Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TP Mazembe yatwaa kombe la Ligi ya Mabingwa Afrika

MAZEMBE+PX

Mshambuliaji Mtanzania wa Klabu ya TP Mazembe ya nchini Congo DRC, Thomas Ulimwengu (kushoto) na mchezaji mwenzake raia wa Ghana, Solomon Asante (kiungo wa kati) wakishangilia baada ya kufunga timu ya USM Alger ya nchini Algeria.

Kombe la mshindi wa ligi ya mabingwa Afrika ambalo TP Mazembe wamelitwaa 2015

Kombe la mshindi wa ligi ya mabingwa Afrika ambalo TP Mazembe wamelitwaa 2015.

Na Rabbi Hume

Klabu ya TP Mazembe ya nchini Congo DRC imetwaa kombe la ligi ya mabingwa barani Afrika baada ya kuifunga timu ya USM Alger ya nchini Algeria kwa goli mbili (2) kwa bila...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Sevilla yatwaa kombe ligi ya Europa

Usiku wa kuamkia leo kulikuwa na kivumbi cha fainali ya Uefa ndogo, kwenye mtanange ulioikutanisha Sevilla ya Hispania dhidi ya Dnipropetrovsk ya Ukrain.

 

9 years ago

BBCSwahili

Tp Mazembe mabingwa wa Afrika

Klabu ya soka ya TP Mazembe, ya Jamuhuri ya Kidemocrasia ya Congo imeutwaa ubingwa wa klabu bingwa barani Afrika.

 

10 years ago

BBCSwahili

Nigeria yatwaa kombe la 7 la U20 Afrika

Nigeria imeweka rekodi barani Afrika baada ya kutwaa kombe lake la saba la vijana wasiozidi umri wa miaka 20.

 

10 years ago

GPL

BARCELONA WATWAA KOMBE LA LIGI YA MABINGWA ULAYA

Wachezaji wa Barcelona wakisherehekea ushindi wao wa 3-1 dhidi ya Juventus. KLABU ya Barcelona imetwaa Kombe la Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya kuichapa Juventus mabao 3-1 katika fainali iliyopigwa nchini Ujerumani usiku wa kuamkia leo. Mabao ya mabingwa hao yaliwekwa kimiani na Ivan Rakitic, Luis Suarez na…

 

10 years ago

Vijimambo

AZAM FC YAIBAMIZA EL MERREIKH YA SUDAN 2-0 KOMBE LA MABINGWA AFRIKA

Kikosi cha El Merreikh Kikosi cha Azam leoMshambuliaji wa El Merreikh Babeker Bakri (kulia) akimtoka beki wa Azam Aggrey MorrisJohn Bocco akishangilia bao la pili la Azam

 

9 years ago

Vijimambo

TANZANIA STARS UNITED BARA NDIO MABINGWA WA KOMBE LA TAMASHA 2015 LA AFRIKA MASHARIKI YAIFUNGA RWANDA 5-1 NA KUIFUNGA ZANZIBAR 4-0 MECHI YA FAINALI

Wachezaji wa timu ya Tanzania Stars United Bara  wakifurahia kikombe cha utamaduni walichoshinda leo katika mashindao ya Tamasha 2015 yaliyoshirikisha timu 4, Kenya, Rwanda, Zanzibar na Tanzania Stars United Bara. Maratibu wa mashindano hayo Kaka DC (kushoto akiongea na akiwaweka sawa marefa toka Malawi.Manahodha wa timu ya Tanzania Stars United Bara na Rwanda wakiwa katika picha ya pamoja na marefa katika mechi ya kwanza ambayo Tanzania Stars United Bara waliibamiza Rwanda mabao 5-1Kwa...

 

10 years ago

GPL

SEVILLA YATWAA KOMBE LA EUROPA SEVILLA YATWAA KOMBE LA EUROPA

Sevilla wakishangilia ubingwa wao baada ya ushindi wa 3-2 dhidi ya Dnipropetrovsk. Washindi wa Kombe la Europa mara mbili mfululizo wakiwa katika pozi baada ya ushindi.  Carlos Bacca akiifungia Sevilla bao la tatu na la ushindi…

 

10 years ago

Vijimambo

SEVILLA YATWAA KOMBE LA EUROPA

Carlos Bacca akiifungia Sevilla bao la tatu na la ushindi katika dakika ya 73 ya mchezo.Sevilla wakishangilia ubingwa wao baada ya ushindi wa 3-2 dhidi ya Dnipropetrovsk.Washindi wa Kombe la Europa mara mbili mfululizo wakiwa katika pozi baada ya ushindi.

TIMU ya Sevilla ya Hispania imefanikiwa kutwaa Kombe la Ligi ya Europa baada ya kuichapa Dnipropetrovsk ya Ukraine mabao 3-2.

Mabao ya Sevilla katika mechi hiyo iliyopigwa jana usiku mjini Warsaw nchini Poland yaliwekwa kimiani na Carlos...

 

10 years ago

Bongo5

Simba yatwaa kombe la Mapinduzi 2015

Klabu ya Wekundu wa Msimbazi Simba, usiku wa kuamkia leo waliibuka washindi katika mchezo wa fainali ya kombe la Mapinduzi kwa kuwafunga Mtibwa Sukari kwa changamoto ya Mikwaju ya Penati. Mchezo huo ulifanyika huko kisiwani Unguja. Simba walifanikiwa kupata panati nne na kukosa moja huku mtibwa wakipata penati tatu na kukosa mbili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani