Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wabunge CCM wazidi kumwandama Warioba

>Wabunge wa CCM wameendelea kuirarua Rasimu ya Katiba iliyowasilishwa bungeni na Mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Wabunge wazidi kumwandama RC Gama

Leonidas+Gama(1)NA ARODIA PETER, Dodoma

WABUNGE wa upinzani wa Mkoa wa Kilimanjaro wamemtaka Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kuchunguza mchakato wa uwekezaji wa ardhi katika Halmashauri ya Rombo unaomhusisha Mkuu wa Mkoa huo, Leonidas Gama.
Wabunge hao wanamtuhumu Gama kuwa ametumia vibaya madaraka yake kwa kujiingiza kwenye biashara chafu ya kupora ardhi ya wananchi na kuwapa wawekezaji wageni wakati huo huo yeye pamoja na mtoto...

 

11 years ago

Mwananchi

Wabunge wazidi kumwandama Pinda

Mzimu wa kung’olewa unazidi kumwandama Waziri Mkuu, Mizengo Pinda huku Mbunge wa Muhambwe, Felix Mkosamali (NCCR), akitaka Bunge lipige kura ya kutokuwa na imani naye.

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM wazidi kulia na Warioba

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimezidi kuilaumu iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba kwa kuandika rasimu iliyojaa mawazo ya wajumbe wake waliotaka muundo wa serikali tatu. Lawama hizo zilitolewa jana na...

 

11 years ago

Mwananchi

Wabunge CCM wazidi kuipinga bajeti

>Wabunge wa Chama Cha Mapinduzi jana waliipinga hadharani bajeti ya Serikali inayoendelea kujadiliwa bungeni, kwa madai hawatakuwa tayari kuiunga mkono kwa kuwa haina jipya.

 

11 years ago

Habarileo

Warioba awachanganya wabunge

BAADHI ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, wamekiri kuchanganywa kutokana na hotuba ya Mwenyekiti wa Tume ya Marekebisho ya Katiba, Jaji Joseph Warioba ambayo walidai imeibua mambo mengi ambayo hawakuwa wanayafahamu.

 

11 years ago

Habarileo

Wabunge sasa kujadili hotuba za Rais, Warioba

Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta (kushoto) akimwapisha Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Anne Makinda (kulia) kuwa Mjumbe wa Bunge hilo, bungeni mjini Dodoma jana. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).HOTUBA iliyotolewa na Rais Jakaya Kikwete pamoja na ya Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba zitajadiliwa bungeni baada ya Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, kuridhia ombi hilo lililotolewa na baadhi ya wajumbe.

 

9 years ago

Mtanzania

Viongozi wazidi kuhama CCM

Chama-Cha-MapinduziSafina Sarwatt (Kilimanjaro) na Eliya Mbonea (Monduli)

IDADI ya viongozi wanaohama Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kwenda Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) imezidi kuongezeka na jana Katibu wa Uchumi na Fedha wa CCM Mkoa wa Kilimanjaro, Paul Matemu pamoja na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Vijana wa chama hicho, Fredrick Mushi, walitangaza kuchukua uamuzi huo, wakifuata nyayo za Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa.

Jana hiyo hiyo mabalozi 110 wa nyumba 10, makatibu wa tawi wanne, wajumbe...

 

9 years ago

Raia Mwema

CCM Mbeya wazidi kuvurugana

MAMBO sio shwari ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Jiji la Mbeya, wamefunga mwaka wakishu

Felix Mwakyembe

 

11 years ago

Mwananchi

CCM, Chadema wazidi kutoana jasho Kalenga

Naibu Katibu Mkuu wa (CCM)-Bara, Mwigulu Nchemba amewatakla wananchi wa jimbo hilo kumchagua Mgombea wa Chama hicho, Godfrey Mgimwa ili awaletea maendeleo yanayotokana na utekelezaji wa ilani ya chama hicho tawala.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani