Vurugu Kubwa Iringa, Polisi na wananchi wapambana.
Vurugu Kubwa eneo la Ilula Mkoani Iringa, Polisi na wananchi wapambana.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ct4BimYh7Mjb3aaC8YsII6bUim*aiDfdaBbBrAGY4O4uLbMxiYIc-bPbHRqQ9oR9f6OpyWfaomC-R5cAgIRxmoxudEIyg3IB/1.jpg)
VURUGU: POLISI WAPAMBANA NA WAANDAMANAJI HONG KONG
11 years ago
Mwananchi31 Jan
Polisi, wananchi wapambana Karatu
10 years ago
Mtanzania21 May
Polisi wapambana na wananchi Njombe
Na Francis Godwin, Njombe
JESHI la Polisi jana lililazimika kutumia zaidi ya saa 5.00 kupambana na wananchi waliokuwa wakiandamana bila kibali wakitaka kuchukua maiti ya mmoja wa wakazi wa Njombe aliyedaiwa kuuawa kwa kupigwa risasi na askari wa jeshi hilo wakati wa msako wa wanywa pombe.
Mtu huyo inaelezwa alifariki dunia juzi na mwili wake kuhifadhiwa katika Hospitali ya Kibena.
Inaelezwa wananchi hao walikuwa wakiandamana kuuchukua mwili wa marehemu huyo na kuupeleka...
10 years ago
Vijimambo24 Feb
VURUGU IRINGA, WANANCHI WAFUNGA BARABARA KUU
![](http://api.ning.com/files/vshXEK8U-ih6Ed0u8ccj7KVpCbDBda7rI3doKclTHZHutGARaPymAOSexlbfSHYe07Y-mz-rn6IvpFTw0n*PgoLxQWTvjFbq/IMG20150224WA0001.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/vshXEK8U-ii6FlPALYoZuld*vPTdLU-8Gb*o8M66zJzzlGnUL9RJJj0aKFjNy25b7yp6TMuKkTUz1tatOaWfxgAYaXLxxtNS/553340_1102711359755054_58503742703641570_n.jpg?width=650)
WANANCHI wenye hasira mjini Ilula, mkoani Iringa, wamevamia kituo cha polisi na kuvunja milango kisha kuwafungulia mahabusu waliokuwemo ndani, wakachoma moto baadhi ya magari yaliyokuwepo kituoni hapo pamoja na mafaili.
Kwa mujibu wa shuhuda wa tukio hilo, tukio hilo limetokea leo asubuhi kufuatia mwanamke ambaye hakufahamika...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
VURUGU IRINGA, WANANCHI WAFUNGA BARABARA KUU
10 years ago
StarTV26 Feb
Vurugu Ilula, Polisi Iringa yashikilia watu 18.
Na Oliver Motto,
Iringa.
Watu 18 wanashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kuhusika katika vurugu zilizotokea kwenye mji mdogo wa Ilula wilayani Kilolo mkoani Iringa baada ya wananchi wenye hasira kuvamia kituo cha Polisi Ilula na kuchoma magari matano na pikipiki moja wakimtuhumu askari kusababisha kifo cha Mwanne Mtandi mfanyabiashara wa pombe za kienyeji.
Polisi mkoa wa Iringa ilitoa taarifa hiyo katika tathmini fupi ya tukio la vurugu hizo zinazodaiwa kusababisha majeruha kwa askari...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-_rdFNI6Nvh8/Uwx-dk6-ykI/AAAAAAACbFs/7VIME4f1y-4/s72-c/MMG24848.jpg)
WANANCHI MSIWE NA HOFU,HAKUTAKUWA NA VURUGU UCHAGUZI MDOGO WA JIMBO LA KALENGA-MKUU WA MKOA IRINGA
![](http://4.bp.blogspot.com/-_rdFNI6Nvh8/Uwx-dk6-ykI/AAAAAAACbFs/7VIME4f1y-4/s1600/MMG24848.jpg)
Akizungumza leo kwenye moja ya kituo cha redio mjini humo,Nuru FM ,kupitia kipindi cha sunrisepower, amesema kuwa tayari ameshakaa na kamati yake ya Ulinzi na Usalama akiwemo Kamanda wa Jeshi la Polisi,aidha ameongeza kuwa wamejiandaa kikamilifu katika ulinzi, hivyo wananchi wanapaswa kutokuwa na hofu.
Amesema kuwa...
10 years ago
Vijimambo25 Feb
HABARI KWA KINA KUHUSIANA NA VURUGU YA WANANCHI BAADA YA POLISI KUUA MTU MMOJA
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2634822/highRes/953708/-/maxw/600/-/t54iw4/-/kilolo.jpg)
Wananchi wakiangalia moto uliowashwa na watu wasiojulikana wakati wa vurugu baina ya polisi na wananchi katika mji mdogo wa Ilula wilayani Kilolo mkoani Iringa jana. Picha ya Mtandao HUKO ILULA MKOANI IRINGA
Kilolo. Polisi wa wa kituo cha Ilula kilicho Kilolo mkoani Iringa wanatuhumiwa kuua mtu mmoja, jambo lililoamsha vurugu kubwa zilizosababisha magari mawili kuchomwa moto.Habari kutoka eneo la tukio zinasema kuwa wananchi waliokuwa na hasira walichoma moto magari yaliyokuwa yameegeshwa...