Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwenyekiti Korogwe asimamishwa kazi

Baraza la madiwani wilayani Korogwe vijijini wamemsimamisha aliyekuwa mwenyekiti wa halmashauri hiyo katika nafasi ya uenyekiti, Sadick Kallaghe kutokana na tuhuma mbalimbali zinazomkabili.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Mwenyekiti ACT asimamishwa

LIMBUNa Aziza Masoud, Dar es Salaam
HALMASHAURI Kuu ya Chama cha Alliance for Transparent (ACT), imemsimamisha uongozi Mwenyekiti wa Taifa wa muda wa chama hicho, Kadawi Limbu, na kumwondoa katika nafasi yake aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu, Leopold Mahona kwa makosa ya kinidhamu.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Katibu Mkuu wa muda wa chama hicho, Samson Mwigamba, alisema hatua hiyo imekuja baada ya kamati maalumu ya kuchunguza masuala ya kinidhamu kujiridhisha kuwa kitendo alichofanya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwenyekiti UVCCM Singida asimamishwa

BARAZA Kuu la Umoja wa Vijana (UVCCM) Mkoa wa Singida limemsimamisha uongozi Mwenyekiti wao wa mkoa, Martin Labia Lissu kwa madai ya kushindwa kutoa utetezi dhidi ya tuhuma zilizokuwa zikimkabili....

 

9 years ago

Mwananchi

Makamu mwenyekiti NCCR - Mageuzi asimamishwa

Makamu Mwenyekiti wa chama cha NCCR-Mageuzi, Leticia Mosore amesimamishwa uongozi kutokana na kukiuka taratibu na madai ya kushirikiana na CCM kukihujumu chama hicho.

 

5 years ago

CCM Blog

10 years ago

BBCSwahili

Polisi asimamishwa kazi Marekani

Polisi mzungu katika jimbo la Texas nchini Marekani amesimishwa kazi baada kuonekana akihangaisha kundi la vijana

 

10 years ago

Habarileo

Bosi wa Bandari asimamishwa kazi

Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, wakati akitangaza kumsimamisha Kazi Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), Madeni Kipande na nafasi yake kuchukuliwa na Awadh Masawe. Kulia ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Monica Mwamunyange. (Na Mpigapicha Wetu).WAZIRI wa Uchukuzi, Samuel Sitta amemsimamisha kazi Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), Madeni Kipande kutokana na kile kilichoelezwa kuwa uendeshaji mbovu wa utoaji wa zabuni.

 

9 years ago

Mwananchi

Mkuu wa Dart asimamishwa kazi

Serikali imemsimamisha kazi Mtendaji Mkuu wa Mradi wa Mabasi yaendayo Haraka katika Jiji la Dar es Salaam (Dart), Asteria Mlambo kuanzia jana kwa sababu mbalimbali za kiutendaji.

 

10 years ago

GPL

POLISI ASIMAMISHWA KAZI NCHINI MAREKANI

Polisi akionekana kumdhibiti mmoja wa vijana hao. Polisi mmoja mzungu katika jimbo la Texas nchini Marekani amesimishwa kazi baada ya video moja kuwekwa kwenye mitandao ikionyesha akihangaisha kundi moja la vijana wengi wao wakiwa ni weusi. Afisa hiyo anaonekana akiwalenga vijana wawili wa kiume kwa bunduki yake huku pia akimuangusha chini na kumkamata msichana wa umri wa miaka 14.Polisi hao walikuwa wameitwa na wenyeji...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani