Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chadema yapeta Tarime

MATOKEO ya kura za udiwani na ubunge katika majimbo ya Tarime Mjini na Tarime Vijijini yameonesha wagombea wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wamepata ushindi katika nafasi hizo ukilinganisha na wagombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Chadema yatikisa Tarime

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimezoa viti vingi vya vitongoji, mitaa na vijiji vilivyokuwa vikikaliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Tarime.

 

10 years ago

Habarileo

Vijiji 46 Tarime vyaenda CCM, Chadema 39

NGUVU ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imeonekana wilayani Tarime baada ya kupata ushindi wa vijiji 46 kati ya 88, huku Chadema ikivuna viti 39 katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika kote nchini Jumapili iliyopita.

 

9 years ago

TheCitizen

Chadema names nominee for Tarime district council chairmanship

 Chadema has nominated Nyamwaga ward councilor Mr Moses Yomani to bear the party’s flag in the race for Tarime district council chairmanship.

 

9 years ago

AllAfrica.Com

Tanzania: Chadema Names Nominee for Tarime District Council Chairmanship


Tanzania: Chadema Names Nominee for Tarime District Council Chairmanship
AllAfrica.com
Tarime — Chadema has nominated Nyamwaga ward councilor Mr Moses Yomani to bear the party's flag in the race for Tarime district council chairmanship. Mr Yomani defeated his rival for the seat Matongo ward councilor Mr Samson Nsanda after garnering ...

 

9 years ago

Vijimambo

ESTER MATIKO (CHADEMA) ATANGAZWA RASMI KUWA MSHINDI WA KITI CHA UBUNGE TARIME MJINI

Msimamizi wa uchaguzi jimbo la Tarime Mjini, Bw. Mwanjombe amemtajngaza rasmi Ester Matiko (Chadema) kuwa mshindi katika kinyang’anyiro cha ubunge wa jimbo hilo. Matiko amekuwa mbunge wa kwanza kutangazwa rasmi huku akiweka histori kubwa katika wilaya ya Tarime mjini kuwa mwanamke wa kwanza kuwa mbunge katika wilaya hiyo inayosadikika kuwa na historia ya mfumo dume hususan katika ngazi ya familia. Bi. Matiku  amepata kura 20,017 na kumshinda mpinzani wake wa karibu Kembaki Michael Mwita wa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Kombe la ligi:Man U yapeta

Manchester United imepata ushindi wa mteremko wa mabao 3-0 pale ilipomenyana na Ipswich Town katika mchezo wa kombe la ligi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Arsenal yapeta Ligi Kuu England

Timu ya Arsenal yazidi kuongoza ligi kuu ya England ikiwa imeingia mzunguko wa 20

 

11 years ago

Mwananchi

Wabunge wapigwa, CCM yapeta udiwani

>Wabunge wawili, mmoja wa CCM na mwingine wa Chadema, jana walikula vichapo walipokuwa katika harakati za uchaguzi mdogo wa madiwani uliofanyika katika kata 27 nchini.

 

9 years ago

StarTV

U-17 Mali yaichakaza Honduras, Coratia yapeta.

Michuano ya kombe la dunia chini ya umri wa miaka 17 hatua ya makundi inayoendelea nchini Chile timu ya Mali imetinga hatua ya 16 na kuongoza kundi D baada ya kuitandika timu ya Korea kaskazini kwa mabao 3-0.

Kipigo hicho kimeipa mkono wa kwaheri wa kutupwa nje ya michuano hiyo, huku Amodou Haidara akiifungia Mali bao la kuongoza , kabla ya nahodha Abdou Dante akiongeza la pili , na kisha Aly Male akiihakikishia ushindi kwa kupachika bao la tatu sasa timu hiyo itakipiga na Coratia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani