Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shy-Rose ‘amponza’ Spika Zziwa wa Eala

Bunge la Afrika Mashariki limemsimamisha kwa siku 21 Spika wake, Dk Margaret Zziwa huku likifufua hoja ya kumwondoa kiongozi huyo madarakani ambayo iliwekwa kando Aprili 1, mwaka huu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Shy-Rose, Spika Zziwa kikaangoni tena

Bunge la Afrika Mashariki (Eala) limeitishwa tena, zamu hii jijini Nairobi, Kenya ambako litakutana kuanzia leo mchana, huku kukiwa na shinikizo kubwa kutoka kwa wabunge 32 linalotaka kung’olewa kwa Spika wa Bunge hilo, Dk Margaret Zziwa na kuwajibishwa kwa mbunge kutoka Tanzania, Shy-Rose Bhanji.

 

10 years ago

Michuzi

Bid to expel Shy Rose Bhanji from EALA flop

Suspension of a member of the East African Legislative Assembly from Tanzanian, Shy Rose Bhanji (pictured), from the Assembly’s commission was last evening halted due to lack of quorum minutes before members could cast their votes.The Assembly had shelved the first business on the order paper to debate a motion that sought to review the rules of procedure that had been interrupted in March to prioritise Bhanji’s suspension.But just as members were readying themselves to vote by way of secret...

 

10 years ago

Vijimambo

Kikwete kupewa jukumu la kuamua hatma ya Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA), Shy-Rose Bhanji,

RAIS Jakaya Kikwete anatarajiwa kupewa jukumu la kuamua hatma ya Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA), Shy-Rose Bhanji, wakati atakapopewa Uenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), mwisho wa mwezi huu.

Rais Kikwete anatarajiwa kuchukua Uenyekiti wa EAC baada ya Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika Mashariki uliopangwa kufanyika jijini Nairobi, Kenya, Novemba 29 na 30 mwaka huu.

Mwenyekiti wa sasa wa EAC, Rais Uhuru Kenyatta, wa Kenya anamaliza muda wake mwezi huu na Raia Mwema...

 

11 years ago

The Observer

EALA's Zziwa faces censure


IPPmedia
EALA's Zziwa faces censure
The Observer
Margaret Zziwa's reign as speaker of the East African Legislative Assembly (EALA) came under more pressure yesterday, after a petition to censure her was filed in Arusha. EALA members led by Kenya's Peter Mathuki and Uganda's Dorah Byamukama ...
Fate of EALA Speaker still hangs in the balanceDaily News
'More needs to be done to boost EAC integration'IPPmedia

all 3

 

10 years ago

TheCitizen

EALA: Why Zziwa failed as Speaker

On May 21, 2012, Margaret Nantongo Zziwa defeated more than 15 people to get a second term at the East African Legislative Assembly (Eala). She was not done though. She would go ahead to defeat Dora Byamukama who was widely believed to be the NRM party candidate to become the regional parliament’s first woman Speaker.

 

10 years ago

New Vision

EALA Speaker Zziwa impeached


New Vision
EALA Speaker Zziwa impeached
New Vision
THE East African Legislative Assembly (EALA) has impeached Speaker Margaret Zziwa over misconduct, abuse of Office and disrespect to members. Her impeachment follows a report by EALA's Committee on Legal, Rules and Privileges which ...
COURT DISMISSES RT. HON ZZIWA'S APPLICATION BARRING ...StarAfrica.com

all 2

 

10 years ago

GPL

SPIKA MARGARET ZZIWA ASIMAMISHWA

HATIMAYE Spika wa Bunge la Afrika Mashariki, Dk. Margaret Zziwa (pichani) amesimamishwa wadhifa huo baada ya wabunge wa bunge hilo kumpigia kura. Apewa saa 24 kukabidhi ofisi ya bunge.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Shy-Rose akaangwa

HOJA binafsi ya kumjadili mbunge Shy-Rose Bhanji wa Tanzania ndani ya Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA), limeingia katika sura mpya baada bunge hilo kuahirishwa tena jana muda mfupi...

 

10 years ago

TheCitizen

Breakthrough as Eala okays Zziwa ouster

The East African Legislative Assembly (Eala) finally approved a motion barring its Speaker, Ms Margaret Nantongo Zziwa, from presiding over its sessions and any functions of the office.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani