Ebola:Kenya kuwatuma maafisa 170 wa afya
Wafanyikazi 170 wa afya wanatarajiwa kuondoka nchini Kenya na kuelekea nchini Sierra Leone na Liberia siku ya ijumaa
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili19 Sep
Ebola:Maafisa wa afya waliuawa
10 years ago
BBCSwahili18 Sep
Ebola:Guinea yawasaka maafisa waliotekwa
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-NIA-xC6b1CY/VTKFrlHxp1I/AAAAAAAHR6o/kYgl5ULkc3A/s72-c/unnamed%2B(38).jpg)
Maafisa 10 wa Afya wa Wilaya za Unguja na Pemba wakabidhiwa pikipiki
10 years ago
Dewji Blog19 Apr
Taasisi ya JSI Â yakabidhi pikipiki 10 kwa maafisa wa afya Unguja na Pemba
Naibu Waziri wa Afya Zanzibar Mahmoud Thabit Kombo (kushoto) akimkabidhi Pikipiki Afisa wa Afya wa Wilaya Nd. Khamis Daud Ali katika hafla ya makabidhiano iliyofanyika Maruhubi.
Na Faki Mjaka-Maelezo Zanzibar
Jumla ya Pikipiki 10 zenye thamani ya Sh.Million 42 zimegawiwa kwa Maafisa 10 wa Afya wa Wilaya za Unguja na Pemba.
Pikipiki hizo ni Msaada kutoka Shirika la Watu wa Marekani USAID kupitia Taasisi ya JSI wenye lengo la kusaidia Sekta ya Afya Zanzibar.
Akikabidhi Pikipiki hizo Naibu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Sks7sHqEEng/XnTpv6Hlf_I/AAAAAAAAkZY/ckJKRDusfB0br2U83h6PmENGW4hB4pJ-ACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200320-WA0020.jpg)
DC IKUNGI ATOA MAAGIZO MAZITO YA UGONJWA WA CORONA KWA MAAFISA AFYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Sks7sHqEEng/XnTpv6Hlf_I/AAAAAAAAkZY/ckJKRDusfB0br2U83h6PmENGW4hB4pJ-ACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200320-WA0020.jpg)
Na Dotto Mwaibale.
MKUU wa Wilaya ya Ikungi mkoani Singida, Edward Mpogolo amewaagiza maafisa Afya wa wilaya hiyo kupita kwenye maeneo yenye muingiliano wa kila siku wa watu, minadani na maegesho ya malori yaendayo nje ya nchi na yaingiayo nchini kukagua hatua za tahadhari za maambukizi ya ugonjwa wa Corona.
Mpogolo alitoa maagizo hayo jana wakati akufungua...
11 years ago
BBCSwahili19 Mar
Maafisa wadhibiti ulinzi Kenya
11 years ago
BBCSwahili27 May
Maafisa wa Somalia wanunia Kenya
9 years ago
BBCSwahili12 Nov
Mabalozi waonya maafisa wafisadi Kenya
10 years ago
Dewji Blog23 Apr
Wizara ya afya yafuta vibali vilivyotolewa na maafisa utamaduni kwa waganga wa tiba mbadala
Mkuu wa kituo kidogo cha polisi Ndago, Bw.Richard Kimolo (kushoto), Diwani wa kata ya Mbelekese, Bi Monica Samweli (wa pili kutoka kushoto), Katibu mkuu CHAWAMAMU Mkoa wa Singida, Dk.Tano Mika Likapakapa wakiwa kwenye semina ya operesheni tomomeza mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi (albino) na vikongwe inayoendelea tarafa ya Ndago, wilayani Iramba.(Picha zote na Jumbe Ismailly).
Na Mwandishi wetu, Iramba
WIZARA ya Afya na Ustawi wa jamii imefuta vibali vyote vilivyotolewa na...