Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CHADEMA YATIKISA ARUSHA

 Profesor Jay akihamsisha wananchi kujitokeza kwenda kujiandikisha "NDUGU ZANGU WANA WA ARUSHA NA TANZANIA KWA UJUMLA TUJITOKEZE KUJIANDIKISHA ILI TUJIHAKIKISHIE UHURU WA KWELI NA SIO MATUMAINI" Mbuge wa Arumeru Mashariki Mh Joshua Nassari amewataka watanzania kutambua muda wa mateso waliyoyapata kwa Miaka Mingi sasa yamefikia ukomo,"Njia pekee iliyobaki ndugu zangu ni kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la Mpiga kura" Pia ametambulisha AMBULANCE 2 alizo zitoa kwenye jimbo lakeMbuge...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Chadema yatikisa Tarime

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimezoa viti vingi vya vitongoji, mitaa na vijiji vilivyokuwa vikikaliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Tarime.

 

9 years ago

StarTV

Chadema ya meguka Arusha.

Baadhi ya vijana waliodai kuwa wanachama wa Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA mkoani Arusha wameandamana na kuchoma moto bendera na kadi za vyama vyao wakidai kumuunga mkono aliyekuwa katibu Mkuu wa CHADEMA Dokta Wilbroad Slaa aliyetangaza kuachana na siasa.

 

Wanachama hao wengi wao wakiwa vijana waliokuwa wamebeba mabango yenye jumbe mbalimbali wamedai kuachana rasmi na vyama vinavyounda ukawa na badala yake wanajiunga na chama cha ACT-Wazalendo.

Baadhi ya wanachama hao akiwemo Hassan...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA Arusha, DC hataposhi

MADIWANI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) jijini hapa pamoja na mbunge, Godbless Lema, wamemtaka Mkuu wa Wilaya (DC) ya Arusha, John Mongela, kuacha kuingilia shughuli za utendaji ambazo...

 

10 years ago

Habarileo

Chadema Arusha yapata pigo

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimepata pigo baada ya mapingamizi yake 155 kwa wagombea katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika Jiji la Arusha kutupwa.

 

11 years ago

Habarileo

Chadema wasalimu amri Arusha

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman MboweKAMATI Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimewataka madiwani wa Mkoa wa Arusha kuhudhuria vikao vya madiwani walivyokuwa wamesusia kwa miaka kadhaa.

 

9 years ago

Raia Mwema

Chadema chama tawala Arusha

SAFARI ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa chama tawala mkoani Arusha ilihitimishwa rasmi Jumatatu

Paul Sarwatt

 

10 years ago

Raia Mwema

CCM na Chadema ‘waungana’ Arusha

MAHASIMU wa kisiasa, Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Chama Cha Demokarisa na Maendeleo (Chadema) mko

Paul Sarwatt

 

10 years ago

TheCitizen

Lema is our choice for Arusha, says Chadema

Chadema has defended Arusha Urban Member of Parliament God bless Lema, saying the main opposition party still needed the lawmaker for another five-year tenure.

 

9 years ago

StarTV

CHADEMA chazindua kampeni Arusha Mjini

Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kimezindua kampeni za ubunge katika jimbo la Arusha Mjini ambazo zilisitishwa baada ya kufariki kwa mgombea wa nafasi hiyo kupitia chama cha ACT Wazalendo.

Mgombea Ubunge wa CHADEMA Godbles Lema amewataka wananchi kujitokeza kushiriki mchakato huo ili kupata kiongozi atakayewaletea maendeleo jimboni hapo.

Akizungumza na wananchi waliojitokeza kusikiliza sera za chama Cha Demokrasia na mendeleo mgombea anaetetea kiti chake Godbles Lema amesema bado...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani