Bosi wa Bandari asimamishwa kazi
WAZIRI wa Uchukuzi, Samuel Sitta amemsimamisha kazi Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), Madeni Kipande kutokana na kile kilichoelezwa kuwa uendeshaji mbovu wa utoaji wa zabuni.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://4.bp.blogspot.com/--O56OO65qlI/U8UJL3b7HgI/AAAAAAAABXU/u2sQd3FFy8I/s72-c/Unknown.jpeg)
Bosi Bandari kortini
Adaiwa kutoa zabuni kinyume cha sheria Ni ya upanuzi wa gati namba 13 na 14 Dar
NA FURAHA OMARY
ALIYEKUWA Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Ephraim Mgawe na Naibu wake, Hamad Koshuma, wamefikishwa mahakamani kwa tuhuma za matumizi mabaya ya madaraka.
![](http://4.bp.blogspot.com/--O56OO65qlI/U8UJL3b7HgI/AAAAAAAABXU/u2sQd3FFy8I/s1600/Unknown.jpeg)
Vigogo hao wanadaiwa kutoa zabuni ya upanuzi wa gati namba 13 na 14 katika Bandari ya Dar es Salaam kwa China Communications Construction Company (CCCC), bila ya kutangaza zabuni.
Mgawe na mwenzake walifikishwa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-tN-A-UXrq6w/U-ti-EuAW8I/AAAAAAAF_Nk/rhO-hNEW1Vk/s72-c/download.jpg)
kesi ya bosi wa bandari na msaidizi wake: upelelezi wakamilika, maelezo ya awali kusikilizwa septemba 11, 2014
![](http://2.bp.blogspot.com/-tN-A-UXrq6w/U-ti-EuAW8I/AAAAAAAF_Nk/rhO-hNEW1Vk/s1600/download.jpg)
Na Sultani Kipingo, MahakamaniUPANDE wa Jamhuri katika kesi inayomkabili aliyekuwa Mkurugenzi wa Mlamkala ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Ephraimu Mgawe na msaidizi wake, umedai kwamba upelelezi umekamilika dhidi ya tuhuma za matumizi mabaya ya madaraka kwa kusaini mkataba wa kuipa kazi Kampuni ya Ujenzi ya China Communications Ltd bila kutangaza zabuni.Madai hayo yalitolewa leo na upande wa Jamhuri katika kesi hiyo mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Mfawidhi, Isaya Arufani kwamba...
11 years ago
Mwananchi17 Mar
Mwenyekiti Korogwe asimamishwa kazi
Baraza la madiwani wilayani Korogwe vijijini wamemsimamisha aliyekuwa mwenyekiti wa halmashauri hiyo katika nafasi ya uenyekiti, Sadick Kallaghe kutokana na tuhuma mbalimbali zinazomkabili.
9 years ago
Mwananchi24 Dec
Mkuu wa Dart asimamishwa kazi
Serikali imemsimamisha kazi Mtendaji Mkuu wa Mradi wa Mabasi yaendayo Haraka katika Jiji la Dar es Salaam (Dart), Asteria Mlambo kuanzia jana kwa sababu mbalimbali za kiutendaji.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-dTqyt9ZPxUk/Xp2BDKUkJ_I/AAAAAAAC3gw/ujNRtThHtdAjUPwWjpaTprQGJYdBVcK1wCLcBGAsYHQ/s72-c/1.png)
10 years ago
BBCSwahili08 Jun
Polisi asimamishwa kazi Marekani
Polisi mzungu katika jimbo la Texas nchini Marekani amesimishwa kazi baada kuonekana akihangaisha kundi la vijana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tei6Zvghx23iSTqNtcn0hHkX2yiRJwyfXXcyKzuYj*NUea-qUhK4zbCgoV4R7r5s1yaylnAzowQas5lCtEW8VYW0gcJ3*QS4/150608065847_texas_police_violence_640x360_a_nocreditcopy.jpg?width=650)
POLISI ASIMAMISHWA KAZI NCHINI MAREKANI
Polisi akionekana kumdhibiti mmoja wa vijana hao. Polisi mmoja mzungu katika jimbo la Texas nchini Marekani amesimishwa kazi baada ya video moja kuwekwa kwenye mitandao ikionyesha akihangaisha kundi moja la vijana wengi wao wakiwa ni weusi. Afisa hiyo anaonekana akiwalenga vijana wawili wa kiume kwa bunduki yake huku pia akimuangusha chini na kumkamata msichana wa umri wa miaka 14.Polisi hao walikuwa wameitwa na wenyeji...
10 years ago
Mwananchi18 May
Asimamishwa kazi kwa kumtumia JK ‘meseji’
>Mhasibu wa Hospitali ya Rufaa KCMC, Paul Mhumba amesimamishwa kazi kwa tuhuma za kutuma ujumbe wa simu ya mkononi (sms) kwa Rais Jakaya Kikwete.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania