Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SPIKA MARGARET ZZIWA ASIMAMISHWA

HATIMAYE Spika wa Bunge la Afrika Mashariki, Dk. Margaret Zziwa (pichani) amesimamishwa wadhifa huo baada ya wabunge wa bunge hilo kumpigia kura. Apewa saa 24 kukabidhi ofisi ya bunge.

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Spika Zziwa asimamishwa kwa siku 21

Margaret ZziwaBUNGE la Afrika Mashariki (EALA) limepitisha makubaliano ya kumsimamisha Spika wa Bunge hilo, Margaret Nantongo Zziwa, hadi uchunguzi kuhusu mwenendo wake utakapokamilika.

 

10 years ago

StarTV

Spika Zziwa ang’olewa rasmi.

Na Magesa Magesa

Arusha.

 

Spika wa Bunge la Afrika Mashariki (Eala), Dokta Margret Zziwa ameng’olewa rasmi katika nafasi yake leo katika kikao cha dharura cha Bunge hilo kilichofanyika jijini Arusha leo.

 

Bunge hilo limekutana baada ya Mahakama ya Afrika Mashariki (EACJ), kutupilia mbali maombi ya Spika Zziwa ya zuio la muda dhidi ya kikao hicho ambacho kilikuwa na hoja ya kupokea, kujadili na kuamua taarifa ya uchunguzi wa tuhuma dhidi ya Spika kutoka Kamati ya Sheria, Kanuni na Madaraka...

 

10 years ago

Mwananchi

Spika Zziwa ataka miundombinu ijengwe

Spika wa Bunge la Afrika Mashariki (Eala) amezitaka Serikali za nchi wanachama kuharakisha ujenzi na uimarishaji wa miundombinu ya barabara na reli ili kuwaletea wananchi maendeleo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Spika Zziwa ang'olewa Afrika Mashariki

Bunge la Afrika Mashariki limemwondoa madarakani spika wake Margaret Nantongo Zziwa

 

10 years ago

Mwananchi

Shy-Rose ‘amponza’ Spika Zziwa wa Eala

Bunge la Afrika Mashariki limemsimamisha kwa siku 21 Spika wake, Dk Margaret Zziwa huku likifufua hoja ya kumwondoa kiongozi huyo madarakani ambayo iliwekwa kando Aprili 1, mwaka huu.

 

10 years ago

Mwananchi

Shy-Rose, Spika Zziwa kikaangoni tena

Bunge la Afrika Mashariki (Eala) limeitishwa tena, zamu hii jijini Nairobi, Kenya ambako litakutana kuanzia leo mchana, huku kukiwa na shinikizo kubwa kutoka kwa wabunge 32 linalotaka kung’olewa kwa Spika wa Bunge hilo, Dk Margaret Zziwa na kuwajibishwa kwa mbunge kutoka Tanzania, Shy-Rose Bhanji.

 

9 years ago

CapitalGazette.Com

'Christmas Shopping for Good' fundraiser at St. Margaret's Church


CapitalGazette.com
'Christmas Shopping for Good' fundraiser at St. Margaret's Church
CapitalGazette.com
Atlantis resident Janice Roper-Graham, a member of St. Margaret's Church and owner of Outreach Process Partners, with Andie Trotter, founder of Dageno Girls Center in Karatu, Tanzania. Members of St. Margaret's Church held “Christmas Shopping for ...

 

10 years ago

Michuzi

President Kikwete meets WHO Director General Margaret Chan in Geneva

President Dr .Jakaya Mrisho Kikwete in conversation with World Health Organization(WHO) Director General Margaret Chan at the UN Headquarters in Geneva this morning during an on going consultative sessions of the High Level Panel on the Global response to Health Crises.(photos by Freddy Maro)

 

11 years ago

Michuzi

Spika wa Bunge la Uholanzi na ujumbe wake wamtembelea Spika Makinda leo

Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akimkaribisha Spika wa Bunge la Uholanzi Mhe. Anouchka Van Miltenburg (mwenye koti jeupe) alipofika Ofisini kwake leo kwa ziara ya kikazi. Wengine ni baadhi ya Wabunge kutoka Bunge la Uholanzi alioambatana nao. Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akiwa katika mazungumzo Ofisni kwake na Spika wa Bunge la Uholanzi Mhe. Anouchka Van Miltenburg (mwenye koti jeupe) pamoja na ujumbe wa wabunge wanane kutoka Bunge la uholanzi ambao wapo nchini kwa ziara ya kikazi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani