Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


VURUGU ZAZUKA KATIKA MJI WA ILULA MKOANI IRINGA LEO,BAADA YA KIFO CHA MWANAMKE MMOJA.

Wananchi wa mji wa Ilula katika wilaya ya Kilolo mkoani Iringa leo wamezua tafrani dhidi ya Askari Polisi baada ya mwanamke mmoja kupoteza maisha kwa kudaiwa kusababishwa na Askari hao waliokuwa kwenye msako wa kukamata watu wanaokunywa pombe wakati wa kazi.
Kutokana na tukio hilo, mwanamke huyo aliyepoteza Maisha aliyetambulika kwa jina la Mwanne Mtandi aliamua kukimbia kwa lengo la kukwepa kukamatwa na Polisi hao Kabla ya kukutwa nyuma ya jengo la kilabu hicho cha pombe za kienyeji...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Vurugu zazuka mji wa Baltmore Marekani

Vurugu kubwa za mapigano baina ya polisi na waandamanaji zimetokea nchini Marekani katika mji wa Boltimore, baada ya maziko ya kijana Freddie Gray ambaye alikufa kutokana kujeruhiwa alipokuwa mikononi mwa polisi.

 

10 years ago

StarTV

Vurugu Ilula, Polisi Iringa yashikilia watu 18.

Na Oliver Motto,

Iringa.

Watu 18 wanashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kuhusika katika vurugu zilizotokea kwenye mji mdogo wa Ilula wilayani Kilolo mkoani Iringa baada ya wananchi wenye hasira kuvamia kituo cha Polisi Ilula na kuchoma magari matano na pikipiki moja wakimtuhumu askari kusababisha kifo cha Mwanne Mtandi mfanyabiashara wa pombe za kienyeji.

 

Polisi mkoa wa Iringa ilitoa taarifa hiyo katika tathmini fupi ya tukio la vurugu hizo zinazodaiwa kusababisha majeruha kwa askari...

 

10 years ago

GPL

VURUGU ZAZUKA NCHINI BURUNDI BAADA YA RAIS NKURUNZIZA KUTEULIWA KUGOMBEA TENA URAIS

Waandamanaji wakiwa Mjini Bujumbura. Kumezuka ghasia katika Mji wa Bujumbura nchini Burundi kati ya maofisa wa polisi na waandamanaji wanaoishutumu serikali kwa kufanya mapinduzi ya kikatiba. Waandamanaji walirusha mawe na kuchoma matairi huku maofisa wa polisi wakilazimika kurusha mabomu ya machozi hewani. Ghasia hizo zinafuatia tangazo la jana kwamba Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza ameteuliwa na chama chake kuwania muhula wa...

 

5 years ago

CCM Blog

VURUGU ZAZUKA MAREKANI BAADA YA MTU MWEUSI GEORGE FLOYD KUFARIKI MIKONONI MWA POLISI


Waanndamanaji walifika kwenye eneo ambalo polisi wanaohusika na mauaji wanadhaniwa kufanya kaziHaki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionWaanndamanaji walifika kwenye eneo ambalo polisi wanaohusika na mauaji wanadhaniwa kufanya kaziKumekuwa na vurugu na mapambano kati ya polisi na waandamanaji katika mji wa Minneapolis nchini Marekani baada ya kifo cha mwanaume mmoja mweusi akiwa mikononi mwa polisiPolisi walifyatua gesi ya kutoa machozi na waandamanaji walirusha mawe na kupulizia mapambo ya graffiti kwenye magari ya polisi.Kilichotokea kwenye maandamanoWalianza siku ya Jumanne...

 

10 years ago

Michuzi

vurugu zazuka kariakoo leo,wengi wapoteza fahamu

Msamaria mwema akimbeba Mamalishe alifahamika kawa jina la Khadija Rashidi aliezirai baada ya milipuko ya mabomu katika ghasia za wamachinga na Askari Polisi leo mchana katika eneo la kariakoo. Mama lishe huyo alikuwa katika shughuli zake za kutayarisha chakula ghafla wamachinga waliokuwa wanakimbia kutaka kujificha katika sehemu za wafanyabiashara hao. baadhi ya wasamaria wakimsaidia Mama lishe aliefahamika kwa jina Mwanahamisi ambaye alizimia baada ya mabomu kurindima katika vurugu kati ya...

 

11 years ago

Michuzi

TAARIFA RASMI KWA UMMA YA KIFO CHA MKUU WA WILAYA YA KALAMBO MHE. MOSHI CHANG'A, KUZIKWA JUMATANO MKOANI IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

OFISI YA WAZIRI MKUU

TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA


MKOA WA RUKWA

Anuani ya simu:”REGCOM”                          Simu Na:(025)-2802138/2802144 Fax Na. (025) 2802217

Baruapepe: rasrukwa@yahoo.com

             OFISI YA MKUU WA MKOA,

     S.L.P. 128,

     SUMBAWANGA.




Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Eng. Stella M. Manyanya (Mb) kwa masikitiko makubwa anapenda kuwajulisha juu msiba mkubwa ulioukumba Mkoa wetu wa Rukwa wa kuondokewa na Mkuu wa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Maandamano London: Tulimsaidia mtu mmoja kutouwawa katika maandano ya Kifo cha George Floyd

Patrick Hutchinson amepongezwa sana baada ya picha yake akimsaidia mtu aliyejaruhiwa kusambaa, wakati wa makabiliano kati ya wafuasi wa Black Lives Matter dhidi ya wale wanaounga

 

11 years ago

Michuzi

kikao cha baraza la madiwani chafanyika mkoani iringa leo

 Mkurugenzi wa halmashauri ya Wilaya ya Iringa, Pudenciana Kisaka akizungumza wakati wa kikao cha baraza la madiwani kilichofanyika katika ukumbi Siasa ni Kilimo, kushoto kwake ni Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Steven Mhapa. Baadhi ya madiwani wakifuatilia majadiliano katika kikao hicho yakiendelea katika kikao cha baraza la madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Iringa katika ukumbi wa Siasa ni Kilimo. Baadhi ya wakuu wa idara wa halmshauri ya wilaya ya Iringa wakifuatilia majadiliano...

 

10 years ago

Mwananchi

18 mbaroni, wahusishwa na vurugu Ilula

Tukio lilitokea juzi mkoani Iringa ambako mtu mmoja alifariki wakati wananchi walipopambana na polisi na baadaye kufunga barabara kwa saa tano, limeingia katika orodha ndefu ya matukio yanayozidi kuongezeka kila kona ya mapambano baina ya raia na askari wa Jeshi la Polisi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani