U-17 Mali yaichakaza Honduras, Coratia yapeta.
Michuano ya kombe la dunia chini ya umri wa miaka 17 hatua ya makundi inayoendelea nchini Chile timu ya Mali imetinga hatua ya 16 na kuongoza kundi D baada ya kuitandika timu ya Korea kaskazini kwa mabao 3-0.
Kipigo hicho kimeipa mkono wa kwaheri wa kutupwa nje ya michuano hiyo, huku Amodou Haidara akiifungia Mali bao la kuongoza , kabla ya nahodha Abdou Dante akiongeza la pili , na kisha Aly Male akiihakikishia ushindi kwa kupachika bao la tatu sasa timu hiyo itakipiga na Coratia...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBC
Mali beat Honduras to progress at U-17s
10 years ago
Habarileo27 Oct
Chadema yapeta Tarime
MATOKEO ya kura za udiwani na ubunge katika majimbo ya Tarime Mjini na Tarime Vijijini yameonesha wagombea wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wamepata ushindi katika nafasi hizo ukilinganisha na wagombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).
10 years ago
BBCSwahili24 Sep
Kombe la ligi:Man U yapeta
10 years ago
BBCSwahili29 Oct
Yanga yatoka sare,Simba yapeta
11 years ago
BBCSwahili02 Jan
Arsenal yapeta Ligi Kuu England
11 years ago
Mwananchi10 Feb
Wabunge wapigwa, CCM yapeta udiwani
10 years ago
Mwananchi16 Mar
Yanga yaichakaza Platinum
11 years ago
Mwananchi09 Feb
Yanga yaichakaza Komorozeni 7-0
10 years ago
Mwananchi28 Aug
Man Utd yapeta, Arsenal kwa Bayern