SPIKA MARGARET ZZIWA ASIMAMISHWA
![](http://api.ning.com:80/files/1UL3ifpm7LsDSQGvwHVyH1wI3pQJG9OVllH2-tBVRYdtkoGls3p4oVhM-Dyy1Ly6Ia*79**DfzeI79Ahw3g*d2*mG3pPSlz1/ZZIWA.jpg)
HATIMAYE Spika wa Bunge la Afrika Mashariki, Dk. Margaret Zziwa (pichani) amesimamishwa wadhifa huo baada ya wabunge wa bunge hilo kumpigia kura. Apewa saa 24 kukabidhi ofisi ya bunge.
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo28 Nov
Spika Zziwa asimamishwa kwa siku 21
BUNGE la Afrika Mashariki (EALA) limepitisha makubaliano ya kumsimamisha Spika wa Bunge hilo, Margaret Nantongo Zziwa, hadi uchunguzi kuhusu mwenendo wake utakapokamilika.
10 years ago
StarTV18 Dec
Spika Zziwa ang’olewa rasmi.
Na Magesa Magesa
Arusha.
Spika wa Bunge la Afrika Mashariki (Eala), Dokta Margret Zziwa ameng’olewa rasmi katika nafasi yake leo katika kikao cha dharura cha Bunge hilo kilichofanyika jijini Arusha leo.
Bunge hilo limekutana baada ya Mahakama ya Afrika Mashariki (EACJ), kutupilia mbali maombi ya Spika Zziwa ya zuio la muda dhidi ya kikao hicho ambacho kilikuwa na hoja ya kupokea, kujadili na kuamua taarifa ya uchunguzi wa tuhuma dhidi ya Spika kutoka Kamati ya Sheria, Kanuni na Madaraka...
10 years ago
Mwananchi30 Aug
Spika Zziwa ataka miundombinu ijengwe
10 years ago
BBCSwahili18 Dec
Spika Zziwa ang'olewa Afrika Mashariki
10 years ago
Mwananchi28 Nov
Shy-Rose ‘amponza’ Spika Zziwa wa Eala
10 years ago
Mwananchi17 Nov
Shy-Rose, Spika Zziwa kikaangoni tena
9 years ago
CapitalGazette.Com28 Dec
'Christmas Shopping for Good' fundraiser at St. Margaret's Church
CapitalGazette.com
CapitalGazette.com
Atlantis resident Janice Roper-Graham, a member of St. Margaret's Church and owner of Outreach Process Partners, with Andie Trotter, founder of Dageno Girls Center in Karatu, Tanzania. Members of St. Margaret's Church held “Christmas Shopping for ...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Tg_rnzXsFl0/VakDdiGhuLI/AAAAAAAHqQg/boO4IZDyUWQ/s72-c/unnamed%2B%252875%2529.jpg)
President Kikwete meets WHO Director General Margaret Chan in Geneva
![](http://3.bp.blogspot.com/-Tg_rnzXsFl0/VakDdiGhuLI/AAAAAAAHqQg/boO4IZDyUWQ/s640/unnamed%2B%252875%2529.jpg)
11 years ago
MichuziSpika wa Bunge la Uholanzi na ujumbe wake wamtembelea Spika Makinda leo
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10