Ebola yatikisa mfumo wa afya Liberia
Waziri wa Liberia Lewis Brown ameiambia BBC kwamba mfumo wa afya wa nchi hiyo umeyumbishwa na athari za Ebola.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog18 Apr
Ebola: World Bank Group Provides New Financing to Help Guinea, Liberia and Sierra Leone Recover from Ebola Emergency
New GDP Estimates Show International Support Vital to Speed Recovery
The World Bank Group (WBG) announced today that it would provide at least US$650 million during the next 12 to 18 months to help Guinea, Liberia and Sierra Leone recover from the devastating social and economic impact of the Ebola crisis and advance their longer-term development needs. The new WBG pledge brings the organization’s total financing for Ebola response and recovery efforts to date to US$1.62 billion.
The...
10 years ago
Tanzania Daima25 Oct
Ebola yatikisa Moshi
MKUU wa Mkoa wa Kilimanjaro, Leonidas Gama amewaondoa hofu wakazi mji wa Moshi kutokana na taharuki iliyoukumba mji huo ya kuwapo mgonjwa anayehisiwa kuwa na maambukizi ya virusi vya ugonjwa...
10 years ago
Mtanzania15 Aug
Ebola yatikisa Kenya
![Shirika la Afya Duniani](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/WHO.jpg)
Shirika la Afya Duniani
Na Mwandishi Wetu
SHIRIKA la Afya Duniani (WHO), limetahadharisha kuwa ukanda wa Afrika Mashariki uko katika kundi la pili lenye uwezekano wa kukumbwa na ugonjwa wa Ebola, kutokana na ukaribu wake na maeneo yaliyoathirika na mlipuko wa ugonjwa huo unaoenea kwa kasi.
Hali hiyo inatokana na Kenya kuwa kitovu cha usafiri wa ndege, huku wasafiri wengi wanaokwenda nchi za Afrika Magharibi wakipitia nchini humo.
Kutokana na hali hiyo, WHO imetoa onyo kali kuhusu kuenea kwa...
9 years ago
VijimamboWIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII YAZINDUA MFUMO WA UTUNZAJI WA TAARIFA ZA VITUO VYA AFYA TANZANIA BARA
10 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA AFYA ZANZIBAR MAHMOUD THABIT KOMBO AFUNGA MAFUNZO YA SIKU 10 YA MFUMO WA UKUSANYAJI TAARIFA ZA AFYA
11 years ago
BBCSwahili12 Aug
Ebola yatikisa Afrika Magharibi
11 years ago
Habarileo12 Aug
Liberia yaelemewa na ebola
WAZIRI wa Habari nchini Liberia amekiri kuwa mfumo wa huduma za afya, umezidiwa kutokana na kasi ya kusambaa kwa virusi vya ugonjwa wa ebola nchini humo.
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/82885000/jpg/_82885880_82885872.jpg)
VIDEO: WHO: Ebola in Liberia 'now over'
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/82928000/jpg/_82928201_ebolaap.jpg)
Liberia's 'Goodbye Ebola' party