Kombe la ligi:Man U yapeta
Manchester United imepata ushindi wa mteremko wa mabao 3-0 pale ilipomenyana na Ipswich Town katika mchezo wa kombe la ligi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili02 Jan
Arsenal yapeta Ligi Kuu England
9 years ago
Mwananchi28 Aug
Man Utd yapeta, Arsenal kwa Bayern
9 years ago
Mtanzania11 Sep
Bingwa Kombe la FA kumfunika wa Ligi
*Atacheza mechi saba tu atanyakua mil. 50/-
NA ELLY MHAGAMA, DAR ES SALAAM
BINGWA wa mashindano ya Kombe la FA ‘Azam Sports Federation Cup’, anatarajia kumfunika vibaya bingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, kwa fedha ya zawadi inayotolewa na wadhamini wa michuano hiyo.
Wakati wadhamini wa Ligi Vodacom wakitoa zawadi ya Sh milioni 70 kwa bingwa wake baada ya kucheza michezo 30, bingwa wa FA yeye anatarajia kuondoka na Sh milioni 50 baada ya kucheza michezo saba tu.
Mashindano ya FA...
10 years ago
BBCSwahili28 May
Sevilla yatwaa kombe ligi ya Europa
9 years ago
BBCSwahili07 Jan
Manchester city hoi kombe la Ligi.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Bsue-*vlnnZN8TdSLTh3okErCf67K6DS-S7r45DnuEXbA9WFIh8zsSh5xpFt4xgACy4*dVXHppFAgug5uijXP4e93n1UPoc5/pique.jpg?width=650)
BARCELONA WATWAA KOMBE LA LIGI YA MABINGWA ULAYA
9 years ago
Dewji Blog09 Nov
TP Mazembe yatwaa kombe la Ligi ya Mabingwa Afrika
Mshambuliaji Mtanzania wa Klabu ya TP Mazembe ya nchini Congo DRC, Thomas Ulimwengu (kushoto) na mchezaji mwenzake raia wa Ghana, Solomon Asante (kiungo wa kati) wakishangilia baada ya kufunga timu ya USM Alger ya nchini Algeria.
Kombe la mshindi wa ligi ya mabingwa Afrika ambalo TP Mazembe wamelitwaa 2015.
Na Rabbi Hume
Klabu ya TP Mazembe ya nchini Congo DRC imetwaa kombe la ligi ya mabingwa barani Afrika baada ya kuifunga timu ya USM Alger ya nchini Algeria kwa goli mbili (2) kwa bila...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Whu7RSvDwY3vqPRAnQNucWX*3FzFICFojPPylLOEkC0UiojTPRf3ImAJpyKCbzC6CTSS3FkwH-qRv7tpkp4YWEx8BuaYrlou/SuperSportKeyLiveEventsEPLandFACUP89032014MichuziBlogBanner.jpg?width=750)
10 years ago
GPLYANGA SC WALIVYOKABIDHIWA KOMBE LA UBINGWA LIGI KUU BARA