Spika Zziwa asimamishwa kwa siku 21
BUNGE la Afrika Mashariki (EALA) limepitisha makubaliano ya kumsimamisha Spika wa Bunge hilo, Margaret Nantongo Zziwa, hadi uchunguzi kuhusu mwenendo wake utakapokamilika.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1UL3ifpm7LsDSQGvwHVyH1wI3pQJG9OVllH2-tBVRYdtkoGls3p4oVhM-Dyy1Ly6Ia*79**DfzeI79Ahw3g*d2*mG3pPSlz1/ZZIWA.jpg)
SPIKA MARGARET ZZIWA ASIMAMISHWA
10 years ago
Mwananchi30 Aug
Spika Zziwa ataka miundombinu ijengwe
10 years ago
StarTV18 Dec
Spika Zziwa ang’olewa rasmi.
Na Magesa Magesa
Arusha.
Spika wa Bunge la Afrika Mashariki (Eala), Dokta Margret Zziwa ameng’olewa rasmi katika nafasi yake leo katika kikao cha dharura cha Bunge hilo kilichofanyika jijini Arusha leo.
Bunge hilo limekutana baada ya Mahakama ya Afrika Mashariki (EACJ), kutupilia mbali maombi ya Spika Zziwa ya zuio la muda dhidi ya kikao hicho ambacho kilikuwa na hoja ya kupokea, kujadili na kuamua taarifa ya uchunguzi wa tuhuma dhidi ya Spika kutoka Kamati ya Sheria, Kanuni na Madaraka...
10 years ago
Mwananchi17 Nov
Shy-Rose, Spika Zziwa kikaangoni tena
10 years ago
Mwananchi28 Nov
Shy-Rose ‘amponza’ Spika Zziwa wa Eala
10 years ago
BBCSwahili18 Dec
Spika Zziwa ang'olewa Afrika Mashariki
10 years ago
Mwananchi18 May
Asimamishwa kazi kwa kumtumia JK ‘meseji’
11 years ago
Dewji Blog08 Aug
Mganga asimamishwa kazi kwa wizi wa dawa
Na Mwandishi wetu
BARAZA la Madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Igunga, Mkoani Tabora wamependekeza kuwa Mganga wa zahanati ya kata ya Sungwizi, Tarafa ya Nsimbo John Malaba asimamishwe kazi, kumfutia uhamisho aliopata wa kwenda makao makuu ya wilaya.
Licha ya kusimamishwa kazi baraza hilo pia limeamua kumfungulia mashtaka Mahakamani kwa tuhuma za wizi wa madawa ya binadamu yenye thamani ya shilingi 1,600,000/=.
Madiwani hao walifikia hatua hiyo baada ya kujibadili kutoka Baraza la...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EWMw8iXl*iVINrzAhkWKaRntEC83GbRdZPRybxDQB7am7bu4rIqLQH2hqdPqYTJy4vEBPNR5ktI5w6msXmVRhqGrnN62HM5Q/jk.jpg)
ASIMAMISHWA KAZI KWA KUMTUMIA JK ‘MESEJI’