ACT wazidi kuvurugana, wamkataa Mwenyekiti
HALI si shwari ndani ya Chama cha Uwazi na Mabadiliko (ACT-Tanzania) baada ya Kamati Kuu ya chama hicho, kupiga kura ya kutokuwa na imani na Mwenyekiti wake, Kadawi Limbu na kumsimamisha Naibu Katibu Mkuu (Bara), Leopold Mahona.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Raia Mwema06 Jan
CCM Mbeya wazidi kuvurugana
MAMBO sio shwari ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Jiji la Mbeya, wamefunga mwaka wakishu
Felix Mwakyembe
11 years ago
Mwananchi02 Feb
Viongozi CCM wazidi kuvurugana urais mwaka 2015
11 years ago
GPLWAJUMBE UVCCM MORO WAMKATAA MWENYEKITI WAO
10 years ago
GPLMWENYEKITI WA CHAMA CHA ACT-TANZANIA AKIPINGA CHAMA CHA ACT-WAZALENDO
10 years ago
Mtanzania14 Jan
Mwenyekiti ACT asimamishwa
Na Aziza Masoud, Dar es Salaam
HALMASHAURI Kuu ya Chama cha Alliance for Transparent (ACT), imemsimamisha uongozi Mwenyekiti wa Taifa wa muda wa chama hicho, Kadawi Limbu, na kumwondoa katika nafasi yake aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu, Leopold Mahona kwa makosa ya kinidhamu.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Katibu Mkuu wa muda wa chama hicho, Samson Mwigamba, alisema hatua hiyo imekuja baada ya kamati maalumu ya kuchunguza masuala ya kinidhamu kujiridhisha kuwa kitendo alichofanya...
10 years ago
MichuziMWENYEKITI WA CHAMA CHA ACT-TANZANIA AKIPINGA CHAMA CHA ACT-WAZALENDO
9 years ago
Habarileo02 Jan
Mwenyekiti ACT-Wazalendo awakumbusha kazi waandishi
ALIYEKUWA mgombea wa Urais kupitia chama cha ACT- Wazalendo, Anna Mghwira amewataka waandishi wa habari mkoani hapa, kutumia taaluma yao kuwaelimisha wazazi au walezi wa wanafunzi wa shule za msingi na sekondari juu ya athari za utoro shuleni.
10 years ago
Habarileo25 Jan
Mwenyekiti ACT auawa na viungo vyake kupikwa nyama
MWENYEKITI wa kitongoji cha Songambele katika wilaya ya Mlele mkoani Katavi kupitia chama cha ACT, Richald Madirisha (31) ameuawa kwa kuchinjwa na kiwiliwili chake kutenganishwa akituhumiwa kunyang’anya mke wa mtu.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-TZxtVAflYHk/XoSQPhiscbI/AAAAAAAAxgk/Y6nz3CgaPqgEAPtpywV6lsvRRj9QQ05bwCLcBGAsYHQ/s72-c/1547604_upload_2017-7-15_13-24-11.jpeg)
ALIYEKUWA KAIMU MWENYEKITI ACT WAZALENDO AKIHAMA CHAMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-TZxtVAflYHk/XoSQPhiscbI/AAAAAAAAxgk/Y6nz3CgaPqgEAPtpywV6lsvRRj9QQ05bwCLcBGAsYHQ/s640/1547604_upload_2017-7-15_13-24-11.jpeg)
Maganja ambaye pia amewahi kuwa mshauri wa ACT amesema sababu kuu zilizomfanya ajiondoe kwenye chama hicho ni namna ambavyo uchaguzi mkuu uliofanyika Machi mwaka huu ulivyoendeshwa pamoja na ujio wa Maalim Seif Sharif Hamad kutokea Chama cha Wananchi (CUF).
Amesema mwanzoni...