POLISI ASIMAMISHWA KAZI NCHINI MAREKANI
![](http://api.ning.com:80/files/tei6Zvghx23iSTqNtcn0hHkX2yiRJwyfXXcyKzuYj*NUea-qUhK4zbCgoV4R7r5s1yaylnAzowQas5lCtEW8VYW0gcJ3*QS4/150608065847_texas_police_violence_640x360_a_nocreditcopy.jpg?width=650)
Polisi akionekana kumdhibiti mmoja wa vijana hao. Polisi mmoja mzungu katika jimbo la Texas nchini Marekani amesimishwa kazi baada ya video moja kuwekwa kwenye mitandao ikionyesha akihangaisha kundi moja la vijana wengi wao wakiwa ni weusi. Afisa hiyo anaonekana akiwalenga vijana wawili wa kiume kwa bunduki yake huku pia akimuangusha chini na kumkamata msichana wa umri wa miaka 14.Polisi hao walikuwa wameitwa na wenyeji...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili08 Jun
Polisi asimamishwa kazi Marekani
10 years ago
Bongo Movies15 Mar
Wastara Apata Dili Kufanya Kazi Nchini Marekani
Staa wa Bongo Movie, Wastara Juma amepata shavu la kwenda kufanya kazi nchini marekani akiwa pamoja na mtengenezaji filamu mahiri kabisa hapa Bongo, Timoth Conrad Kachumia.
Japo kuwa hakutaka kueleza ni lini watakwenda nchini humo na kampuni iliyowapa chavu hilo, kupitia ukursasa wake mtandaoni alibandika baadhi ya picha akiwa na watu ambao ndio wame wapa dili hilo na kuandika;
“Ukipata nafasi ya kufanya kazi kimataifa usiichezee,,one mistake hundred goal............kosa la defense ni...
11 years ago
Mwananchi17 Mar
Mwenyekiti Korogwe asimamishwa kazi
10 years ago
Habarileo17 Feb
Bosi wa Bandari asimamishwa kazi
WAZIRI wa Uchukuzi, Samuel Sitta amemsimamisha kazi Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), Madeni Kipande kutokana na kile kilichoelezwa kuwa uendeshaji mbovu wa utoaji wa zabuni.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-dTqyt9ZPxUk/Xp2BDKUkJ_I/AAAAAAAC3gw/ujNRtThHtdAjUPwWjpaTprQGJYdBVcK1wCLcBGAsYHQ/s72-c/1.png)
9 years ago
Mwananchi24 Dec
Mkuu wa Dart asimamishwa kazi
10 years ago
Mwananchi18 May
Asimamishwa kazi kwa kumtumia JK ‘meseji’
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-pUmVtaFFanI/VoPEdO_fYPI/AAAAAAADEWo/KJmmgBRCmNM/s72-c/New%2BPicture.png)
Afisa biashara wa halmashauri ya Dodoma asimamishwa kazi
![](http://4.bp.blogspot.com/-pUmVtaFFanI/VoPEdO_fYPI/AAAAAAADEWo/KJmmgBRCmNM/s1600/New%2BPicture.png)
Anuani ya Simu “TAMISEMI” DODOMASimu Na: (026) 2322848, 2321607, 2322853, 2322420, Nukushi: (026) 2322116, 2322146. 2321013, Barua pepe:ps@poralg.go.tz
Tawala za Mikoana Serikali za Mitaa,S. L. P. 1923, DODOMA.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI Mhe. George Simbachawene amemuagiza Mkurugenzi wa Manispaa ya Dodoma kuwasimamisha kazi mara...