DC IKUNGI ATOA MAAGIZO MAZITO YA UGONJWA WA CORONA KWA MAAFISA AFYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Sks7sHqEEng/XnTpv6Hlf_I/AAAAAAAAkZY/ckJKRDusfB0br2U83h6PmENGW4hB4pJ-ACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200320-WA0020.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Ikungi mkoani Singida, Edward Mpogolo, akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Mpugizi Kata ya Mwaru wilayani humo.
Na Dotto Mwaibale.
MKUU wa Wilaya ya Ikungi mkoani Singida, Edward Mpogolo amewaagiza maafisa Afya wa wilaya hiyo kupita kwenye maeneo yenye muingiliano wa kila siku wa watu, minadani na maegesho ya malori yaendayo nje ya nchi na yaingiayo nchini kukagua hatua za tahadhari za maambukizi ya ugonjwa wa Corona.
Mpogolo alitoa maagizo hayo jana wakati akufungua...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wjbtdxVX4bg/XsVvcdsDh7I/AAAAAAALrA0/Yw09tRyYGzgcR41GYjSGSgsob8sXKZR2ACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200520-WA0036.jpg)
DC MSHAMA ATOA MAAGIZO MAZITO KWA HALMASHAURI YA MJI WA KIBAHA
MKUU wa wilaya ya Kibaha Assumpter Mshama ,amemuagiza mkurugenzi wa halmashauri ya mji wa Kibaha na timu yake kufunga hoja 18 zilizokuwa hazijafungwa kwa mwaka 2017/2018 na kufanyia kazi maelekezo ya mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali (CAG ),ndani ya wiki moja.
Aidha ametoa maagizo mengine makubwa manne kwa halmashauri hiyo ikiwemo kuepuka kuingia mikataba mibovu inayosababisha hasara baadae na kudhibiti vyanzo vya ndani vya mapato.
Akizungumza katika...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-L7lJvZUDZyc/Xs5GXOw9gZI/AAAAAAALrsk/fT7QjckRzqMpIprG4oYY_3AvV5xDqEuyACLcBGAsYHQ/s72-c/1..jpeg)
RC KAGERA AKABITHI BOTI KWA WATENDAJI KATA, ATOA MAAGIZO MAZITO KUHUSU MATUMIZI.
![](https://1.bp.blogspot.com/-L7lJvZUDZyc/Xs5GXOw9gZI/AAAAAAALrsk/fT7QjckRzqMpIprG4oYY_3AvV5xDqEuyACLcBGAsYHQ/s640/1..jpeg)
Mkuu wa mkoa Kagera Bri.Gen Marco Gaguti aliyeshika ufunguo wenye kamba nyekundu akikabidhi boti kwa watendaji wa kata.
![](https://1.bp.blogspot.com/-0VD9AbMVj5o/Xs5GXZUTtlI/AAAAAAALrso/6suT3X98SH0jeRm5NkJliZ1WpBdCASlcgCLcBGAsYHQ/s640/2..jpeg)
Mkuu wa mkoa Kagera akiwahuitubia wavuvi pamoja na wananchi katika kijiji cha katembe Kata Nyakabango wilayani Muleba wakati wa hafla ya kukabithi Boti.
![](https://1.bp.blogspot.com/-UX3I2C95dPU/Xs5GXfNVdaI/AAAAAAALrss/svcuGEtFTx8_9AGCLEyEHlZg_vCMJ2oFgCLcBGAsYHQ/s640/3..jpeg)
Wananchi pamoja na viongozi wa wilaya Muleba wakimsikiliza Mkuu wa mkoa alipokuwa akiwahutubia.
Na Allawi Kaboyo,Muleba
Kufatia kuwepo kwa vitendo vya uvuvi Haramu katika ziwa Victoria,Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Brigedia...
5 years ago
MichuziWAZIRI HASUNGA AKAGUA MAGHALA YA SUKARI DAR ES SALAAM, ATOA MAAGIZO MAZITO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lW3sx7lzaak/XruQ2DdMw8I/AAAAAAALp_k/5UTSQb5ZKOklc1W9A2Ri0_1Y3nAIY15cgCLcBGAsYHQ/s72-c/Pc-4-768x677.jpg)
IKUPA ATOA MSAADA WA VIFAA KWA AJILI YA KUKABILIANA NA UGONJWA WA CORONA KWA SHIRIKISHO LA VYAMA VYA WATU WENYE ULEMAVU (SHIVYAWATA)
![](https://1.bp.blogspot.com/-lW3sx7lzaak/XruQ2DdMw8I/AAAAAAALp_k/5UTSQb5ZKOklc1W9A2Ri0_1Y3nAIY15cgCLcBGAsYHQ/s640/Pc-4-768x677.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/Pc-5.jpg)
Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Watu Wenye Ulemavu Mhe. Stella Ikupa (katikati) akimwangalia Mwenyekiti wa Shirikisho la Vyama vya Watu wenye Ulemavu (SHIVYAWATA)...
5 years ago
BBCSwahili17 May
Virusi vya corona:Rais Magufuli atoa maagizo ndege za kubeba watalii kuingia
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dWfdQk8Mxcs/XnTBTQ6uMRI/AAAAAAALkjI/Oaa1PplNlMEjv4CecIfBY5zNu-aL2u29wCLcBGAsYHQ/s72-c/UMMY%2BCORONA.jpg)
WAZIRI WA AFYA AKUTANA NA WATAALAM WA AFYA KUJADILI HALI YA MWENENDO WA UGONJWA WA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-dWfdQk8Mxcs/XnTBTQ6uMRI/AAAAAAALkjI/Oaa1PplNlMEjv4CecIfBY5zNu-aL2u29wCLcBGAsYHQ/s640/UMMY%2BCORONA.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-ucTlRLkgEQE/XnTAyTsqGTI/AAAAAAALkjA/2WqDcMAcxasSVPHtaePtbbHiSR6Ucf2AACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-20%2Bat%2B16.09.47.jpeg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-UJHIzwFSRUM/XoiZPYMPHLI/AAAAAAALmBE/ESAfZRyGGIwoNQ9-lAPo2MI_P4pyBNHVQCLcBGAsYHQ/s72-c/Umi_Mwalimu.jpg)
5 years ago
MichuziBODI YA MAJI BONDE LA KATI YATOA MAAGIZO MAZITO KWA WAMILIKI WA MABWAWA TOPE SUMU
Afisa wa Maji Bonde la Kati, William Mabula, akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) mara baada ya kukagua athari za mafuriko kufuatia kujaa kwa maziwa ya Kindai, Munang na Singidani mkoani hapa jana.
Afisa Maendeleo ya Jamii Mwandamizi, Bodi ya Maji Bonde la Kati, Nelea Bundala, akionesha athari za mafuriko hayo.
Muonekano wa Ofisi ya Bodi ya Maji Bonde la Kati mkoani Singida.
Na Waandishi Wetu, Singida
KUFUATIA mvua kubwa za masika zinazoendelea kunyesha Bodi ya Maji Bonde la...
5 years ago
MichuziMBUNGE WA CCM AZZA HILAL ATOA MSAADA WA NGAO ZA USO KWA WATOA HUDUMA ZA AFYA KUJIKINGA NA CORONA
Mhe. Azza amekabidhi Ngao hizo za uso leo Ijumaa Mei 8,2020 wakati akikabidhi gari la kubebea Wagonjwa ‘ Ambulance’ lililotolewa na Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto...