Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ebola yatikisa Kenya

Shirika la Afya Duniani

Shirika la Afya Duniani

Na Mwandishi Wetu

SHIRIKA la Afya Duniani (WHO), limetahadharisha kuwa ukanda wa Afrika Mashariki uko katika kundi la pili lenye uwezekano wa kukumbwa na ugonjwa wa Ebola, kutokana na ukaribu wake na maeneo yaliyoathirika na mlipuko wa ugonjwa huo unaoenea kwa kasi.

Hali hiyo inatokana na Kenya kuwa kitovu cha usafiri wa ndege, huku wasafiri wengi wanaokwenda nchi za Afrika Magharibi wakipitia nchini humo.

Kutokana na hali hiyo, WHO imetoa onyo kali kuhusu kuenea kwa...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Ebola yatikisa Moshi

MKUU wa Mkoa wa Kilimanjaro, Leonidas Gama amewaondoa hofu wakazi mji wa Moshi kutokana na taharuki iliyoukumba mji huo ya kuwapo mgonjwa anayehisiwa kuwa na maambukizi ya virusi vya ugonjwa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Ebola yatikisa Afrika Magharibi

Homa ya Ebola wakati huu inasemekana kuwa kali zaidi kuliko wakati mwingine wowote

 

11 years ago

BBCSwahili

Ebola yatikisa mfumo wa afya Liberia

Waziri wa Liberia Lewis Brown ameiambia BBC kwamba mfumo wa afya wa nchi hiyo umeyumbishwa na athari za Ebola.

 

11 years ago

BBC

Kenya 'at high risk' of deadly Ebola

The World Health Organization classifies Kenya as a high-risk country for the spread of the deadly Ebola virus.

 

10 years ago

BBC

Kenya to deny entry to Ebola states

Fears over the spread of the deadly Ebola virus prompt Kenya to close its borders to travellers from Guinea, Liberia and Sierra Leone.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kenya katika hatari ya kupata Ebola

WHO limeelea kuhusu hatari ya ugonjwa wa Ebola kufika Kenya kutokana na nchi hiyo kuwa kitovu cha usafiri wa ndege kwenda Afrika Magharibi

 

10 years ago

BBC

VIDEO: Kenya to deny entry to Ebola states

Kenyan officials say the country is closing its borders to travellers from Guinea, Liberia and Sierra Leone in response to the deadly Ebola outbreak.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola: Hasara kubwa kwa Kenya Airways

Shirika la ndege la Kenya, Kenya Airways linasema limepata hasara ya dola milioni 116 kutokana na mlipuko wa Ebola Afrika Magharibi

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Kenya kuwatuma maafisa 170 wa afya

Wafanyikazi 170 wa afya wanatarajiwa kuondoka nchini Kenya na kuelekea nchini Sierra Leone na Liberia siku ya ijumaa

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani