Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makongoro akwamisha kumng’oa Spika EALA

MCHAKATO wa kumng’oa Spika wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA), Dk. Margret Banbtonbg Zziwa, juzi ulishindwa kuendelea baada ya wabunge wawili wa Tanzania kuamua kuondoa majina yao kwenye...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Kesi kumng’oa Spika EAC yafutwa

Mahakama ya Afrika Mashariki (EACJ), juzi imeifuta kesi ya kupinga kuondolewa madarakani kwa Spika wa Bunge la Afrika Mashariki (Eala), Dk Margret Zziwa baada ya upande wa walalamikaji kuamua kutoendelea na kesi hiyo.

 

11 years ago

Habarileo

Hoja kumng'oa Spika Bunge la EAC bado hai

WABUNGE wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) wamesisitiza kuwa mpango wa kumng’oa Spika wa Bunge hilo, Margaret Zziwa liko pale pale licha ya wabunge watatu wa Tanzania kuondoa saini zao.

 

10 years ago

TheCitizen

Makongoro is new chairman of Tanzania’s Eala members

>Members of the East African Legislative Assembly (Eala) - Tanzania Chapter have elected Makongoro Nyerere their new chairman, replacing Adam Kimbisa whose tenure of office has elapsed on Monday.

 

10 years ago

Mwananchi

Makongoro Nyerere amrithi Kimbisa Eala

Wabunge wa Tanzania kwenye Bunge la Afrika ya Mashariki (Eala) wamemchagua Makongoro Nyerere kuwa mwenyekiti wao mpya baada ya Adam Kimbisa kumaliza muda wake.

 

11 years ago

Michuzi

News alert: Vuguvugu la kutaka kumng'oa madarakani spika wa bunge la Afrika mashariki latikisa Arusha

Wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki leo wameendelea na mchakato wao wa  kumuondoa spika  Mhe. Dkt. Margaret Nantongo Zziwa,  baada mahakama ya Afrika ya Mashariki ( East Afrika court of Justice) jijini Arusha kukataa kuzuia zoezi la kumuondosha katika kiti hicho. Ripota wetu anataarifu kutoka huko kuwa bunge liliahirishwa kukutana tena leo asubuhi baada ya suluhu kukosekana. "Hili linazuia mchakato mzima wa bajeti ya Jumuiya ya Afrika Mashariki kusomwa", Mbunge mmoja alisikika...

 

10 years ago

Mtanzania

Dany Kidega awa Spika EALA

Margaret-ZziwaNa Elizabeth Mjatta
MBUNGE wa Chama cha National Resistance Movement (NRM) cha Uganda, Dany Kidega amechaguliwa kuwa Spika mpya wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA).
Kidega anachukua nafasi ya aliyekuwa Spika wa Bunge hilo, Dk. Margareth Zziwa, aliyeondolewa kutokana na kukabiliwa na kashfa mbalimbali.
Kidega alipata ushindi huo baada ya mbunge mwenzake kutoka Uganda Christopher Okumu (UPC), kujiengua katika kinyang’anyiro hicho muda mchache baada ya kuingia bungeni.
Baada ya Dk. Zziwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Spika Eala ang’olewa madarakani

Wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki (Eala), jana walimng’oa madarakani Spika, Dk Margret Zziwa baada ya kukubaliana na mapendekezo ya Kamati ya Sheria, Kanuni na Madaraka ya Bunge kuwa amepoteza sifa za kuendelea kushikilia wadhifa huo.

 

11 years ago

Mwananchi

Mchakato kumngo’a Spika Eala waanza

>Wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki (Eala) wameanza rasmi mchakato wa kumwondoa madarakani spika wao, Margareth Zziwa kutoka Uganda baada ya kuwasilisha hati ya kusudio hilo kwa katibu wa bunge hilo, Kenneth Madete

 

11 years ago

Tanzania Daima

Spika EALA azidi kukingiwa kifua

SIKU chache baada ya wabunge saba wa Bunge la Afrika Mashariki kutoka Tanzania, kujiondoa kwenye jaribio la kutaka kumuondoa Spika wa Bunge hilo, Margareth Zziwa, Jumuiya ya Wanafunzi wa Chuo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani