Polisi asimamishwa kazi Marekani
Polisi mzungu katika jimbo la Texas nchini Marekani amesimishwa kazi baada kuonekana akihangaisha kundi la vijana
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
POLISI ASIMAMISHWA KAZI NCHINI MAREKANI
11 years ago
Mwananchi17 Mar
Mwenyekiti Korogwe asimamishwa kazi
9 years ago
Mwananchi24 Dec
Mkuu wa Dart asimamishwa kazi
5 years ago
CCM Blog
10 years ago
Habarileo17 Feb
Bosi wa Bandari asimamishwa kazi
WAZIRI wa Uchukuzi, Samuel Sitta amemsimamisha kazi Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), Madeni Kipande kutokana na kile kilichoelezwa kuwa uendeshaji mbovu wa utoaji wa zabuni.
10 years ago
Mwananchi18 May
Asimamishwa kazi kwa kumtumia JK ‘meseji’
10 years ago
StarTV23 Dec
Katibu Mkuu Nishati na Madini asimamishwa kazi.
Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Yohana Sefue, amemsimamisha kazi kwa muda , Eliakim Maswi, Katibu Mkuu ya Wizara ya Nishati na Madini, ili kupisha uchunguzi wa tuhuma dhidi yake, kama ilivyoelekezwa na Rais wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete.
Balozi Sefue amemsimamisha kazi Ndugu Maswi kuanzia , Jumanne, Desemba 23, 2014, kwa kutumia madaraka aliyonayo kama Mamlaka ya Nidhamu kwa Watumishi wa Umma wanaoteuliwa na Rais, wakiwemo Makatibu Wakuu.
Taarifa iliyotolewa na Ofisi ya Balozi...
11 years ago
Dewji Blog08 Aug
Mganga asimamishwa kazi kwa wizi wa dawa
Na Mwandishi wetu
BARAZA la Madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Igunga, Mkoani Tabora wamependekeza kuwa Mganga wa zahanati ya kata ya Sungwizi, Tarafa ya Nsimbo John Malaba asimamishwe kazi, kumfutia uhamisho aliopata wa kwenda makao makuu ya wilaya.
Licha ya kusimamishwa kazi baraza hilo pia limeamua kumfungulia mashtaka Mahakamani kwa tuhuma za wizi wa madawa ya binadamu yenye thamani ya shilingi 1,600,000/=.
Madiwani hao walifikia hatua hiyo baada ya kujibadili kutoka Baraza la...