VURUGU KUBWA ZAZUKA TUNDUMA
Wakazi wa Mji wa Tunduma, Wilaya ya Momba, Mbeya wakiangalia moto uliowashwa katikati ya Barabara ya Tunduma-Sumbawanga jjana baada ya kutokea vurugu baina ya wananchi na askari wa kikosi cha Kutuliza Ghasia.
Tumepata habari za kusikitisha kutoka Tunduma mkoani Mbeya kwamba, kwa siku tatu mfululizo, mji huo, ambao ni lango la biashara kusini mwa Tanzania, uligeuka uwanja wa mapambano kati ya Askari wa Kutuliza Ghasia (FFU) na makundi ya vijana.Taarifa ya Jeshi la Polisi ilisema kwamba vurugu...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili28 Apr
Vurugu zazuka mji wa Baltmore Marekani
9 years ago
StarTV18 Aug
Vurugu zazuka ofisi ya Chadema morogoro mjiniÂ
Kumezuka vurugu katika ofisi za chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA wilaya ya Morogoro mjini baada ya wagombea ngazi ya udiwani katika kata 7 za Wilayani humo kudaiwa kukatwa majina yao kutokanana na vitendo vya rushwa kutawala katika mchakato huo .
Vurugu hizo zimetokea majira ya saa 7 mchana baada ya wagombea na wanachama wa chama hicho kwenda katika ofisi za wilaya ili kupata sababu za viongozi wa juu wa chama hicho kuwakata wagombea walioshinda katika kinyang’anyiro...
10 years ago
Michuzivurugu zazuka kariakoo leo,wengi wapoteza fahamu
![](http://4.bp.blogspot.com/--NdybtcXQpk/VJmWHDjGlGI/AAAAAAAG5ZU/5H6LdT9AKxw/s1600/kariakoo2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Soz4C1GAsRI/VJmWH5COS6I/AAAAAAAG5Zw/wWlsllllQe8/s1600/kariakoo3.jpg)
10 years ago
Mwananchi21 Dec
Mgombea CCM atangazwa mshindi kabla ya kura, Chadema wagoma, vurugu zazuka
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vnQhPUwEod0mt2CdoaHvHTb0pVSrIe0Z09f-zP98fgFbGoE43efJUivyI5orBD4wDw*Y7neXaxWm58YI78X2EjyrHrlQmq3f/BUJUMBURA.jpg?width=650)
VURUGU ZAZUKA NCHINI BURUNDI BAADA YA RAIS NKURUNZIZA KUTEULIWA KUGOMBEA TENA URAIS
5 years ago
CCM Blog28 May
VURUGU ZAZUKA MAREKANI BAADA YA MTU MWEUSI GEORGE FLOYD KUFARIKI MIKONONI MWA POLISI
![Waanndamanaji walifika kwenye eneo ambalo polisi wanaohusika na mauaji wanadhaniwa kufanya kazi](https://ichef.bbci.co.uk/news/660/cpsprodpb/F700/production/_112523236_42c0b123-452d-4535-9760-e1b80fb3f1fe.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-yrurJD7aeWU/VOyh4nU5JuI/AAAAAAAHFnY/Fj69Tz5AU7I/s72-c/IMG-20150224-WA0007.jpg)
VURUGU ZAZUKA KATIKA MJI WA ILULA MKOANI IRINGA LEO,BAADA YA KIFO CHA MWANAMKE MMOJA.
Kutokana na tukio hilo, mwanamke huyo aliyepoteza Maisha aliyetambulika kwa jina la Mwanne Mtandi aliamua kukimbia kwa lengo la kukwepa kukamatwa na Polisi hao Kabla ya kukutwa nyuma ya jengo la kilabu hicho cha pombe za kienyeji...
10 years ago
Mwananchi24 Feb
Vurugu Kubwa Iringa, Polisi na wananchi wapambana.
11 years ago
Habarileo07 May
Wabeba mizigo wafanya vurugu kubwa Kibaigwa
WABEBA mizigo wa Soko Kuu la Mazao la Kibaigwa juzi wakiwa na vijana wanaokadiriwa 300 walifanya fujo kwa kufunga barabara kuu ya Dodoma – Morogoro kwa mawe na kuchoma matairi huku wakipiga mawe magari yaliyokuwa yakipita barabarani.