Tamko la Edward Lowassa Baada ya NEC Kumtangaza Dr Magufuli Kuwa Mshindi wa Kiti cha Urais
![](http://3.bp.blogspot.com/-uN7-XJas8uk/VjIuasxCEOI/AAAAAAAA30M/ZU-zJ99rjq8/s72-c/tamko.jpg)
Watanzania wenzangu!Leo tarehe 29 October 2015, kwa kupitia Mgombea Mwenza wangu, Mh. Juma Duni Haji nimewasilisha rasmi malalamiko yetu kuhusu mwenendo mzima wa uchaguzi mkuu wa 2015 kwa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi.
Tumeainisha kwenye malalamiko yetu, kutokuridhishwa kwetu na mwenendo na matukio mbalimbali, hususani, utangazaji wa matokeo batili, yasiyo akisi matokeo halisi yaliyopatikana kwenye vituo vya kupiga kura, kama ifuatavyo.
• Upunguzwaji wa kura zangu• Kuongeza kura kwa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://4.bp.blogspot.com/-LJSP0p8dKjo/VjKmw_8k3vI/AAAAAAAAXA8/KT23tWMkako/s72-c/tamko.jpg)
TAMKO LA MHESHIMIWA EDWARD LOWASSA YA KUITAKA TUME IMTANGAZE MSHINDI WA KITI CHA URAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/oOMW3_93vhw/default.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-C0H2-scMInc/XvMxuaJxURI/AAAAAAALvO0/M-lYmxW4PvIj7SXiSmAIQR6c0MS6u6_cQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-24%2Bat%2B12.38.58%2BPM.jpeg)
LOWASSA NA MKEWE WAMDHAMINI RAIS MAGUFULI KUTETEA KITI CHAKE CHA URAIS
![](https://1.bp.blogspot.com/-C0H2-scMInc/XvMxuaJxURI/AAAAAAALvO0/M-lYmxW4PvIj7SXiSmAIQR6c0MS6u6_cQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-24%2Bat%2B12.38.58%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Le4ET_TGm8Q/XvMxupEMZfI/AAAAAAALvO4/cMJvVja91YQbbHFGpiNL4cjPslRLHK1JwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-24%2Bat%2B12.38.59%2BPM.jpeg)
9 years ago
GPL29 Oct
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-UAStLEYDRDM/VchsF1UI8gI/AAAAAAAHvn0/NBAgc3P9QkA/s72-c/IMG-20150810-WA0000.jpg)
WANANCHI WAJITOKEZA KUMSINDIKIZA EDWARD LOWASSA KWENDA NEC KUCHUKUA FOMU YA KUGOMBEA URAIS
![](http://3.bp.blogspot.com/-UAStLEYDRDM/VchsF1UI8gI/AAAAAAAHvn0/NBAgc3P9QkA/s640/IMG-20150810-WA0000.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-aLdBUdKNN28/VchsFwv3mtI/AAAAAAAHvn4/ctEV65OX4ms/s640/IMG-20150810-WA0001.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-khdJO3NGAYE/VchsGoRVQjI/AAAAAAAHvoM/a-5giYSU37Q/s640/IMG-20150810-WA0006.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yRzRf_C6IV0/XktnUMF85XI/AAAAAAALd1A/QrzLL4K0YrIec2T1FpptPv-SXWyjvvyqgCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv6e88039ef681lnbc_800C450.jpg)
Chama kikuu cha upinzani cha CNL kimemuidhinisha Agathon Rwasa kuwa mgombea wake wa kiti cha urais
![](https://1.bp.blogspot.com/-yRzRf_C6IV0/XktnUMF85XI/AAAAAAALd1A/QrzLL4K0YrIec2T1FpptPv-SXWyjvvyqgCLcBGAsYHQ/s640/4bv6e88039ef681lnbc_800C450.jpg)
Wajumbe wa chama cha National Congres for Liberty jana walimuidhinisha Rwasa aliye na umri wa miaka 56 kama mgombea wao katika uchaguzi wa Rais wa mwezi Mei.
Agathon Rwasa atachuana katika uchaguzi huo na Jenerali wa jeshi Evariste Ndayishimiye ambaye ni muitifaki wa Nkurunzia. Mwezi uliopita chama tawala Burundi CNDD-FDD kilimchagua jenerali huyo wa jeshi...
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-wWHTy5RnRQM/Vi3a7yZLDMI/AAAAAAAAnqA/HtrEPUeuTAU/s72-c/1.jpg)
ESTER MATIKO (CHADEMA) ATANGAZWA RASMI KUWA MSHINDI WA KITI CHA UBUNGE TARIME MJINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-wWHTy5RnRQM/Vi3a7yZLDMI/AAAAAAAAnqA/HtrEPUeuTAU/s1600/1.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/7c_033GGCWQ/default.jpg)
Edward Lowassa akubali kuwa Magufuli ni dume la ngo'mbe
-Ana moyo wa kutumikia watu
-Anamudu wizara zote
-Amuita dume la ng'ombe
10 years ago
Dewji Blog12 Jul
Magufuli kupeperusha bendera ya CCM kiti cha Urais Oktoba 2015
1. Mh. John Magufuli amepata kura 2104 sawa na Asilimia 87.1%
2. Balozi Amina Salim 253 sawa na Asilimia 10.5..
3. Mh. Asha-Rose Migiro kura 59 sawa na 2.4%
Kura zilizopigwa 2422,
Kura zilizoharibika 6,
Kura halali 2416,
Kwa mujibu wa Mh.Makinda
Hatimae Mh Dr. John Pombe Magufuli apendekezwa kupeperusha Bendera ya CCM nafasi ya urais kwenye kinyang’anyiro cha uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu katika kikao cha Mkutano mkuu wa chama hicho mjini Dodoma
Jiandikishe ili uweze kupiga...