Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Virusi vya corona:Rais Magufuli atoa maagizo ndege za kubeba watalii kuingia

Rais wa Tanzania John Pombe amesema Idadi ya wagonjwa wa corona imeshuka.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli atuma ndege Madagascar kuchukua 'dawa ya corona'

Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli leo Jumapili Mei 3 amesema atatuma ndege Madagascar kwenda kufuata dawa ya mitishamba ambayo rais wa nchi hiyo anadai kuwa inatibu corona.

 

5 years ago

CCM Blog

RAIS MAGUFULI ATOA UJUMBE MZITO KWA WATANZANIA KUHUSU VIRUSI VYA CORONA

  Rais  Magufuli amewataka wananchi kuchukua tahadhari dhidi ya virusi vya corona akisema ni hatari zaidi kwa maelezo kuwa ni ugonjwa hatari na Shirika la Afya Duniani (WHO) limeshatoa tahadhari.
Ametoa tahadhari hiyo leo Ijumaa Machi 13,2020 wakati akizindua  karakana ya kisasa ya Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) iliyojengwa kwa Sh8.5 bilioni kwa ufadhili wa Serikali ya Ujerumani.
Rais Magufuli amesema ingawa ugonjwa huo umesambaa katika maeneo mbalimbali dunia bado Tanzania...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Tanzania kufufua safari za ndege za abiria na watalii, je imejipanga vipi?

Tanzania litakuwa taifa la kwanza barani Afrika kuruhusu ndege za watalii na abiria wengine kutua nchini humo. Lakini je watalii wanaotegemewa kwenda Tanzania watatoka wapi?

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Jinsi janga la virusi vya corona linavyobadili usafiri wa ndege duniani

Janga la corona limelazimisha mashirika ya ndege kufuta safari na kuegesha ndege

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Rais Magufuli asema ana imani ugonjwa wa corona umeondolewa kwa nguvu za Mwenyezi Mungu

Rais Magufuli aliwaomba raia wa taifa hilo kutumia siku tatu kuanzia tarehe 17 hadi 19 Aprili 2020, kumuomba Mwenyezi Mungu ili kuwaepusha na janga la ugonjwa wa corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Madereva 25 kutoka Tanzania wamezuiwa kuingia Kenya baada ya kukutwa na corona.

Katika mkutano wake na wanahabari naibu waziri wa Afya Rashid Aman amesema kwamba maabara 2 za kuhama hama zitazinduliwa katika mpaka wa Namanga ili kuimarisha upimaji wa wagonjwa wapya.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Jinsi madereva wa malori ya kubeba mizigo wanavyokumbwa na unyanyapaa

Maderava wa malori ya kubeba mizigo wamekuwa wakilalamika jinsi wanvyotengwa na raia wengine kwa hofu ya kwamba huenda wakawaambukiza virusi vya corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Mataifa ambayo utafungwa ukiuka maagizo ya kudhibiti virusi vya corona

Kuanzia kutozwa faini, kufungwa jela, hadi kurudishwa katika nchi ulikotoka -ni miongoni mwa hatua za dunia za kukabiliana maambukizi ya virusi vya corona.

 

5 years ago

Michuzi

RAIS DKT. MAGUFULI ATOA MAAGIZO KWA MKANDARASI

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Dkt. Elias Kuandikwa wakishuhudia wakati Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Barabara Tanzania(TANROADS), Mhandisi Patrick Mfugale na Mwakilishi wa Kampuni ya China  Railway 15 Bureau Group Corporation, Su Jinlan  wakitia saini mkataba wa makubaliano kati ya serikali na Kampuni hiyo ya ujenzi wa barabara ya Nanganga -Ruangwa kwa kiwango cha lami yenye urefu wa Kilomita 53.2 kwa gaharama ya Sh. Bilioni 59.28....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani