitandao ya kijamii zikimtaja kuwa na mpango wa kuwania nafasi hiyo ya juu nchini.

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Habarileo

Makongoro Nyerere ahimiza umoja, mshikamano

MBUNGE wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA) Makongoro Nyerere, ametaka Watanzania kumuenzi Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Nyerere kwa kufuata misingi ya upendo, kujitolea na mshikamano.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani