Shy-Rose ‘amponza’ Spika Zziwa wa Eala
Bunge la Afrika Mashariki limemsimamisha kwa siku 21 Spika wake, Dk Margaret Zziwa huku likifufua hoja ya kumwondoa kiongozi huyo madarakani ambayo iliwekwa kando Aprili 1, mwaka huu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi17 Nov
Shy-Rose, Spika Zziwa kikaangoni tena
Bunge la Afrika Mashariki (Eala) limeitishwa tena, zamu hii jijini Nairobi, Kenya ambako litakutana kuanzia leo mchana, huku kukiwa na shinikizo kubwa kutoka kwa wabunge 32 linalotaka kung’olewa kwa Spika wa Bunge hilo, Dk Margaret Zziwa na kuwajibishwa kwa mbunge kutoka Tanzania, Shy-Rose Bhanji.
10 years ago
MichuziBid to expel Shy Rose Bhanji from EALA flop
Suspension of a member of the East African Legislative Assembly from Tanzanian, Shy Rose Bhanji (pictured), from the Assembly’s commission was last evening halted due to lack of quorum minutes before members could cast their votes.The Assembly had shelved the first business on the order paper to debate a motion that sought to review the rules of procedure that had been interrupted in March to prioritise Bhanji’s suspension.But just as members were readying themselves to vote by way of secret...
10 years ago
Vijimambo23 Nov
Kikwete kupewa jukumu la kuamua hatma ya Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA), Shy-Rose Bhanji,
RAIS Jakaya Kikwete anatarajiwa kupewa jukumu la kuamua hatma ya Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA), Shy-Rose Bhanji, wakati atakapopewa Uenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), mwisho wa mwezi huu.
Rais Kikwete anatarajiwa kuchukua Uenyekiti wa EAC baada ya Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika Mashariki uliopangwa kufanyika jijini Nairobi, Kenya, Novemba 29 na 30 mwaka huu.
Mwenyekiti wa sasa wa EAC, Rais Uhuru Kenyatta, wa Kenya anamaliza muda wake mwezi huu na Raia Mwema...
Rais Kikwete anatarajiwa kuchukua Uenyekiti wa EAC baada ya Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika Mashariki uliopangwa kufanyika jijini Nairobi, Kenya, Novemba 29 na 30 mwaka huu.
Mwenyekiti wa sasa wa EAC, Rais Uhuru Kenyatta, wa Kenya anamaliza muda wake mwezi huu na Raia Mwema...
11 years ago
The Observer28 Mar
EALA's Zziwa faces censure
IPPmedia
EALA's Zziwa faces censure
The Observer
Margaret Zziwa's reign as speaker of the East African Legislative Assembly (EALA) came under more pressure yesterday, after a petition to censure her was filed in Arusha. EALA members led by Kenya's Peter Mathuki and Uganda's Dorah Byamukama ...
Fate of EALA Speaker still hangs in the balanceDaily News
'More needs to be done to boost EAC integration'IPPmedia
all 3
10 years ago
TheCitizen24 Dec
EALA: Why Zziwa failed as Speaker
On May 21, 2012, Margaret Nantongo Zziwa defeated more than 15 people to get a second term at the East African Legislative Assembly (Eala). She was not done though. She would go ahead to defeat Dora Byamukama who was widely believed to be the NRM party candidate to become the regional parliament’s first woman Speaker.
10 years ago
New Vision17 Dec
EALA Speaker Zziwa impeached
New Vision
EALA Speaker Zziwa impeached
New Vision
THE East African Legislative Assembly (EALA) has impeached Speaker Margaret Zziwa over misconduct, abuse of Office and disrespect to members. Her impeachment follows a report by EALA's Committee on Legal, Rules and Privileges which ...
COURT DISMISSES RT. HON ZZIWA'S APPLICATION BARRING ...StarAfrica.com
all 2
10 years ago
GPLSPIKA MARGARET ZZIWA ASIMAMISHWA
HATIMAYE Spika wa Bunge la Afrika Mashariki, Dk. Margaret Zziwa (pichani) amesimamishwa wadhifa huo baada ya wabunge wa bunge hilo kumpigia kura. Apewa saa 24 kukabidhi ofisi ya bunge.
10 years ago
Tanzania Daima31 Oct
Shy-Rose akaangwa
HOJA binafsi ya kumjadili mbunge Shy-Rose Bhanji wa Tanzania ndani ya Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA), limeingia katika sura mpya baada bunge hilo kuahirishwa tena jana muda mfupi...
10 years ago
TheCitizen27 Nov
Breakthrough as Eala okays Zziwa ouster
The East African Legislative Assembly (Eala) finally approved a motion barring its Speaker, Ms Margaret Nantongo Zziwa, from presiding over its sessions and any functions of the office.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania