Steve Nyerere Atikisa Jimbo la Kinondoni
Staa wa Bongo Movies, Steven Mangere ‘Nyerere’ amewaomba wanawake wasihadaike na kanga na vitenge wakipewa na baadhi ya wagombea wa nafasi mbalimbali za uongoziili wawachague.
Steve aliitoa kauli hiyo jana jijini Dar es Salaam, alipokuwa akitangaza nia yake ya kugombea ubunge jimbo la Kinondoni kupitia tiketi ya chama cha mapinduzi (CCM) nakuwahimiza vijana wa Kinondoni wajitokeze kujiandikisha kwenye daftari la kudumu ili waweze kuchagua viongozi watakaoweza kuifikisha Kinondoni sehemu...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies20 Jul
Steve Nyerere Atikisa Ubunge Kinondoni
MWIGIZAJI Nyota katika tasnia ya filamu Swahilihood Steven Mengele ‘Steve Nyerere’ amekuwa kivutio kikubwa kati ya wagombea waliotangaza nia kugombea Jimbo la Kinondoni, msanii mahiri katika uchekeshaji na uigizaji wa sauti mbalimbali za watu maarufu Ulimwenguni ametangaza nia kugombea Jimbo hilo.
Steve akiwa na baadhi ya wasanii wenzake kutoka Bongo Movie waliingia ofisi za CCM Mkwajuni Wilaya ya Kinondoni na kupokelewa na kundi la wanahabari tofauti na wagombea wengine walioingia katika...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vZjCFErHAhyXd96BV-i864U3jj7c-w5u4GPpOv1pw8uJPn8tC*fhmNvxHdXFLjfcFCkPKK4*K5O7TkqPGE7ufj457OR1r9-R/1.jpg)
STEVE NYERERE ATANGAZA NIA YA KULIWANIA JIMBO LA KINONDONI
10 years ago
Bongo515 Aug
Steve Nyerere kugombea ubunge jimbo la Kinondoni mwaka 2015
10 years ago
Bongo Movies21 Jun
Steve Nyerere Kutangaza Nia Leo, Viwanja Vya Kinondoni Bwawani
Tuungane rasmi nami katika kutangaza nia kinondoni. Ndugu zangu punde mtakuwa na mkutano mkubwa kinondoni bwawani. Sehemu ambayo mimi nimezaliwa na kusoma na kuishi apo. So natangaza nia rasmi kuwa naweza kuwa mfano kwa vijana wenzangu. Kinondoni tumekuwa na mateso mbali mbali.
Kwa mfano mafuriko akuna kiongozi aliyeweza tatua, bara bara, mikopo midogo midogo kwa kina mama, ajila kwa vijana, ongezeko la ada mashuleni kupanda nani anakemea , uchafu wa wilaya, tiba kwa wazazi wetu leo mzazi...
10 years ago
GPLSTEVE NYERERE, WAKILI MAKENE WACHUKUA FOMU UBUNGE KINONDONI DAR
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/qgFpUKLuwVs/default.jpg)
10 years ago
VijimamboMKUU WA WILAYA YA KINONDONI, PAUL MAKONDA, AONGOZA MAMIA MAZISHI YA BABA YAKE MSANII STEVE NYERERE
10 years ago
Michuzi18 Jul
Steven Nyerere achukua fomu ya kugombea ubunge jimbo la kinondoni na kurudisha leo
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-pImbRVzc5X8/VQxIiU_mQYI/AAAAAAAC2AA/EMpcQFswX20/s72-c/_MG_3908.jpg)
KINANA ATIKISA JIMBO LA ARUSHA MJINI,WANANCHI WAMPOKEA KWA SHANGWE.
![](http://1.bp.blogspot.com/-pImbRVzc5X8/VQxIiU_mQYI/AAAAAAAC2AA/EMpcQFswX20/s1600/_MG_3908.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-AVKqXAu42a8/VQxIe0l_q2I/AAAAAAAC1_s/PXrJ0uH1UDc/s1600/_MG_3874.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-_OXdu9Dn6qk/VQxIhUmfEbI/AAAAAAAC1_4/C-2wMps2VQE/s1600/_MG_3893.jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10