Virusi vya corona:Rais Magufuli atoa maagizo ndege za kubeba watalii kuingia
Rais wa Tanzania John Pombe amesema Idadi ya wagonjwa wa corona imeshuka.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili03 May
Virusi vya Corona: Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli atuma ndege Madagascar kuchukua 'dawa ya corona'
Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli leo Jumapili Mei 3 amesema atatuma ndege Madagascar kwenda kufuata dawa ya mitishamba ambayo rais wa nchi hiyo anadai kuwa inatibu corona.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-LpsMwifnsfo/XmteqLzQIDI/AAAAAAAC01Y/B50qXbd1T5YjzfIE5213JbAB5qnPhyXXQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS MAGUFULI ATOA UJUMBE MZITO KWA WATANZANIA KUHUSU VIRUSI VYA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-LpsMwifnsfo/XmteqLzQIDI/AAAAAAAC01Y/B50qXbd1T5YjzfIE5213JbAB5qnPhyXXQCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Ametoa tahadhari hiyo leo Ijumaa Machi 13,2020 wakati akizindua karakana ya kisasa ya Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) iliyojengwa kwa Sh8.5 bilioni kwa ufadhili wa Serikali ya Ujerumani.
Rais Magufuli amesema ingawa ugonjwa huo umesambaa katika maeneo mbalimbali dunia bado Tanzania...
5 years ago
BBCSwahili18 May
Virusi vya corona: Tanzania kufufua safari za ndege za abiria na watalii, je imejipanga vipi?
Tanzania litakuwa taifa la kwanza barani Afrika kuruhusu ndege za watalii na abiria wengine kutua nchini humo. Lakini je watalii wanaotegemewa kwenda Tanzania watatoka wapi?
5 years ago
BBCSwahili25 May
Virusi vya corona: Jinsi janga la virusi vya corona linavyobadili usafiri wa ndege duniani
Janga la corona limelazimisha mashirika ya ndege kufuta safari na kuegesha ndege
5 years ago
BBCSwahili07 Jun
Virusi vya corona: Rais Magufuli asema ana imani ugonjwa wa corona umeondolewa kwa nguvu za Mwenyezi Mungu
Rais Magufuli aliwaomba raia wa taifa hilo kutumia siku tatu kuanzia tarehe 17 hadi 19 Aprili 2020, kumuomba Mwenyezi Mungu ili kuwaepusha na janga la ugonjwa wa corona.
5 years ago
BBCSwahili13 May
Virusi vya Corona: Madereva 25 kutoka Tanzania wamezuiwa kuingia Kenya baada ya kukutwa na corona.
Katika mkutano wake na wanahabari naibu waziri wa Afya Rashid Aman amesema kwamba maabara 2 za kuhama hama zitazinduliwa katika mpaka wa Namanga ili kuimarisha upimaji wa wagonjwa wapya.
5 years ago
BBCSwahili19 May
Virusi vya corona: Jinsi madereva wa malori ya kubeba mizigo wanavyokumbwa na unyanyapaa
Maderava wa malori ya kubeba mizigo wamekuwa wakilalamika jinsi wanvyotengwa na raia wengine kwa hofu ya kwamba huenda wakawaambukiza virusi vya corona.
5 years ago
BBCSwahili17 Mar
Coronavirus: Mataifa ambayo utafungwa ukiuka maagizo ya kudhibiti virusi vya corona
Kuanzia kutozwa faini, kufungwa jela, hadi kurudishwa katika nchi ulikotoka -ni miongoni mwa hatua za dunia za kukabiliana maambukizi ya virusi vya corona.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-iNU8dshtrZE/XveNC9oXkNI/AAAAAAALvr0/lQTPTGQfMy8EDkQ-XUVsv04nXsQnRw7TwCLcBGAsYHQ/s72-c/PMO_4367AAA-768x511.jpg)
RAIS DKT. MAGUFULI ATOA MAAGIZO KWA MKANDARASI
![](https://1.bp.blogspot.com/-iNU8dshtrZE/XveNC9oXkNI/AAAAAAALvr0/lQTPTGQfMy8EDkQ-XUVsv04nXsQnRw7TwCLcBGAsYHQ/s640/PMO_4367AAA-768x511.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania