Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CCM Mbeya wazidi kuvurugana

MAMBO sio shwari ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Jiji la Mbeya, wamefunga mwaka wakishu

Felix Mwakyembe

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Viongozi CCM wazidi kuvurugana urais mwaka 2015

Aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM, Pius Msekwa, amewaonya wanachama wa chama hicho wenye nia ya kugombea nafasi za uongozi katika uchaguzi mkuu ujao akiwataka kuzingatia kanuni za chama hicho, vinginevyo watahukumiwa.

 

10 years ago

Habarileo

ACT wazidi kuvurugana, wamkataa Mwenyekiti

Katibu Mkuu wa ACT-Tanzania, Samson Mwigamba,HALI si shwari ndani ya Chama cha Uwazi na Mabadiliko (ACT-Tanzania) baada ya Kamati Kuu ya chama hicho, kupiga kura ya kutokuwa na imani na Mwenyekiti wake, Kadawi Limbu na kumsimamisha Naibu Katibu Mkuu (Bara), Leopold Mahona.

 

9 years ago

Raia Mwema

Chadema wazidi kujitanua Mbeya

UCHAGUZI Mkuu umeisha, washindi wamepatikana, kwa Mkoa wa Mbeya ni wazi kwamba Chama cha Demokras

Felix Mwakyembe

 

11 years ago

Mwananchi

Chadema wazidi kukorogana Mbeya

 Chadema wilayani Mbeya imeanza kutoa mwanya kwa CCM kujiimarisha baada ya viongozi wake kuanza kufukuzana, huku wengine wakijiuzulu.

 

9 years ago

Mtanzania

Viongozi wazidi kuhama CCM

Chama-Cha-MapinduziSafina Sarwatt (Kilimanjaro) na Eliya Mbonea (Monduli)

IDADI ya viongozi wanaohama Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kwenda Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) imezidi kuongezeka na jana Katibu wa Uchumi na Fedha wa CCM Mkoa wa Kilimanjaro, Paul Matemu pamoja na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Vijana wa chama hicho, Fredrick Mushi, walitangaza kuchukua uamuzi huo, wakifuata nyayo za Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa.

Jana hiyo hiyo mabalozi 110 wa nyumba 10, makatibu wa tawi wanne, wajumbe...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM wazidi kulia na Warioba

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimezidi kuilaumu iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba kwa kuandika rasimu iliyojaa mawazo ya wajumbe wake waliotaka muundo wa serikali tatu. Lawama hizo zilitolewa jana na...

 

11 years ago

Mwananchi

Wabunge CCM wazidi kuipinga bajeti

>Wabunge wa Chama Cha Mapinduzi jana waliipinga hadharani bajeti ya Serikali inayoendelea kujadiliwa bungeni, kwa madai hawatakuwa tayari kuiunga mkono kwa kuwa haina jipya.

 

11 years ago

Mwananchi

Wabunge CCM wazidi kumwandama Warioba

>Wabunge wa CCM wameendelea kuirarua Rasimu ya Katiba iliyowasilishwa bungeni na Mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba.

 

11 years ago

Mwananchi

CCM, Chadema wazidi kutoana jasho Kalenga

Naibu Katibu Mkuu wa (CCM)-Bara, Mwigulu Nchemba amewatakla wananchi wa jimbo hilo kumchagua Mgombea wa Chama hicho, Godfrey Mgimwa ili awaletea maendeleo yanayotokana na utekelezaji wa ilani ya chama hicho tawala.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani