Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


U-17 Mali yaichakaza Honduras, Coratia yapeta.

Michuano ya kombe la dunia chini ya umri wa miaka 17 hatua ya makundi inayoendelea nchini Chile timu ya Mali imetinga hatua ya 16 na kuongoza kundi D baada ya kuitandika timu ya Korea kaskazini kwa mabao 3-0.

Kipigo hicho kimeipa mkono wa kwaheri wa kutupwa nje ya michuano hiyo, huku Amodou Haidara akiifungia Mali bao la kuongoza , kabla ya nahodha Abdou Dante akiongeza la pili , na kisha Aly Male akiihakikishia ushindi kwa kupachika bao la tatu sasa timu hiyo itakipiga na Coratia...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBC

Mali beat Honduras to progress at U-17s

Mali move into the last 16 of the Fifa Under 17 World Cup in Chile with a 3-0 win over Honduras to go top of group D.

 

10 years ago

Habarileo

Chadema yapeta Tarime

MATOKEO ya kura za udiwani na ubunge katika majimbo ya Tarime Mjini na Tarime Vijijini yameonesha wagombea wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wamepata ushindi katika nafasi hizo ukilinganisha na wagombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).

 

10 years ago

BBCSwahili

Kombe la ligi:Man U yapeta

Manchester United imepata ushindi wa mteremko wa mabao 3-0 pale ilipomenyana na Ipswich Town katika mchezo wa kombe la ligi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Yanga yatoka sare,Simba yapeta

Yanga ikiwa ugenini huko Shinyanga ilikwenda sare ya mabao 2-2 na Mwadui Fc.

 

11 years ago

BBCSwahili

Arsenal yapeta Ligi Kuu England

Timu ya Arsenal yazidi kuongoza ligi kuu ya England ikiwa imeingia mzunguko wa 20

 

11 years ago

Mwananchi

Wabunge wapigwa, CCM yapeta udiwani

>Wabunge wawili, mmoja wa CCM na mwingine wa Chadema, jana walikula vichapo walipokuwa katika harakati za uchaguzi mdogo wa madiwani uliofanyika katika kata 27 nchini.

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga yaichakaza Platinum

Yanga imepiga hatua moja kuifuata Etoile Sahel ya Tunisia baada ya kuichakaza Platinum ya Zimbabwe kwa mabao 5-1 na kujiweka katika mazingira mazuri ya kusonga mbele kwa hatua ya pili ya mashindano ya Kombe la Shirikisho Afrika.

 

11 years ago

Mwananchi

Yanga yaichakaza Komorozeni 7-0

Mshambuliaji Mrisho Ngassa amefunga mabao matatu na kuiongoza Yanga kuichakaza Komorozeni 7-0 jana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

10 years ago

Mwananchi

Man Utd yapeta, Arsenal kwa Bayern

Arsenal imetupwa kwa Bayern Munich wakati Manchester United ikipewa vibonde katika mashindano ya Ligi ya Mabingwa, huku Lionel Messi akitwaa tuzo ya mwanasoka bora wa mwaka wa Ulaya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani