Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vurugu Kubwa Iringa, Polisi na wananchi wapambana.

Vurugu Kubwa eneo la Ilula Mkoani Iringa, Polisi na wananchi wapambana.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

VURUGU: POLISI WAPAMBANA NA WAANDAMANAJI HONG KONG

Polisi wakielekea kuwakabili waandamanaji mjiini Hong Kong. Polisi wakimtia nguvuni mmoja wa waandamanaji.…

 

11 years ago

Mwananchi

Polisi, wananchi wapambana Karatu

Mamia ya wananchi wenye hasira katika Kijiji cha Bashay kilichoko wilayani hapa wamepambana na polisi kwa kuwarushia mawe kwa kile walichodai kuishinikiza Serikali kuweka matuta katika Barabara ya Karatu hadi Ngorongoro.

 

10 years ago

Mtanzania

Polisi wapambana na wananchi Njombe

Na Francis Godwin, Njombe

JESHI la Polisi jana lililazimika kutumia zaidi ya saa 5.00 kupambana na wananchi waliokuwa wakiandamana bila kibali wakitaka kuchukua maiti ya mmoja wa wakazi wa Njombe aliyedaiwa kuuawa kwa kupigwa risasi na askari wa jeshi hilo wakati wa msako wa wanywa pombe.

Mtu huyo inaelezwa alifariki dunia juzi na mwili wake kuhifadhiwa katika Hospitali ya Kibena.
Inaelezwa wananchi hao walikuwa wakiandamana kuuchukua mwili wa marehemu huyo na kuupeleka...

 

10 years ago

Vijimambo

VURUGU IRINGA, WANANCHI WAFUNGA BARABARA KUU

Muonekano wa mji wa Ilula mkoani Iringa baada ya wananchi kufunga barabara kuu ya mji huo.Mabasi ya kwenda mikoani yakiwa yamepaki baada ya wananchi kufunga barabara.
WANANCHI wenye hasira mjini Ilula, mkoani Iringa, wamevamia kituo cha polisi na kuvunja milango kisha kuwafungulia mahabusu waliokuwemo ndani, wakachoma moto baadhi ya magari yaliyokuwepo kituoni hapo pamoja na mafaili.
Kwa mujibu wa shuhuda wa tukio hilo, tukio hilo limetokea leo asubuhi kufuatia mwanamke ambaye hakufahamika...

 

10 years ago

GPL

VURUGU IRINGA, WANANCHI WAFUNGA BARABARA KUU

Muonekano wa mji wa Ilula mkoani Iringa baada ya wananchi kufunga barabara kuu ya mji huo. Mabasi ya kwenda mikoani yakiwa yamepaki baada ya wananchi kufunga…

 

10 years ago

StarTV

Vurugu Ilula, Polisi Iringa yashikilia watu 18.

Na Oliver Motto,

Iringa.

Watu 18 wanashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kuhusika katika vurugu zilizotokea kwenye mji mdogo wa Ilula wilayani Kilolo mkoani Iringa baada ya wananchi wenye hasira kuvamia kituo cha Polisi Ilula na kuchoma magari matano na pikipiki moja wakimtuhumu askari kusababisha kifo cha Mwanne Mtandi mfanyabiashara wa pombe za kienyeji.

 

Polisi mkoa wa Iringa ilitoa taarifa hiyo katika tathmini fupi ya tukio la vurugu hizo zinazodaiwa kusababisha majeruha kwa askari...

 

11 years ago

Michuzi

WANANCHI MSIWE NA HOFU,HAKUTAKUWA NA VURUGU UCHAGUZI MDOGO WA JIMBO LA KALENGA-MKUU WA MKOA IRINGA

Mkuu wa mkoa wa iringa DK CHRISTIN ISHENGOMA amewataka wananchi mkoani  Iringa,kutokuwa na hofu katika kipindi hiki cha kuelekea kampeni za uchaguzi wa jimbo la kalenga.
Akizungumza leo  kwenye moja ya kituo cha redio mjini humo,Nuru FM ,kupitia kipindi cha sunrisepower, amesema kuwa tayari ameshakaa na kamati yake ya Ulinzi na Usalama akiwemo Kamanda wa Jeshi la Polisi,aidha ameongeza kuwa wamejiandaa kikamilifu katika ulinzi, hivyo wananchi wanapaswa kutokuwa na hofu.
Amesema kuwa...

 

10 years ago

Vijimambo

HABARI KWA KINA KUHUSIANA NA VURUGU YA WANANCHI BAADA YA POLISI KUUA MTU MMOJA


Wananchi wakiangalia moto uliowashwa na watu wasiojulikana wakati wa vurugu baina ya polisi na wananchi katika mji mdogo wa Ilula wilayani Kilolo mkoani Iringa jana. Picha ya Mtandao HUKO ILULA MKOANI IRINGA
Kilolo. Polisi wa wa kituo cha Ilula kilicho Kilolo mkoani Iringa wanatuhumiwa kuua mtu mmoja, jambo lililoamsha vurugu kubwa zilizosababisha magari mawili kuchomwa moto.Habari kutoka eneo la tukio zinasema kuwa wananchi waliokuwa na hasira walichoma moto magari yaliyokuwa yameegeshwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani