Magufuli kupeperusha bendera ya CCM kiti cha Urais Oktoba 2015
1. Mh. John Magufuli amepata kura 2104 sawa na Asilimia 87.1%
2. Balozi Amina Salim 253 sawa na Asilimia 10.5..
3. Mh. Asha-Rose Migiro kura 59 sawa na 2.4%
Kura zilizopigwa 2422,
Kura zilizoharibika 6,
Kura halali 2416,
Kwa mujibu wa Mh.Makinda
Hatimae Mh Dr. John Pombe Magufuli apendekezwa kupeperusha Bendera ya CCM nafasi ya urais kwenye kinyang’anyiro cha uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu katika kikao cha Mkutano mkuu wa chama hicho mjini Dodoma
Jiandikishe ili uweze kupiga...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi26 Jan
Dk Shein apendekezwa kupeperusha bendera ya CCM Urais visiwani
9 years ago
Michuzi05 Sep
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ylUaZN0EXhk/VaNJFMGPlnI/AAAAAAAC8b0/ccxgqzrXZu8/s72-c/IMG-20150712-WA0138.jpg)
MDAU JOHN CHACHA AMPONGEZA DKT JOHN MAGUFULI KWA USHINDI WA KUIPEPERESHA BENDERA YA CCM KUWANIA URAIS 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-ylUaZN0EXhk/VaNJFMGPlnI/AAAAAAAC8b0/ccxgqzrXZu8/s640/IMG-20150712-WA0138.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/eEFhbilUQK4/default.jpg)
DK CYRIL CHAMI KUPEPERUSHA BENDERA YA CCM JIMBO LA MOSHI VIJIJINI
Video imepigwa na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-C0H2-scMInc/XvMxuaJxURI/AAAAAAALvO0/M-lYmxW4PvIj7SXiSmAIQR6c0MS6u6_cQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-24%2Bat%2B12.38.58%2BPM.jpeg)
LOWASSA NA MKEWE WAMDHAMINI RAIS MAGUFULI KUTETEA KITI CHAKE CHA URAIS
![](https://1.bp.blogspot.com/-C0H2-scMInc/XvMxuaJxURI/AAAAAAALvO0/M-lYmxW4PvIj7SXiSmAIQR6c0MS6u6_cQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-24%2Bat%2B12.38.58%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Le4ET_TGm8Q/XvMxupEMZfI/AAAAAAALvO4/cMJvVja91YQbbHFGpiNL4cjPslRLHK1JwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-24%2Bat%2B12.38.59%2BPM.jpeg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Bh_r_i4GJK0/VbJIrAxxWQI/AAAAAAAAEg0/zOGccVBsSbM/s72-c/K%2B3.jpg)
SATURDAY, JULY 25, 2015 MCHUNGAJI NATSE AWAAGA JIMBO LA KARATU ,QAMBALA KUPEPERUSHA BENDERA YA CHADEMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Bh_r_i4GJK0/VbJIrAxxWQI/AAAAAAAAEg0/zOGccVBsSbM/s640/K%2B3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-BiGXQYtGFmc/VbJI5fBlNvI/AAAAAAAAEg8/ZQ_Bqm0dfo8/s640/K%2B4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-F7PWCwpKeCw/VbJJ3EMzwcI/AAAAAAAAEhc/ZAmWv90Sar8/s640/K%2B8.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-uN7-XJas8uk/VjIuasxCEOI/AAAAAAAA30M/ZU-zJ99rjq8/s72-c/tamko.jpg)
Tamko la Edward Lowassa Baada ya NEC Kumtangaza Dr Magufuli Kuwa Mshindi wa Kiti cha Urais
![](http://3.bp.blogspot.com/-uN7-XJas8uk/VjIuasxCEOI/AAAAAAAA30M/ZU-zJ99rjq8/s640/tamko.jpg)
Watanzania wenzangu!Leo tarehe 29 October 2015, kwa kupitia Mgombea Mwenza wangu, Mh. Juma Duni Haji nimewasilisha rasmi malalamiko yetu kuhusu mwenendo mzima wa uchaguzi mkuu wa 2015 kwa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi.
Tumeainisha kwenye malalamiko yetu, kutokuridhishwa kwetu na mwenendo na matukio mbalimbali, hususani, utangazaji wa matokeo batili, yasiyo akisi matokeo halisi yaliyopatikana kwenye vituo vya kupiga kura, kama ifuatavyo.
• Upunguzwaji wa kura zangu• Kuongeza kura kwa...
10 years ago
Dewji Blog05 Jul
Kamati maalum ya CCM Zanzibar yapitisha jina la Dkt. Shein kugombea urais kwa tiketi ya CCM Uchaguzi mkuu wa oktoba 2015
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal, ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Maalum ya CCM Zanzibar, akisalimiana na Rais wa Zanzibar, ambaye pia ni Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Dkt. Mohamed Ali Shein, wakati walipowasili kwenye Ukumbi wa Ofisi za CCM Kisiwandui mjini Zanzibar kwa ajili ya kuhudhuria katika kikao cha Kamati Maalum ya CCM Zanzibar, ambacho leo kilipitisha jina la Dkt. Shein kuwania nafasi ya Urais kwa tiketi ya CCM. (Picha na OMR).
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-4DcgMHknkJc/VaVUzb2YrVI/AAAAAAAHpqk/l4z0YBNbKd8/s72-c/unnamed%2B%25281%2529.png)
PONGEZI KWA DKT. ALI MOHAMED SHEIN KWA KUPEPERUSHA BENDERA YA CCM KWA NAFASI YA RAISI WA SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-4DcgMHknkJc/VaVUzb2YrVI/AAAAAAAHpqk/l4z0YBNbKd8/s640/unnamed%2B%25281%2529.png)