Vijiji 46 Tarime vyaenda CCM, Chadema 39
NGUVU ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imeonekana wilayani Tarime baada ya kupata ushindi wa vijiji 46 kati ya 88, huku Chadema ikivuna viti 39 katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika kote nchini Jumapili iliyopita.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo27 Oct
Chadema yapeta Tarime
MATOKEO ya kura za udiwani na ubunge katika majimbo ya Tarime Mjini na Tarime Vijijini yameonesha wagombea wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wamepata ushindi katika nafasi hizo ukilinganisha na wagombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).
10 years ago
Habarileo16 Dec
Chadema yatikisa Tarime
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimezoa viti vingi vya vitongoji, mitaa na vijiji vilivyokuwa vikikaliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Tarime.
11 years ago
MichuziKAMPENI ZA CCM KALENGA ZATINGA KIJIJI ALICHOZALIWA MGOMBEA WA CHADEMA, MWENYEKITI WA CHADEMA NA WANACHAMA 50 WATIMKIA CCM
10 years ago
Vijimambo9 years ago
TheCitizen07 Dec
Chadema names nominee for Tarime district council chairmanship
9 years ago
AllAfrica.Com08 Dec
Tanzania: Chadema Names Nominee for Tarime District Council Chairmanship
Tanzania: Chadema Names Nominee for Tarime District Council Chairmanship
AllAfrica.com
Tarime — Chadema has nominated Nyamwaga ward councilor Mr Moses Yomani to bear the party's flag in the race for Tarime district council chairmanship. Mr Yomani defeated his rival for the seat Matongo ward councilor Mr Samson Nsanda after garnering ...
9 years ago
Mwananchi24 Oct
Kada wa CCM amwagiwa Tindikali Tarime
9 years ago
VijimamboESTER MATIKO (CHADEMA) ATANGAZWA RASMI KUWA MSHINDI WA KITI CHA UBUNGE TARIME MJINI
10 years ago
MichuziCCM YAONGOZA UCHAGUZI VIJIJI,VITONGOJI NA MITAA MKOA WA PWANI
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Pwani kimeonyesha kufanya vizuri kwenye uchaguzi wa serikali za Mitaa, Vitongoji na Vijiji ambapo kwenye matokeo ya awali kimeonekana kushinda maeneo mengi.
Katika Jimbo la Mafia CCM ilishinda vitongoji 96 kati ya 136 sawa na asilimia 70 Chama Cha Wananchi CUF asilimia 40 sawa na asilimia 29,katika vijiji CCM ilishinda vijiji 19 kati ya 23 sawa na asilimia 82.6 CUF vijiji 4 sawa na asilimia 17.3.
Katika Jimbo la Kibaha Mjini kati ya...