Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ebola yatikisa Moshi

MKUU wa Mkoa wa Kilimanjaro, Leonidas Gama amewaondoa hofu wakazi mji wa Moshi kutokana na taharuki iliyoukumba mji huo ya kuwapo mgonjwa anayehisiwa kuwa na maambukizi ya virusi vya ugonjwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Ebola yatikisa Kenya

Shirika la Afya Duniani

Shirika la Afya Duniani

Na Mwandishi Wetu

SHIRIKA la Afya Duniani (WHO), limetahadharisha kuwa ukanda wa Afrika Mashariki uko katika kundi la pili lenye uwezekano wa kukumbwa na ugonjwa wa Ebola, kutokana na ukaribu wake na maeneo yaliyoathirika na mlipuko wa ugonjwa huo unaoenea kwa kasi.

Hali hiyo inatokana na Kenya kuwa kitovu cha usafiri wa ndege, huku wasafiri wengi wanaokwenda nchi za Afrika Magharibi wakipitia nchini humo.

Kutokana na hali hiyo, WHO imetoa onyo kali kuhusu kuenea kwa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Ebola yatikisa Afrika Magharibi

Homa ya Ebola wakati huu inasemekana kuwa kali zaidi kuliko wakati mwingine wowote

 

11 years ago

BBCSwahili

Ebola yatikisa mfumo wa afya Liberia

Waziri wa Liberia Lewis Brown ameiambia BBC kwamba mfumo wa afya wa nchi hiyo umeyumbishwa na athari za Ebola.

 

10 years ago

Mwananchi

Mgonjwa wa Moshi hakuwa na ebola-Wizara

Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii imesema mgonjwa aliyekuwa akihisiwa kuwa na ebola mkoani Kilimanajro amethibitika kutokuwa na virusi vya ugonjwa huo.

 

10 years ago

Michuzi

HOFU YA UGONJWA WA EBOLA YATANDA MJINI MOSHI

Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii kanda ya kaskazini.
WAKAZI wa kata ya Shirimatunda katika maanispaa ya Moshi, wameingiwa na hofu ya kupoteza maisha yao,kufuatia taarifa za kuwapo kwa mtu anayedhaniwa kuwa na ugonjwa hatari wa Ebola anayehudumiwa katika zahanati ya kata hiyo.

Kutokana na hofu hiyo,halmashauri ya manispaa ya Moshi imelazimika kuifunga kwa muda usiojulikana zahanati hiyo na kuwahamishia wagonjwa katika hospitali nyingine ikiwamo ya St Joseph katika manispaa hiyo.


Ripota wetu...

 

10 years ago

Michuzi

From Moshi to Harvard Presentation by International School Moshi — This Saturday at Seacliff Hotel

International School Moshi welcomes you all to join us for a presentation and find out how we helped one of our students get into Harvard University. When: Feb 14th, 10:00 AM | Where: Sea Cliff Hotel, Dar es Salaam For more info please visit us on www.ismoshiarusha.org

 

10 years ago

Michuzi

MBUNGE NDESAMBURO NA MEYA WA MOSHI JAFARY MICHAEL WAENDELEA NA MIKUTANO KATIKA JIMBO LA MOSHI MJINI.

Mbunge wa jimbo la Moshi mjini Philemoni Ndesamburo akizungumza wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika katika jirani na Super Market ya Nakumat.Baadhi ya wananchi waliofika katika mkutano huo wakimsikiliza Ndesamburo.Baadhi ya viongozi wa Chadema akiwemo mstahiki Meya wa manispaa ya Moshi ,Jafary Michael wakimsilikiza Ndesamburo.Msatahiki Meya wa Manispaa ya Moshi,Jafary Michael akizungumza katika mkutano wa hadhara .

 

9 years ago

Michuzi

AZANIA BANK TAWI LA MOSHI YAKABIDHI VIFAA YA KUFANYIA USAFI KWA MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA MANISPAA YA MOSHI


 Meneja wa Azania Bank tawi la Moshi ,Hajira Mmambe akikabidhi vifaa vya kufanya usafi kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi ,Jeshi Lupembe ,vifaa hivyo vimetolewa kwa ajili ya kutekeleza agizo la rais Magufuli la kufanyika wa usafi siku ya Desemba 9.Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini. Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi,Jeshi Lupembe akiwa ameongozana na Afisa afya mkuu wa manispaa hiyo,Mgeta Sebastian wakati wa kupokea msaada a vifaa vya...

 

10 years ago

Michuzi

MSTAHIKI MEYA WA MANISPAA YA MOSHI ,JAFARY MICHAEL ATOA MSAADA WA KOMPYUTA KWA SHULE YA MSINGI PASUA MJINI MOSHI

Msathiki Meya wa manispaa ya Moshi ,Jafary Michael akizungumza wakati wa kikao cha wazazi wa watoto wanaosoma katika shule hiyo.Mstahiki Meya wa manispaa ya Moshi Jafary Michael akimkabidhi mwenyekiti wa Shule ya msingi Pasua Shabani Machivya msaada wa Kompyuta kwa ajili ya shule hiyo.

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani