Mgombea CCM atangazwa mshindi kabla ya kura, Chadema wagoma, vurugu zazuka
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, wakazi wa Mtaa wa Ibungilo B, Kata ya Ibungilo, Wilaya ya Ilemela mkoani hapa, wamekumbwa na hali ya sintofahamu wakati wakijianda kupiga kura ya kumchagua Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa huo, baada mgombea wa nafasi hiyo kupitia CCM kutangazwa mshindi kabla ya wao kupiga kura.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi22 Dec
Mshindi atangazwa kabla ya uchaguzi
9 years ago
StarTV18 Aug
Vurugu zazuka ofisi ya Chadema morogoro mjiniÂ
Kumezuka vurugu katika ofisi za chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA wilaya ya Morogoro mjini baada ya wagombea ngazi ya udiwani katika kata 7 za Wilayani humo kudaiwa kukatwa majina yao kutokanana na vitendo vya rushwa kutawala katika mchakato huo .
Vurugu hizo zimetokea majira ya saa 7 mchana baada ya wagombea na wanachama wa chama hicho kwenda katika ofisi za wilaya ili kupata sababu za viongozi wa juu wa chama hicho kuwakata wagombea walioshinda katika kinyang’anyiro...
9 years ago
VijimamboWATU 9 WAJERUHIWA KATIKA VURUGU KATI YA MGOMBEA UBUNGE WA CHADEMA MBEYA MJINI NA WAFUASI WA CCM
9 years ago
VijimamboESTER MATIKO (CHADEMA) ATANGAZWA RASMI KUWA MSHINDI WA KITI CHA UBUNGE TARIME MJINI
11 years ago
MichuziKAMPENI ZA CCM KALENGA ZATINGA KIJIJI ALICHOZALIWA MGOMBEA WA CHADEMA, MWENYEKITI WA CHADEMA NA WANACHAMA 50 WATIMKIA CCM
10 years ago
Vijimambo19 Mar
VURUGU KUBWA ZAZUKA TUNDUMA
Wakazi wa Mji wa Tunduma, Wilaya ya Momba, Mbeya wakiangalia moto uliowashwa katikati ya Barabara ya Tunduma-Sumbawanga jjana baada ya kutokea vurugu baina ya wananchi na askari wa kikosi cha Kutuliza Ghasia.
Tumepata habari za kusikitisha kutoka Tunduma mkoani Mbeya kwamba, kwa siku tatu mfululizo, mji huo, ambao ni lango la biashara kusini mwa Tanzania, uligeuka uwanja wa mapambano kati ya Askari wa Kutuliza Ghasia (FFU) na makundi ya vijana.Taarifa ya Jeshi la Polisi ilisema kwamba vurugu...
10 years ago
BBCSwahili28 Apr
Vurugu zazuka mji wa Baltmore Marekani
10 years ago
Michuzivurugu zazuka kariakoo leo,wengi wapoteza fahamu
10 years ago
GPLVURUGU ZAZUKA NCHINI BURUNDI BAADA YA RAIS NKURUNZIZA KUTEULIWA KUGOMBEA TENA URAIS