CHADEMA YATIKISA ARUSHA
![](http://1.bp.blogspot.com/-ffeB6-HM68M/VXK3LPzaGnI/AAAAAAAAPDE/y4mfWV9AINE/s72-c/11287223_957148714319149_1082941561_n.jpg)
Profesor Jay akihamsisha wananchi kujitokeza kwenda kujiandikisha "NDUGU ZANGU WANA WA ARUSHA NA TANZANIA KWA UJUMLA TUJITOKEZE KUJIANDIKISHA ILI TUJIHAKIKISHIE UHURU WA KWELI NA SIO MATUMAINI"
Mbuge wa Arumeru Mashariki Mh Joshua Nassari amewataka watanzania kutambua muda wa mateso waliyoyapata kwa Miaka Mingi sasa yamefikia ukomo,"Njia pekee iliyobaki ndugu zangu ni kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la Mpiga kura" Pia ametambulisha AMBULANCE 2 alizo zitoa kwenye jimbo lake
Mbuge...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo16 Dec
Chadema yatikisa Tarime
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimezoa viti vingi vya vitongoji, mitaa na vijiji vilivyokuwa vikikaliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Tarime.
9 years ago
StarTV05 Sep
Chadema ya meguka Arusha.
Baadhi ya vijana waliodai kuwa wanachama wa Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA mkoani Arusha wameandamana na kuchoma moto bendera na kadi za vyama vyao wakidai kumuunga mkono aliyekuwa katibu Mkuu wa CHADEMA Dokta Wilbroad Slaa aliyetangaza kuachana na siasa.
Wanachama hao wengi wao wakiwa vijana waliokuwa wamebeba mabango yenye jumbe mbalimbali wamedai kuachana rasmi na vyama vinavyounda ukawa na badala yake wanajiunga na chama cha ACT-Wazalendo.
Baadhi ya wanachama hao akiwemo Hassan...
11 years ago
Tanzania Daima28 Apr
CHADEMA Arusha, DC hataposhi
MADIWANI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) jijini hapa pamoja na mbunge, Godbless Lema, wamemtaka Mkuu wa Wilaya (DC) ya Arusha, John Mongela, kuacha kuingilia shughuli za utendaji ambazo...
10 years ago
Habarileo02 Dec
Chadema Arusha yapata pigo
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimepata pigo baada ya mapingamizi yake 155 kwa wagombea katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika Jiji la Arusha kutupwa.
11 years ago
Habarileo16 Feb
Chadema wasalimu amri Arusha
KAMATI Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimewataka madiwani wa Mkoa wa Arusha kuhudhuria vikao vya madiwani walivyokuwa wamesusia kwa miaka kadhaa.
9 years ago
Raia Mwema16 Dec
Chadema chama tawala Arusha
SAFARI ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa chama tawala mkoani Arusha ilihitimishwa rasmi Jumatatu
Paul Sarwatt
10 years ago
Raia Mwema25 Jun
CCM na Chadema ‘waungana’ Arusha
MAHASIMU wa kisiasa, Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Chama Cha Demokarisa na Maendeleo (Chadema) mko
Paul Sarwatt
10 years ago
TheCitizen08 May
Lema is our choice for Arusha, says Chadema
9 years ago
StarTV13 Nov
CHADEMA chazindua kampeni Arusha Mjini
Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kimezindua kampeni za ubunge katika jimbo la Arusha Mjini ambazo zilisitishwa baada ya kufariki kwa mgombea wa nafasi hiyo kupitia chama cha ACT Wazalendo.
Mgombea Ubunge wa CHADEMA Godbles Lema amewataka wananchi kujitokeza kushiriki mchakato huo ili kupata kiongozi atakayewaletea maendeleo jimboni hapo.
Akizungumza na wananchi waliojitokeza kusikiliza sera za chama Cha Demokrasia na mendeleo mgombea anaetetea kiti chake Godbles Lema amesema bado...