Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chadema wazidi kukorogana Mbeya

 Chadema wilayani Mbeya imeanza kutoa mwanya kwa CCM kujiimarisha baada ya viongozi wake kuanza kufukuzana, huku wengine wakijiuzulu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Raia Mwema

Chadema wazidi kujitanua Mbeya

UCHAGUZI Mkuu umeisha, washindi wamepatikana, kwa Mkoa wa Mbeya ni wazi kwamba Chama cha Demokras

Felix Mwakyembe

 

9 years ago

Raia Mwema

CCM Mbeya wazidi kuvurugana

MAMBO sio shwari ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Jiji la Mbeya, wamefunga mwaka wakishu

Felix Mwakyembe

 

11 years ago

Habarileo

Chadema Arusha wazidi kumong’onyoka

CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoani Arusha kimeendelea kumeguka baada ya jana vigogo wake wanne wakiwemo wenyeviti wawili wa wilaya kutangaza kujiuzulu nyadhifa zao pamoja na uanachama kutokana na ufisadi unaodaiwa kuwepo ndani ya chama hicho ngazi ya taifa.

 

11 years ago

Mwananchi

CCM, Chadema wazidi kutoana jasho Kalenga

Naibu Katibu Mkuu wa (CCM)-Bara, Mwigulu Nchemba amewatakla wananchi wa jimbo hilo kumchagua Mgombea wa Chama hicho, Godfrey Mgimwa ili awaletea maendeleo yanayotokana na utekelezaji wa ilani ya chama hicho tawala.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

CHADEMA Wazidi Kuikaba Koo Tume Ya Uchaguzi……Wasema Watatangaza Matokeo Ya Urais Kabla Ya Tume Kuyatangaza

Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika Thursday, October 1, 2015 TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imebanwa mbavu ikitakiwa kutoa hadharani Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa mujibu wa uandikishaji wa wapigakura ulivyofanyika nchi […]

The post CHADEMA Wazidi Kuikaba Koo Tume Ya Uchaguzi……Wasema Watatangaza Matokeo Ya Urais Kabla Ya Tume Kuyatangaza appeared first on Mzalendo.net.

 

11 years ago

Tanzania Daima

WanaCCM Mbeya watimkia CHADEMA

WANACCM zaidi ya 60 katika Kijiji cha Jojo, Kata ya Santilya, Mbeya Vijijini, wamejiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Kujiunga kwa wanachama hao CHADEMA, kumemtia hofu mtendaji wa...

 

10 years ago

Raia Mwema

Kura za maoni Chadema Mbeya balaa

KURA za maoni, nafasi ya ubunge kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) mkoani Mbeya zime

Mwandishi Wetu

 

10 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA Mbeya yalia mchezo mchafu

CHAMA  cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Jimbo la Mbeya mjini, kimefichua siri ya mbinu na mikakati michafu ya kisiasa inayoratibiwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM), ili kuhakikisha idadi kubwa ya...

 

5 years ago

CCM Blog

CHADEMA YAPATA PIGO JIJI LA MBEYA


  Madiwani 11 wa Chadema Halmashauri  ya Jiji la Mbeya akiwemo Meya wa Jiji hilo wamejiuzulu na kuhamia CCM leo Jumatatu Februari 24, 2020.
Katibu Mkuu wa CCM, Bashiru Ally amesema kati ya Madiwani hao, 10 ni Madiwani wa Kuchaguliwa na Mmoja ni wa Viti Maalumu huku timu hiyo inayoongozwa na Meya ikiwa na Viongozi Watatu wa Juu wa CHADEMA.
Amesema kuwa Madiwani hao wanatoka katika Jiji la Mbeya kwenye Halmashauri inayoongozwa na CHADEMA na Mbunge wa Jimbo hilo ni Joseph Mbilinyi (Sugu) na kuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani