18 mbaroni, wahusishwa na vurugu Ilula
Tukio lilitokea juzi mkoani Iringa ambako mtu mmoja alifariki wakati wananchi walipopambana na polisi na baadaye kufunga barabara kwa saa tano, limeingia katika orodha ndefu ya matukio yanayozidi kuongezeka kila kona ya mapambano baina ya raia na askari wa Jeshi la Polisi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV26 Feb
Vurugu Ilula, Polisi Iringa yashikilia watu 18.
Na Oliver Motto,
Iringa.
Watu 18 wanashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kuhusika katika vurugu zilizotokea kwenye mji mdogo wa Ilula wilayani Kilolo mkoani Iringa baada ya wananchi wenye hasira kuvamia kituo cha Polisi Ilula na kuchoma magari matano na pikipiki moja wakimtuhumu askari kusababisha kifo cha Mwanne Mtandi mfanyabiashara wa pombe za kienyeji.
Polisi mkoa wa Iringa ilitoa taarifa hiyo katika tathmini fupi ya tukio la vurugu hizo zinazodaiwa kusababisha majeruha kwa askari...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-yrurJD7aeWU/VOyh4nU5JuI/AAAAAAAHFnY/Fj69Tz5AU7I/s72-c/IMG-20150224-WA0007.jpg)
VURUGU ZAZUKA KATIKA MJI WA ILULA MKOANI IRINGA LEO,BAADA YA KIFO CHA MWANAMKE MMOJA.
Kutokana na tukio hilo, mwanamke huyo aliyepoteza Maisha aliyetambulika kwa jina la Mwanne Mtandi aliamua kukimbia kwa lengo la kukwepa kukamatwa na Polisi hao Kabla ya kukutwa nyuma ya jengo la kilabu hicho cha pombe za kienyeji...
9 years ago
Vijimambo18 Sep
52 mbaroni kwa vurugu za kampeni
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2653956/highRes/966912/-/maxw/600/-/ck2462z/-/zitto_clip.jpg)
Kukamatwa kwa watu hao ni kutokana na kuripotiwa kwa matukio 107 ya uvunjifu wa amani, ambapo tayari matukio 38 yameshafanyiwa upelelezi na kufunguliwa kesi huku matukio mengine 68 yakiendelea kufanyiwa upelelezi.
Akitoa tathimini ya mwenendo wa kampeni za uchaguzi, Msemaji wa Jeshi hilo, Advera Bulimba...
11 years ago
Habarileo12 Jun
Watatu mbaroni vurugu za mgomo wa daladala
POLISI mkoani Mbeya inashikilia watu tisa wanaosadikiwa kuwa wapiga debe wakituhumiwa kufanya vurugu wakati mgomo wa daladala ulipokuwa ukiendelea jijini hapa.
10 years ago
Habarileo20 Sep
Nane mbaroni kwa vurugu Chadema
SIKU moja baada ya Jeshi la Polisi kudhibiti maandamano yaliyoandaliwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wafuasi watatu wa chama hicho wamefikishwa mahakamani jijini Dar es Salaam na wengine watano wanashikiliwa na polisi mkoani Morogoro.
11 years ago
Habarileo18 Jun
Watu 30 mbaroni vurugu kifo cha 'hausigeli'
WATU zaidi ya 30 wanashikiliwa na polisi wilayani Muleba katika Mkoa wa Kagera, wakituhumiwa kufanya vurugu na uharibifu wa mali, chanzo kikiwa kifo cha mfanyakazi wa ndani aliyefia mkoani Arusha.
11 years ago
CloudsFM12 Jun
WATU 10 WATIWA MBARONI NA POLISI KUFUATIA VURUGU ZILIZOTOKEA JIJINI MWANZA
Polisi jijini Mwanza imelazimika kutumia mabomu ya machozi kufuatia vurugu za baaadhi ya wafanyabiashara wadogo maaarufu kama machinga na watoto wa mitaani wakipinga kupinga zoezi la kuhamishwa eneo la Makoroboi walilokuwa wakifanyia biashara hapo awali.
Zoezi hili limesababisha wafayabiashara mbalimbali kufunga biashara zao na wengine kupoteza mizigo kutokana na vurugu hizo huku idadi kubwa ya wananchi wakishindwa kuendelea na shuguli zao
Nia aina ya vurugu zilizo tokea kwa takribani masaa...
10 years ago
KwanzaJamii27 Aug
UHABA WA MAJI ILULA WAWATESA WANANCHI
10 years ago
Habarileo02 Jun
Steve Kilindo (kushoto). (Na Mpigapicha Wetu). RCC yapendekeza jimbo jipya la Ilula
KAMATI ya Ushauri ya Mkoa wa Iringa (RCC) imeridhia jimbo la Kilolo ligawanywe kutoa jimbo jingine la Ilula, kwa lengo la kurahisisha ufikishaji wa huduma bora kwa wananchi.