Shy-Rose, Spika Zziwa kikaangoni tena
Bunge la Afrika Mashariki (Eala) limeitishwa tena, zamu hii jijini Nairobi, Kenya ambako litakutana kuanzia leo mchana, huku kukiwa na shinikizo kubwa kutoka kwa wabunge 32 linalotaka kung’olewa kwa Spika wa Bunge hilo, Dk Margaret Zziwa na kuwajibishwa kwa mbunge kutoka Tanzania, Shy-Rose Bhanji.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi28 Nov
Shy-Rose ‘amponza’ Spika Zziwa wa Eala
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1UL3ifpm7LsDSQGvwHVyH1wI3pQJG9OVllH2-tBVRYdtkoGls3p4oVhM-Dyy1Ly6Ia*79**DfzeI79Ahw3g*d2*mG3pPSlz1/ZZIWA.jpg)
SPIKA MARGARET ZZIWA ASIMAMISHWA
10 years ago
Tanzania Daima31 Oct
Shy-Rose akaangwa
HOJA binafsi ya kumjadili mbunge Shy-Rose Bhanji wa Tanzania ndani ya Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA), limeingia katika sura mpya baada bunge hilo kuahirishwa tena jana muda mfupi...
10 years ago
StarTV18 Dec
Spika Zziwa ang’olewa rasmi.
Na Magesa Magesa
Arusha.
Spika wa Bunge la Afrika Mashariki (Eala), Dokta Margret Zziwa ameng’olewa rasmi katika nafasi yake leo katika kikao cha dharura cha Bunge hilo kilichofanyika jijini Arusha leo.
Bunge hilo limekutana baada ya Mahakama ya Afrika Mashariki (EACJ), kutupilia mbali maombi ya Spika Zziwa ya zuio la muda dhidi ya kikao hicho ambacho kilikuwa na hoja ya kupokea, kujadili na kuamua taarifa ya uchunguzi wa tuhuma dhidi ya Spika kutoka Kamati ya Sheria, Kanuni na Madaraka...
10 years ago
Mwananchi30 Aug
Spika Zziwa ataka miundombinu ijengwe
10 years ago
Habarileo28 Nov
Spika Zziwa asimamishwa kwa siku 21
BUNGE la Afrika Mashariki (EALA) limepitisha makubaliano ya kumsimamisha Spika wa Bunge hilo, Margaret Nantongo Zziwa, hadi uchunguzi kuhusu mwenendo wake utakapokamilika.
10 years ago
Tanzania Daima01 Nov
Shy-Rose awekwa Kiporo
HOJA binafsi ya kumuwajibisha Mbunge wa Tanzania katika bunge la Afrika Mashariki(EALA) Shy –Rose Bhanji imewekwa kiporo baada ya bunge hilo malizika mjini Kigali jana hadi litakapopitishwa tena. Suala la...
10 years ago
Mwananchi17 Dec
Spika Bunge la Eala kikaangoni leo Arusha
10 years ago
BBCSwahili18 Dec
Spika Zziwa ang'olewa Afrika Mashariki