CHADEMA Arusha, DC hataposhi
MADIWANI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) jijini hapa pamoja na mbunge, Godbless Lema, wamemtaka Mkuu wa Wilaya (DC) ya Arusha, John Mongela, kuacha kuingilia shughuli za utendaji ambazo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ffeB6-HM68M/VXK3LPzaGnI/AAAAAAAAPDE/y4mfWV9AINE/s72-c/11287223_957148714319149_1082941561_n.jpg)
CHADEMA YATIKISA ARUSHA
![](http://1.bp.blogspot.com/-ffeB6-HM68M/VXK3LPzaGnI/AAAAAAAAPDE/y4mfWV9AINE/s640/11287223_957148714319149_1082941561_n.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vXBvKUW6B1A/VXK3N_6krGI/AAAAAAAAPDU/aZrIb2vvaE4/s640/11287426_957148724319148_1226527036_n.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-VGlSb0QeynQ/VXK5GG5vSkI/AAAAAAAAPD4/9zSfUqYHvaI/s640/11357252_386915751497727_3608413603589319620_o.jpg)
9 years ago
StarTV05 Sep
Chadema ya meguka Arusha.
Baadhi ya vijana waliodai kuwa wanachama wa Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA mkoani Arusha wameandamana na kuchoma moto bendera na kadi za vyama vyao wakidai kumuunga mkono aliyekuwa katibu Mkuu wa CHADEMA Dokta Wilbroad Slaa aliyetangaza kuachana na siasa.
Wanachama hao wengi wao wakiwa vijana waliokuwa wamebeba mabango yenye jumbe mbalimbali wamedai kuachana rasmi na vyama vinavyounda ukawa na badala yake wanajiunga na chama cha ACT-Wazalendo.
Baadhi ya wanachama hao akiwemo Hassan...
10 years ago
TheCitizen08 May
Lema is our choice for Arusha, says Chadema
10 years ago
Habarileo02 Dec
Chadema Arusha yapata pigo
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimepata pigo baada ya mapingamizi yake 155 kwa wagombea katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika Jiji la Arusha kutupwa.
10 years ago
Raia Mwema25 Jun
CCM na Chadema ‘waungana’ Arusha
MAHASIMU wa kisiasa, Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Chama Cha Demokarisa na Maendeleo (Chadema) mko
Paul Sarwatt
9 years ago
Raia Mwema16 Dec
Chadema chama tawala Arusha
SAFARI ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa chama tawala mkoani Arusha ilihitimishwa rasmi Jumatatu
Paul Sarwatt
11 years ago
Habarileo16 Feb
Chadema wasalimu amri Arusha
KAMATI Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimewataka madiwani wa Mkoa wa Arusha kuhudhuria vikao vya madiwani walivyokuwa wamesusia kwa miaka kadhaa.
11 years ago
Tanzania Daima19 Jul
Diwani CCM Arusha atimkia CHADEMA
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) jijini Arusha kimepata pigo baada ya aliyewahi kuwa Diwani wake, Amos Mwanga kutimkia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Mwanga alisema jana ameamua kujiunga na CHADEMA...
10 years ago
Mtanzania10 Aug
Vigogo CCM Arusha watimkia Chadema
NA ELIYA MBONEA, ARUSHA
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Arusha, Onesmo Ole Nangole na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Mkoa huo, Isack Joseph, wamekihama chama hicho na kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).
Ole Nangole na Joseph walifikia uamuzi huo jijini hapa jana na kusema kwa nyakati tofauti wamelazimika kuchukua uamuzi huo kwa kuwa utaratibu wa kumpata mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ulikiukwa.
Kwa mujibu wa wana CCM hao, wakati wa mchakato...