Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chadema Arusha wazidi kumong’onyoka

CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoani Arusha kimeendelea kumeguka baada ya jana vigogo wake wanne wakiwemo wenyeviti wawili wa wilaya kutangaza kujiuzulu nyadhifa zao pamoja na uanachama kutokana na ufisadi unaodaiwa kuwepo ndani ya chama hicho ngazi ya taifa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Raia Mwema

Chadema wazidi kujitanua Mbeya

UCHAGUZI Mkuu umeisha, washindi wamepatikana, kwa Mkoa wa Mbeya ni wazi kwamba Chama cha Demokras

Felix Mwakyembe

 

11 years ago

Mwananchi

Chadema wazidi kukorogana Mbeya

 Chadema wilayani Mbeya imeanza kutoa mwanya kwa CCM kujiimarisha baada ya viongozi wake kuanza kufukuzana, huku wengine wakijiuzulu.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wanawake Arusha wazidi kuishi kwa hofu

WANAWAKE jijini Arusha, wamesema usalama wao uko matatani kutokana na kuongezeka kwa matukio yanayowalenga ya kushambuliwa kwa risasi na watu wanaokuwa kwenye bodaboda, ambako wengine wakijeruhiwa vibaya huku wawili wakifariki...

 

11 years ago

Mwananchi

CCM, Chadema wazidi kutoana jasho Kalenga

Naibu Katibu Mkuu wa (CCM)-Bara, Mwigulu Nchemba amewatakla wananchi wa jimbo hilo kumchagua Mgombea wa Chama hicho, Godfrey Mgimwa ili awaletea maendeleo yanayotokana na utekelezaji wa ilani ya chama hicho tawala.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

CHADEMA Wazidi Kuikaba Koo Tume Ya Uchaguzi……Wasema Watatangaza Matokeo Ya Urais Kabla Ya Tume Kuyatangaza

Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika Thursday, October 1, 2015 TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imebanwa mbavu ikitakiwa kutoa hadharani Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa mujibu wa uandikishaji wa wapigakura ulivyofanyika nchi […]

The post CHADEMA Wazidi Kuikaba Koo Tume Ya Uchaguzi……Wasema Watatangaza Matokeo Ya Urais Kabla Ya Tume Kuyatangaza appeared first on Mzalendo.net.

 

11 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA Arusha, DC hataposhi

MADIWANI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) jijini hapa pamoja na mbunge, Godbless Lema, wamemtaka Mkuu wa Wilaya (DC) ya Arusha, John Mongela, kuacha kuingilia shughuli za utendaji ambazo...

 

10 years ago

Michuzi

CHADEMA YATIKISA ARUSHA

 Profesor Jay akihamsisha wananchi kujitokeza kwenda kujiandikisha "NDUGU ZANGU WANA WA ARUSHA NA TANZANIA KWA UJUMLA TUJITOKEZE KUJIANDIKISHA ILI TUJIHAKIKISHIE UHURU WA KWELI NA SIO MATUMAINI" Mbuge wa Arumeru Mashariki Mh Joshua Nassari amewataka watanzania kutambua muda wa mateso waliyoyapata kwa Miaka Mingi sasa yamefikia ukomo,"Njia pekee iliyobaki ndugu zangu ni kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la Mpiga kura" Pia ametambulisha AMBULANCE 2 alizo zitoa kwenye jimbo lakeMbuge...

 

9 years ago

StarTV

Chadema ya meguka Arusha.

Baadhi ya vijana waliodai kuwa wanachama wa Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA mkoani Arusha wameandamana na kuchoma moto bendera na kadi za vyama vyao wakidai kumuunga mkono aliyekuwa katibu Mkuu wa CHADEMA Dokta Wilbroad Slaa aliyetangaza kuachana na siasa.

 

Wanachama hao wengi wao wakiwa vijana waliokuwa wamebeba mabango yenye jumbe mbalimbali wamedai kuachana rasmi na vyama vinavyounda ukawa na badala yake wanajiunga na chama cha ACT-Wazalendo.

Baadhi ya wanachama hao akiwemo Hassan...

 

11 years ago

Habarileo

Chadema wasalimu amri Arusha

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman MboweKAMATI Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimewataka madiwani wa Mkoa wa Arusha kuhudhuria vikao vya madiwani walivyokuwa wamesusia kwa miaka kadhaa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani