Mwenyekiti Korogwe asimamishwa kazi
Baraza la madiwani wilayani Korogwe vijijini wamemsimamisha aliyekuwa mwenyekiti wa halmashauri hiyo katika nafasi ya uenyekiti, Sadick Kallaghe kutokana na tuhuma mbalimbali zinazomkabili.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania14 Jan
Mwenyekiti ACT asimamishwa
Na Aziza Masoud, Dar es Salaam
HALMASHAURI Kuu ya Chama cha Alliance for Transparent (ACT), imemsimamisha uongozi Mwenyekiti wa Taifa wa muda wa chama hicho, Kadawi Limbu, na kumwondoa katika nafasi yake aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu, Leopold Mahona kwa makosa ya kinidhamu.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Katibu Mkuu wa muda wa chama hicho, Samson Mwigamba, alisema hatua hiyo imekuja baada ya kamati maalumu ya kuchunguza masuala ya kinidhamu kujiridhisha kuwa kitendo alichofanya...
11 years ago
Tanzania Daima02 Jun
Mwenyekiti UVCCM Singida asimamishwa
BARAZA Kuu la Umoja wa Vijana (UVCCM) Mkoa wa Singida limemsimamisha uongozi Mwenyekiti wao wa mkoa, Martin Labia Lissu kwa madai ya kushindwa kutoa utetezi dhidi ya tuhuma zilizokuwa zikimkabili....
9 years ago
Mwananchi01 Oct
Makamu mwenyekiti NCCR - Mageuzi asimamishwa
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-dTqyt9ZPxUk/Xp2BDKUkJ_I/AAAAAAAC3gw/ujNRtThHtdAjUPwWjpaTprQGJYdBVcK1wCLcBGAsYHQ/s72-c/1.png)
10 years ago
BBCSwahili08 Jun
Polisi asimamishwa kazi Marekani
10 years ago
Habarileo17 Feb
Bosi wa Bandari asimamishwa kazi
WAZIRI wa Uchukuzi, Samuel Sitta amemsimamisha kazi Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), Madeni Kipande kutokana na kile kilichoelezwa kuwa uendeshaji mbovu wa utoaji wa zabuni.
9 years ago
Mwananchi24 Dec
Mkuu wa Dart asimamishwa kazi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tei6Zvghx23iSTqNtcn0hHkX2yiRJwyfXXcyKzuYj*NUea-qUhK4zbCgoV4R7r5s1yaylnAzowQas5lCtEW8VYW0gcJ3*QS4/150608065847_texas_police_violence_640x360_a_nocreditcopy.jpg?width=650)
POLISI ASIMAMISHWA KAZI NCHINI MAREKANI