Mwenyekiti ACT asimamishwa
Na Aziza Masoud, Dar es Salaam
HALMASHAURI Kuu ya Chama cha Alliance for Transparent (ACT), imemsimamisha uongozi Mwenyekiti wa Taifa wa muda wa chama hicho, Kadawi Limbu, na kumwondoa katika nafasi yake aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu, Leopold Mahona kwa makosa ya kinidhamu.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Katibu Mkuu wa muda wa chama hicho, Samson Mwigamba, alisema hatua hiyo imekuja baada ya kamati maalumu ya kuchunguza masuala ya kinidhamu kujiridhisha kuwa kitendo alichofanya...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo14 Jan
Limbu asimamishwa uenyekiti ACT
CHAMA cha ACT-Tanzania kimemsimamisha aliyekuwa Mwenyekiti wake wa muda, Kadawi Limbu na kumwondoa katika nafasi yake ya Naibu Katibu Mkuu, Leopold Mahona kutokana na makosa mbalimbali waliyoyafanya ndani ya chama hicho.
11 years ago
Tanzania Daima02 Jun
Mwenyekiti UVCCM Singida asimamishwa
BARAZA Kuu la Umoja wa Vijana (UVCCM) Mkoa wa Singida limemsimamisha uongozi Mwenyekiti wao wa mkoa, Martin Labia Lissu kwa madai ya kushindwa kutoa utetezi dhidi ya tuhuma zilizokuwa zikimkabili....
11 years ago
Mwananchi17 Mar
Mwenyekiti Korogwe asimamishwa kazi
9 years ago
Mwananchi01 Oct
Makamu mwenyekiti NCCR - Mageuzi asimamishwa
10 years ago
GPLMWENYEKITI WA CHAMA CHA ACT-TANZANIA AKIPINGA CHAMA CHA ACT-WAZALENDO
10 years ago
MichuziMWENYEKITI WA CHAMA CHA ACT-TANZANIA AKIPINGA CHAMA CHA ACT-WAZALENDO
10 years ago
Habarileo07 Jan
ACT wazidi kuvurugana, wamkataa Mwenyekiti
HALI si shwari ndani ya Chama cha Uwazi na Mabadiliko (ACT-Tanzania) baada ya Kamati Kuu ya chama hicho, kupiga kura ya kutokuwa na imani na Mwenyekiti wake, Kadawi Limbu na kumsimamisha Naibu Katibu Mkuu (Bara), Leopold Mahona.
9 years ago
Habarileo02 Jan
Mwenyekiti ACT-Wazalendo awakumbusha kazi waandishi
ALIYEKUWA mgombea wa Urais kupitia chama cha ACT- Wazalendo, Anna Mghwira amewataka waandishi wa habari mkoani hapa, kutumia taaluma yao kuwaelimisha wazazi au walezi wa wanafunzi wa shule za msingi na sekondari juu ya athari za utoro shuleni.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-TZxtVAflYHk/XoSQPhiscbI/AAAAAAAAxgk/Y6nz3CgaPqgEAPtpywV6lsvRRj9QQ05bwCLcBGAsYHQ/s72-c/1547604_upload_2017-7-15_13-24-11.jpeg)
ALIYEKUWA KAIMU MWENYEKITI ACT WAZALENDO AKIHAMA CHAMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-TZxtVAflYHk/XoSQPhiscbI/AAAAAAAAxgk/Y6nz3CgaPqgEAPtpywV6lsvRRj9QQ05bwCLcBGAsYHQ/s640/1547604_upload_2017-7-15_13-24-11.jpeg)
Maganja ambaye pia amewahi kuwa mshauri wa ACT amesema sababu kuu zilizomfanya ajiondoe kwenye chama hicho ni namna ambavyo uchaguzi mkuu uliofanyika Machi mwaka huu ulivyoendeshwa pamoja na ujio wa Maalim Seif Sharif Hamad kutokea Chama cha Wananchi (CUF).
Amesema mwanzoni...