Watatu mbaroni vurugu za mgomo wa daladala
POLISI mkoani Mbeya inashikilia watu tisa wanaosadikiwa kuwa wapiga debe wakituhumiwa kufanya vurugu wakati mgomo wa daladala ulipokuwa ukiendelea jijini hapa.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi25 Mar
Mgomo wa daladala watikisa Arusha
Mgomo wa mabasi yanayofanya safari zake kati ya Moshi na Arusha, jana ulitikisa miji hiyo kwa saa nane mfululizo, huku baadhi ya daladala za katikati ya Mji wa Moshi nazo zikishiriki mgomo huo.
11 years ago
GPLATHARI ZA MGOMO WA DALADALA MANISPAA YA MORO
Wanafunzi wa shule mbalimbali za manispaa ya Morogoro wakiwa kwenye lori baada ya mgomo wa madereva daladala leo. ...Baadhi ya wanafunzi wakishuka baada ya kufika wanapoelekea. (Picha zote na Dustan Shekidele / GPL,…
10 years ago
GPLMGOMO WA MABASI, DALADALA WAZIDI KUTIKISA DAR
Polisi wakiwa wametanda eneo la Stendi ya Ubungo kuhakikisha hali ya usalama. Wananchi wakiwa wametaharuki katika eneo la Ubungo kutokana na mgomo unaoendelea.…
10 years ago
GPLMGOMO WA DALADALA DAR WASABABISHA MTAFARUKU WA USAFIRI
Wanafunzi na abiria wakisubiri daladala bila mafanikio maeneo ya Mwenge. Baadhi ya wananchi wanaotumia barabara ya Mwenge-Posta wakitembea kwenda kwenye shughuli zao. Hali…
10 years ago
GPLMGOMO WA WAENDESHA DALADALA JIJINI MWANZA LEO
Daladala zikiwa zimepaki katika Jiji la Mwanza kutokana na mgomo wa madereva. Taswira kutoka maeneo ya Jiji la Mwanza baada ya mgomo wa waendesha daladala.…
10 years ago
VijimamboMADEREVA WA DALADALA JIJINI DAR WAFANYA MGOMO LEO
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ebeIg2jsU5M/UynW7ZXUM9I/AAAAAAAFVEI/4v_xC6_dD3o/s72-c/unnamed+(26).jpg)
ATHARI YA MGOMO WA MUDA WA MADEREVA WA DALADALA MANISPAA YA MOROGORO LEO
Habari na picha na John Nditi, Morogoro
Kuanzia aljafiri leo, madereva wa daladala wanaoendesha magari yao ya abiria katika njiaa mbalimbali za Manispaa ya Morogoro waligoma kutoka huduma hiyo kwa muda wa saa 10 wakishinikisha kutendewa haki ya Kikosi cha Usalama Barabarani.
Madereva hao kwa umoja wao Machi 18, mwaka huu walipomaliza kazi yao usiku , walikubaliana kutoamsha magari yao siku inayofuatia kutoa madai ya kuyanyaswa na Askari wa Kikosi cha usalama barabarani kwa kutozwa faini...
10 years ago
Habarileo11 Apr
Vurugu mgomo wa madereva Dar es Salaam
MGOMO wa madereva wa mabasi ya mikoani na baadhi ya mabasi ya usafiri Dar es Salaam maarufu daladala uliofanyika jana, uliambatana na vurugu katika maeneo mbalimbali ya jiji hilo na kulazimisha askari Polisi kutumia mabomu ya machozi kurejesha hali ya amani.
10 years ago
Bongo504 May
Dar ni foleni kali ya magari, mgomo wa madereva wa daladala na mvua (Picha)
Wakazi wa Dar es Salaam leo wamekiona cha mtema kuni baada ya kero zaidi ya tatu kuunganika na kuleta usumbufu mkubwa. Mgomo wa madereva wa magari abiria, umewafanya wananchi wengi ama kutumia gharama zaidi ya kufikia maeneo waliyokuwa wakienda kwa kutumia bodaboda na bajaj au kutembea kwa maguu. Kumeshuhudiwa misululu mikubwa barabarani ya wakazi wa […]
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania