Asimamishwa kazi kwa kumtumia JK ‘meseji’
>Mhasibu wa Hospitali ya Rufaa KCMC, Paul Mhumba amesimamishwa kazi kwa tuhuma za kutuma ujumbe wa simu ya mkononi (sms) kwa Rais Jakaya Kikwete.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EWMw8iXl*iVINrzAhkWKaRntEC83GbRdZPRybxDQB7am7bu4rIqLQH2hqdPqYTJy4vEBPNR5ktI5w6msXmVRhqGrnN62HM5Q/jk.jpg)
ASIMAMISHWA KAZI KWA KUMTUMIA JK ‘MESEJI’
11 years ago
Dewji Blog08 Aug
Mganga asimamishwa kazi kwa wizi wa dawa
Na Mwandishi wetu
BARAZA la Madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Igunga, Mkoani Tabora wamependekeza kuwa Mganga wa zahanati ya kata ya Sungwizi, Tarafa ya Nsimbo John Malaba asimamishwe kazi, kumfutia uhamisho aliopata wa kwenda makao makuu ya wilaya.
Licha ya kusimamishwa kazi baraza hilo pia limeamua kumfungulia mashtaka Mahakamani kwa tuhuma za wizi wa madawa ya binadamu yenye thamani ya shilingi 1,600,000/=.
Madiwani hao walifikia hatua hiyo baada ya kujibadili kutoka Baraza la...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Vml-j6I259M/VS-6BLCS6aI/AAAAAAAHRh4/OTiLpYWWqDU/s72-c/unnamedb1.jpg)
MKURUGENZI MTENDAJI TRL ASIMAMISHWA KAZI KWA TUHUMA ZA MALIPO KINYUME CHA MKATABA
MKURUGENZI Mtendaji wa Kampuni ya Reli nchini(TRL),Mhandisi Kapallo Kisamfu amesimamishwa kazi kupisha uchunguzi wa malipo ya Sh. Bilioni 230 ya mabehewa ya Mizigo yenye kasoro pamoja na kufanya malipo ya mabehewa yote kabla ya kukamilika.
Akitangaza maamuzi hayo ya kusimimishwa kwa Mkurugenzi huyo leo jijini Dar es Salaam baada ya ripoti ya kamati iliyoundwa na Waziri wa Uchukuzi (ambaye sasa ni Waziri wa Afrika Mashariki), Dk. Harrison...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BybgAqvu3Om37WCvrOe55aAz070KDudDcCnTcuk4b0XUeJMYrQYlzLiZ6sQNk8FVaIZbIJpf6degLuKLMVJRyiPOxTl9AQFK/breakingnews.gif)
KATIBU MKUU WA WIZARA YA NISHATI NA MADINI, ELIAKIM MASWI ASIMAMISHWA KAZI KWA MUDA
5 years ago
BBCSwahili08 Apr
Virusi vya corona: Waziri asimamishwa kazi kwa kushiriki chakula na rafiki yake A.Kusini
11 years ago
Mwananchi17 Mar
Mwenyekiti Korogwe asimamishwa kazi
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-dTqyt9ZPxUk/Xp2BDKUkJ_I/AAAAAAAC3gw/ujNRtThHtdAjUPwWjpaTprQGJYdBVcK1wCLcBGAsYHQ/s72-c/1.png)
9 years ago
Mwananchi24 Dec
Mkuu wa Dart asimamishwa kazi
10 years ago
BBCSwahili08 Jun
Polisi asimamishwa kazi Marekani