Spika EALA azidi kukingiwa kifua
SIKU chache baada ya wabunge saba wa Bunge la Afrika Mashariki kutoka Tanzania, kujiondoa kwenye jaribio la kutaka kumuondoa Spika wa Bunge hilo, Margareth Zziwa, Jumuiya ya Wanafunzi wa Chuo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania18 Dec
Spika wa Bunge EALA ang’olewa
NA ABRAHAM GWANDU, ARUSHA,
SPIKA wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA), Margreth Zziwa, jana ameng’olewa kushika wadhifa huo baada ya wabunge 36 kati ya 49 kupiga kura za ndiyo kutokuwa na imani naye kutokana na kile kilichoelezwa ameshindwa kuongoza Bunge hilo.
Kabla ya kufikia uamuzi wa kupiga kura, Kamati ya Bunge ya Sheria, Hadhi na Madaraka ya Bunge hilo ilipewa jukumu la kuchunguza tuhuma kadhaa zilizokuwa zikimkabili ikiwamo kuwapendelea baadhi ya wabunge, kushindwa kufuata kanuni...
10 years ago
Mtanzania20 Dec
Dany Kidega awa Spika EALA
Na Elizabeth Mjatta
MBUNGE wa Chama cha National Resistance Movement (NRM) cha Uganda, Dany Kidega amechaguliwa kuwa Spika mpya wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA).
Kidega anachukua nafasi ya aliyekuwa Spika wa Bunge hilo, Dk. Margareth Zziwa, aliyeondolewa kutokana na kukabiliwa na kashfa mbalimbali.
Kidega alipata ushindi huo baada ya mbunge mwenzake kutoka Uganda Christopher Okumu (UPC), kujiengua katika kinyang’anyiro hicho muda mchache baada ya kuingia bungeni.
Baada ya Dk. Zziwa...
10 years ago
Mwananchi18 Dec
Spika Eala ang’olewa madarakani
11 years ago
Tanzania Daima29 Mar
Makongoro akwamisha kumng’oa Spika EALA
MCHAKATO wa kumng’oa Spika wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA), Dk. Margret Banbtonbg Zziwa, juzi ulishindwa kuendelea baada ya wabunge wawili wa Tanzania kuamua kuondoa majina yao kwenye...
11 years ago
Mwananchi28 Mar
Mchakato kumngo’a Spika Eala waanza
10 years ago
Mwananchi17 Dec
Spika Bunge la Eala kikaangoni leo Arusha
10 years ago
Mwananchi28 Nov
Shy-Rose ‘amponza’ Spika Zziwa wa Eala
11 years ago
Mwananchi30 May
Majaji EACJ waruhusu Spika Eala kung’olewa
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-LOO7b0tVyv4/XlPauNVmgiI/AAAAAAAAIJs/xOdY6Yk-LK45sqqZdlIVVjhJGLERGf3dwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200224_170121_147.jpg)
NZELENTIN NAHIMANA AWA MWENYEKITI WA KIKAO CHA BUNGE EALA BAADA YA SPIKA KUTOTOKEA KWENYE
![](https://1.bp.blogspot.com/-LOO7b0tVyv4/XlPauNVmgiI/AAAAAAAAIJs/xOdY6Yk-LK45sqqZdlIVVjhJGLERGf3dwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200224_170121_147.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-xQ-QBEujlcs/XlPatoBxSPI/AAAAAAAAIJk/TomfHV13Q7gvxyAQ8K1zETvIep3K-EICwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200224_163601_564.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-m0HRdwBxImQ/XlPauOdGKwI/AAAAAAAAIJo/X29zJHIlq1wOKohob_3pdI0BOhTyqI_4wCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200224_163650_207.jpg)