Makongoro akwamisha kumng’oa Spika EALA
MCHAKATO wa kumng’oa Spika wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA), Dk. Margret Banbtonbg Zziwa, juzi ulishindwa kuendelea baada ya wabunge wawili wa Tanzania kuamua kuondoa majina yao kwenye...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi22 Jun
Kesi kumng’oa Spika EAC yafutwa
11 years ago
Habarileo04 Jun
Hoja kumng'oa Spika Bunge la EAC bado hai
WABUNGE wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) wamesisitiza kuwa mpango wa kumng’oa Spika wa Bunge hilo, Margaret Zziwa liko pale pale licha ya wabunge watatu wa Tanzania kuondoa saini zao.
10 years ago
TheCitizen22 Jan
Makongoro is new chairman of Tanzania’s Eala members
10 years ago
Mwananchi22 Jan
Makongoro Nyerere amrithi Kimbisa Eala
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-AikHq5lX5uk/U43_G0-pakI/AAAAAAAFnbY/KYXvTzb6KS4/s72-c/images+(1).jpg)
News alert: Vuguvugu la kutaka kumng'oa madarakani spika wa bunge la Afrika mashariki latikisa Arusha
![](http://3.bp.blogspot.com/-AikHq5lX5uk/U43_G0-pakI/AAAAAAAFnbY/KYXvTzb6KS4/s1600/images+(1).jpg)
10 years ago
Mtanzania20 Dec
Dany Kidega awa Spika EALA
Na Elizabeth Mjatta
MBUNGE wa Chama cha National Resistance Movement (NRM) cha Uganda, Dany Kidega amechaguliwa kuwa Spika mpya wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA).
Kidega anachukua nafasi ya aliyekuwa Spika wa Bunge hilo, Dk. Margareth Zziwa, aliyeondolewa kutokana na kukabiliwa na kashfa mbalimbali.
Kidega alipata ushindi huo baada ya mbunge mwenzake kutoka Uganda Christopher Okumu (UPC), kujiengua katika kinyang’anyiro hicho muda mchache baada ya kuingia bungeni.
Baada ya Dk. Zziwa...
10 years ago
Mwananchi18 Dec
Spika Eala ang’olewa madarakani
11 years ago
Mwananchi28 Mar
Mchakato kumngo’a Spika Eala waanza
11 years ago
Tanzania Daima12 Jun
Spika EALA azidi kukingiwa kifua
SIKU chache baada ya wabunge saba wa Bunge la Afrika Mashariki kutoka Tanzania, kujiondoa kwenye jaribio la kutaka kumuondoa Spika wa Bunge hilo, Margareth Zziwa, Jumuiya ya Wanafunzi wa Chuo...