ESTER MATIKO (CHADEMA) ATANGAZWA RASMI KUWA MSHINDI WA KITI CHA UBUNGE TARIME MJINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-wWHTy5RnRQM/Vi3a7yZLDMI/AAAAAAAAnqA/HtrEPUeuTAU/s72-c/1.jpg)
Msimamizi wa uchaguzi jimbo la Tarime Mjini, Bw. Mwanjombe amemtajngaza rasmi Ester Matiko (Chadema) kuwa mshindi katika kinyang’anyiro cha ubunge wa jimbo hilo. Matiko amekuwa mbunge wa kwanza kutangazwa rasmi huku akiweka histori kubwa katika wilaya ya Tarime mjini kuwa mwanamke wa kwanza kuwa mbunge katika wilaya hiyo inayosadikika kuwa na historia ya mfumo dume hususan katika ngazi ya familia. Bi. Matiku amepata kura 20,017 na kumshinda mpinzani wake wa karibu Kembaki Michael Mwita wa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboWILFRED LWAKATARE (CHADEMA) ATANGAZWA KUWA MBUNGE WA BUKOBA MJINI
10 years ago
Mwananchi28 Jan
Esther Matiko: Nitagombea ubunge Jimbo la Tarime
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-uN7-XJas8uk/VjIuasxCEOI/AAAAAAAA30M/ZU-zJ99rjq8/s72-c/tamko.jpg)
Tamko la Edward Lowassa Baada ya NEC Kumtangaza Dr Magufuli Kuwa Mshindi wa Kiti cha Urais
![](http://3.bp.blogspot.com/-uN7-XJas8uk/VjIuasxCEOI/AAAAAAAA30M/ZU-zJ99rjq8/s640/tamko.jpg)
Watanzania wenzangu!Leo tarehe 29 October 2015, kwa kupitia Mgombea Mwenza wangu, Mh. Juma Duni Haji nimewasilisha rasmi malalamiko yetu kuhusu mwenendo mzima wa uchaguzi mkuu wa 2015 kwa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi.
Tumeainisha kwenye malalamiko yetu, kutokuridhishwa kwetu na mwenendo na matukio mbalimbali, hususani, utangazaji wa matokeo batili, yasiyo akisi matokeo halisi yaliyopatikana kwenye vituo vya kupiga kura, kama ifuatavyo.
• Upunguzwaji wa kura zangu• Kuongeza kura kwa...
10 years ago
Michuzi14 Feb
NOEL OLE VAROYA CHADEMA ATANGAZA KUWANIA KITI CHA UBUNGE ARUSHA
![NOEL PIC](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/kOIaTcTXHCQvodLse7ho7yK0sIw78Ql1vBG0v72U2c1aPooK8MblVpY2QJCWnjeDcPAZCYreLuVh6v7O4fQRtbDgfZ3XZOxqYkFx1ABbzOVKZUuS-h21qcg=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/02/noel-pic.jpg?w=660)
Katika picha ni Noel Olevaroya akihutubia Maelfu ya wananchi katika moja ya harakati zake katika mkutano wa chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)
Aliyewahi kuwa mwenyekiti wa vijana na mjumbe Wilaya ya Arusha kupitia chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)Noel Olevaroya (37) ametangaza rasmi kupeperusha bendera ya chama hicho kwa kuwania nafasi ya ubunge katika jimbo la Arusha mjini
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Arusha Noel Olevaroya alisema kuwa nia yake ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-4MyLf6WyAIc/VavIziIWuMI/AAAAAAADzjs/t8UzEvcLz-U/s72-c/b4d3bef478ea198d2d08c6d34b40c839.jpg)
MSIGWA APATA RIDHAA YA WANANCHI KUONGOZA MIAKA MITANO MINGINE KITI CHA UBUNGE IRINGA MJINI.
![](http://1.bp.blogspot.com/-4MyLf6WyAIc/VavIziIWuMI/AAAAAAADzjs/t8UzEvcLz-U/s640/b4d3bef478ea198d2d08c6d34b40c839.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-HtO-gnXQquw/VavIy-9PURI/AAAAAAADzjQ/XS7CCiF7J7I/s640/4e84c731519dfb5728f7672ed9e39b23.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-yRajGeLovA8/VavIzTypiII/AAAAAAADzjw/lfyVHr__iTA/s640/b266a25a62f4883f4094bc22a36afd09.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-aS-GXWD0PSg/VavIzR-IKHI/AAAAAAADzjY/A2BgAPLx3yw/s640/63d5ba9db8950c6bdc3034ea66373a74.jpg)
10 years ago
Mwananchi21 Dec
Mgombea CCM atangazwa mshindi kabla ya kura, Chadema wagoma, vurugu zazuka
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UUHZoZFGT4g2i3WsmfkMnceVY1fIjHKpCaahMgusetQLtLHKq9GozOSsgXzcR8651q7XBCrgOGc81oeORBwgCsFq*76WOLjB/13.gif)
JAMES LEMBELI NA ESTER BULAYA WAKABIDHIWA RASMI KADI ZA CHADEMA
9 years ago
TheCitizen26 Oct
Esther Matiko wins Tarime Parliamentary Seat
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yRzRf_C6IV0/XktnUMF85XI/AAAAAAALd1A/QrzLL4K0YrIec2T1FpptPv-SXWyjvvyqgCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv6e88039ef681lnbc_800C450.jpg)
Chama kikuu cha upinzani cha CNL kimemuidhinisha Agathon Rwasa kuwa mgombea wake wa kiti cha urais
![](https://1.bp.blogspot.com/-yRzRf_C6IV0/XktnUMF85XI/AAAAAAALd1A/QrzLL4K0YrIec2T1FpptPv-SXWyjvvyqgCLcBGAsYHQ/s640/4bv6e88039ef681lnbc_800C450.jpg)
Wajumbe wa chama cha National Congres for Liberty jana walimuidhinisha Rwasa aliye na umri wa miaka 56 kama mgombea wao katika uchaguzi wa Rais wa mwezi Mei.
Agathon Rwasa atachuana katika uchaguzi huo na Jenerali wa jeshi Evariste Ndayishimiye ambaye ni muitifaki wa Nkurunzia. Mwezi uliopita chama tawala Burundi CNDD-FDD kilimchagua jenerali huyo wa jeshi...