Steve Kilindo (kushoto). (Na Mpigapicha Wetu). RCC yapendekeza jimbo jipya la Ilula
KAMATI ya Ushauri ya Mkoa wa Iringa (RCC) imeridhia jimbo la Kilolo ligawanywe kutoa jimbo jingine la Ilula, kwa lengo la kurahisisha ufikishaji wa huduma bora kwa wananchi.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo01 Jun
RCC yapendekeza majimbo mapya
MAJIMBOya uchaguzi mkoani Iringa yako mbioni kuongezeka, kama itaridhiwa na Tume yaTaifa ya Uchaguzi (NEC) kutoka sita ya sasa hadi manane baada ya kikao maalumu cha Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Iringa (RCC), kuafiki nyongeza hiyo.
10 years ago
Habarileo26 Feb
12. (Na Mpigapicha Wetu). Kesi inayomhusu Mbunge wa Dimani kunguruma Jumatatu
KESI ya madai ya masuala ya ndoa dhidi ya Mbunge wa Jimbo la Dimani, Zanzibar Abdallah Sharia Ameir (CCM) iliyofunguliwa dhidi yake na mlalamikaji Hawa Kundami inatarajiwa kuanza kusikilizwa Jumatatu ijayo.
10 years ago
Bongo Movies09 Jul
Ni Wakati Wetu Wasanii Kusimama- Steve Nyerere
~~MWIGIZAJI na mtayarishaji wa filamu Steven Mengele ‘Steve Nyerere’ amefunguka kwa kusema kuwa wasanii wa filamu wana nafasi kubwa katika uongozi kwa ni kivutio cha wapiga kura kwa mantiki ni wakati wao kushiriki katika hatamu za uongozi, na kujiandikisha katika daftari la mpiga kura.
"Ni kweli tunahitaji mabadiliko katika utawala lakini hilo litafanikiwa tu pale tutaposhiriki kujiandikisha katika Daftari la mpiga kura, kama nilivyosema badala ya kusimama badala ya mgombea sasa tunasimama...
10 years ago
Bongo Movies29 Jun
Steve Nyerere Atikisa Jimbo la Kinondoni
Staa wa Bongo Movies, Steven Mangere ‘Nyerere’ amewaomba wanawake wasihadaike na kanga na vitenge wakipewa na baadhi ya wagombea wa nafasi mbalimbali za uongoziili wawachague.
Steve aliitoa kauli hiyo jana jijini Dar es Salaam, alipokuwa akitangaza nia yake ya kugombea ubunge jimbo la Kinondoni kupitia tiketi ya chama cha mapinduzi (CCM) nakuwahimiza vijana wa Kinondoni wajitokeze kujiandikisha kwenye daftari la kudumu ili waweze kuchagua viongozi watakaoweza kuifikisha Kinondoni sehemu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vZjCFErHAhyXd96BV-i864U3jj7c-w5u4GPpOv1pw8uJPn8tC*fhmNvxHdXFLjfcFCkPKK4*K5O7TkqPGE7ufj457OR1r9-R/1.jpg)
STEVE NYERERE ATANGAZA NIA YA KULIWANIA JIMBO LA KINONDONI
10 years ago
Bongo515 Aug
Steve Nyerere kugombea ubunge jimbo la Kinondoni mwaka 2015
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-ZMSYNYpBcA0/VdLBLNPbdNI/AAAAAAAB5J0/5oOZHFufQ48/s72-c/11855626_163475883983386_5071235010551803117_n.jpg)
Saada Mkuya achukua fomu za kugombea Ubunge jimbo jipya la Welezo
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZMSYNYpBcA0/VdLBLNPbdNI/AAAAAAAB5J0/5oOZHFufQ48/s640/11855626_163475883983386_5071235010551803117_n.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-XdtMlpM2VU0/VdLBLMvGlwI/AAAAAAAB5J4/41vRMOXnpq0/s640/11863497_171157699881871_1940997383930891996_n.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-hbYWSrMf8ro/VdLBLYSbGPI/AAAAAAAB5KQ/helcsR6eSyI/s640/11870944_171157679881873_3008769847260815270_n.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-q2q-J-fUF9Q/VdLBMLW77mI/AAAAAAAB5KA/xmMzyRdXjSo/s640/11880555_171157693215205_5254557743562192756_n.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-uOKRkZMHWUE/VdLBMbv3DWI/AAAAAAAB5KE/68n0omMlcpk/s640/11896219_171157696548538_4599662945498583312_n.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-dnp513BH3BM/VZqIxMVD2LI/AAAAAAABCBY/lYwlnzto-Uc/s72-c/961.jpg)
BALOZI SEIF ATANGAZA NIA YA KUWANIA UWAKILISHI KUPITIA JIMBO JIPYA LA MAHONDA
![](http://3.bp.blogspot.com/-dnp513BH3BM/VZqIxMVD2LI/AAAAAAABCBY/lYwlnzto-Uc/s640/961.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/po*b5pjX*enHWvp6vZaaVhmQg7aqUcz3PkIU5uYb4e9cGJsPt5EiTFGNibC5s6k4ca8VdhnDljk3q6iqE5uG5-b0fmSjUDrw/barnaba.jpg)
STEVE RNB ATANGAZA NDOA, BARNABA AMTOLEA MAHARI MAMA STEVE