Chadema yatikisa Tarime
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimezoa viti vingi vya vitongoji, mitaa na vijiji vilivyokuwa vikikaliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Tarime.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
CHADEMA YATIKISA ARUSHA



10 years ago
Habarileo27 Oct
Chadema yapeta Tarime
MATOKEO ya kura za udiwani na ubunge katika majimbo ya Tarime Mjini na Tarime Vijijini yameonesha wagombea wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wamepata ushindi katika nafasi hizo ukilinganisha na wagombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).
10 years ago
Habarileo17 Dec
Vijiji 46 Tarime vyaenda CCM, Chadema 39
NGUVU ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imeonekana wilayani Tarime baada ya kupata ushindi wa vijiji 46 kati ya 88, huku Chadema ikivuna viti 39 katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika kote nchini Jumapili iliyopita.
9 years ago
TheCitizen07 Dec
Chadema names nominee for Tarime district council chairmanship
9 years ago
AllAfrica.Com08 Dec
Tanzania: Chadema Names Nominee for Tarime District Council Chairmanship
AllAfrica.com
Tarime — Chadema has nominated Nyamwaga ward councilor Mr Moses Yomani to bear the party's flag in the race for Tarime district council chairmanship. Mr Yomani defeated his rival for the seat Matongo ward councilor Mr Samson Nsanda after garnering ...
10 years ago
Vijimambo
ESTER MATIKO (CHADEMA) ATANGAZWA RASMI KUWA MSHINDI WA KITI CHA UBUNGE TARIME MJINI

11 years ago
Tanzania Daima13 Oct
IPTL yatikisa Mwanza
SAKATA la IPTL jana lilitikisa jiji la Mwanza baada ya Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila, kuwaomba watanzania kusaidia kudai ripoti ya ufisadi kampuni ya kufua umeme ya Independent Power...
11 years ago
Tanzania Daima25 Oct
Ebola yatikisa Moshi
MKUU wa Mkoa wa Kilimanjaro, Leonidas Gama amewaondoa hofu wakazi mji wa Moshi kutokana na taharuki iliyoukumba mji huo ya kuwapo mgonjwa anayehisiwa kuwa na maambukizi ya virusi vya ugonjwa...
10 years ago
Mtanzania24 Jan
Majambazi yatikisa Zanzibar
Na Mwadishi Wetu, Zanzibar
MAJAMBAZI yametikisa viunga vya Mtaa wa Darajani kisiwani Zanzibar na kusimamisha shughuli za biashara wakati polisi walipowakimbiza na kuamua kutumia risasi za moto.
Tukio hilo lilitokea jana saa nane mchana na kusababisha watu wawili kujeruhiwa na watatu kupoteza fahamu kutokana na vishindo vya risasi na mabomu wakati majambazi hayo yalipotaka kutoroka.
Taarifa zaidi zinasema gari ya majambazi hayo iliwagonga wanawake wawili baada ya kuingia kwa kasi katika eneo...